Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Ahhh kwanini bana?sema tu!!Hapa sitii neno!!!!
Ahhh kwanini bana?sema tu!!Hapa sitii neno!!!!
Hili nawaachia wengine...wewe tia neno basi!!Ahhh kwanini bana?sema tu!!
Na kijiwe cha kutungulia hilo tunda,humu kitungulio kikiwa pm kule mtaani mdomo ila wahusika ndio walewale
ahahahahahahaNa kijiwe cha kutungulia hilo tunda,humu kitungulio kikiwa pm kule mtaani mdomo ila wahusika ndio walewale
ahahahahahaha sungwi ...japo silijui but jina lake tu toshaaaaaaaaaUmeona eeh....!
Unaweza kupata apple mwingine akapata sungwi yote ni matunda
kuna zawadi yako uje kuchukua kwa majibu yako mazuri uliyotoa
Mi tunda langu la humuhumu mtandaoni mpaka hivi sasa tunaishi vizuri sana....na isitoshe nimkuta akiwa bikra
Jamani Wachumba wamitandaoni kwa kweli sina uhakikanao, mimi yaliyonikuta sio madogo ndugu zangu, wengi hawafai, unaweza kuingia mkenge ukajutia maishani, watu wana tabia na malengo mbalimbali, kuna washirikina, wachawi, majambazi, malaya nk. unajua mchumba kuna uwezekano akaja kuwa mke au mume wako sasa ni bora ukawa makini, wanawake siku hizi wananyunyiza (kupuliza) kwa sana coz wote wanapenda kuolewa. So take care guys.
Mh!,kuna ukweli hapa!
mkuu ukwel upo, mimi nilipata mademu wawili wakiwa bado kwenye ma-nylon, ushindwe mwenyewe tu, dole gumba linaongea
Wa kwangu tumekutana hapahapa Jf na tunaishi vizuri tu
Mi tunda langu la humuhumu mtandaoni mpaka hivi sasa tunaishi vizuri sana....na isitoshe nimkuta akiwa bikra