tian
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 1,770
- 538
Looh, apana kipo nyuma ya avartar yako geuka utakikuta hapo !! ... "NETWORK UNDER MAINTENANCE"Jamani simu yangu haina kitufee cha like kumetokeaa ninii???au ndio wanataka kuweka cha dislikee
Hata duka la mikatee au
Hahahaha umemjibu vizuri pengine mkuu anajua wachumba wa mtandao wanaishi kwenye RAM au CPU
Haiwezekani! itakuwa ya kichina hiyo ungeikagua vizuri
Bora umwambia sijui ye anawaza vp? anajua wa huku wanasura tofauti
Nilitaka kupewa shuhuda kama huwa yanadumu,sio kama wanaishi kwenye mitandao,Think before you leap.
Sawa ni hao hao wa mtaani unaemwona hamjawezana naye seuze mtu wa kutafuta kwenye mtandao
kuna zawadi yako uje kuchukua kwa majibu yako mazuri uliyotoa
Hahahaha umemjibu vizuri pengine mkuu anajua wachumba wa mtandao wanaishi kwenye RAM au CPU
6 out of 10 ndoa za marekani wamepatana na kuonana mtandaoni(social networks)
Jamani Wachumba wamitandaoni kwa kweli sina uhakikanao, mimi yaliyonikuta sio madogo ndugu zangu, wengi hawafai, unaweza kuingia mkenge ukajutia maishani, watu wana tabia na malengo mbalimbali, kuna washirikina, wachawi, majambazi, malaya nk. unajua mchumba kuna uwezekano akaja kuwa mke au mume wako sasa ni bora ukawa makini, wanawake siku hizi wananyunyiza (kupuliza) kwa sana coz wote wanapenda kuolewa. So take care guys.
watu wanatofautiana bidada, inawezekana utaekutana nae humu utawezana nae kuliko hao unaowasema wewe, kuna ndoa zimefungwa humu na hao watu walikutana humu humu. sio vizuri kuwataja majina ila too bad wengine wamegoma kurudi kwa ids zao za zamani after ndoa..
Umeona eeh....!
Unaweza kupata apple mwingine akapata sungwi yote ni matunda