comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,522
- 11,671
Kwakua wakubwa hawataki watu wenye akili hawa jamaa wanaweza wakakutwa na kitu kizito.
Kwann?Ujinga ujinga tu, hamna nondo.
Hata kama huna shule, jitahid watu wasikuone kuwa wewe ni mpumbavu bro. Sawa??Ujinga ujinga tu, hamna nondo.
Shule yangu ni Shahada ya Umahiri katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. Nadhani inanitoshaHata kama huna shule, jitahid watu wasikuone kuwa wewe ni mpumbavu bro. Sawa??
Utofauti wao wa stress na vijana wa suma ni mdogo sanatatizo wana hasira sana,hii inafanya watu wengine tuwaone wako frustrated zaidi na sio kwamba wameelimika zaidi.
maneno kama
washenzi,mazezeta,wajinga,mang’ombe,mafala,malofa ni kiunganishi sana katika sentensi zao dhidi ya waumini wa dini.
na changamoto nyingine,hawana majibu ya dhana wanayoipinga,unaposema Mungu,Yesu hayupo ni siasa,inabidi utwambie tafiti zako zinasimama na chanzo kipi cha ulimwengu.
maana hata science pia ni ya hao hao unaowaita wahuni.
Jitahid ikusaidie basiShule yangu ni Shahada ya Umahiri katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. Nadhani inanitosha
Mbona wewe kama chawa?Jamaa wana elimu kubwa sema ndio hivyo, sio machawa
Ni suala la muda, TCRA watapita nao.
Hata kama hukusoma memkwa jitahidi uwe na elimu ya matako ya ng’ombeUjinga ujinga tu, hamna nondo.
Hapana mkuukwenye jembe na nyundo machawavwao wanatumia panga na mtutuMbona wewe kama chawa?
Hatari sanaKwakua wakubwa hawataki watu wenye akili hawa jamaa wanaweza wakakutwa na kitu kizito.
View attachment 3364218