Wachina wanatorosha madini yetu

Hawa hawezi kufanya hivi bila msaada wa wenyeji. Wenyeji pia wanatuibia umma. Ifike mahali tuanze kuambiana ukweli.
 
Sijui kwanini watendaji wa serikali hawafatilii hizo.sehemu za ajira. Wahindi na wachina wapo wengi hawana vibali vya kazi kabisa.
Hiyo taarifa waifqnyie kazi watendaji wa Serikali.
 
Hawa hawezi kufanya hivi bila msaada wa wenyeji. Wenyeji pia wanatuibia umma. Ifike mahali tuanze kuambiana ukweli.
Ndio Kuna wakubwa wanawalinda hawa wachina! Kwanza huwa wanapewa taarifa kila mara, pale watu wa uhamiaji wanapoenda kufanya ukaguzi!
 
Mkuu kwanza una uhakika gani kama ni kweli asemayo mleta uzi?
Kuna watu wengi wa kuwatonya na wakafanyia kazi taarifa hiyo kuliko huku mtandaoni labda kama angekuwa tayari kashapita hizo ngazi zote.
Tumia akili ww unaejiita mzalendo uchwara au hao wazalendo wako wa serikalini hawaaminiki?
 
Ishi na jali maisha yako utakuwa na amani. Mwanaume ni kazi siyo umbea umbea tu kuchongea wanaume wenzako.

Nataka ufanye kazi.

Sauh'waaa!
Wewe mtu ni wa ajabu sana, kosa lake huyu ni nini? Ina maana hapaswi kutoa taarifa kama hizi ili serikali ifanye kazi yake?
Jf mods, watu wa hivi wanaweza vipi kuendelea kuwa humu?
 
Wachina ni mchwa wale, na wakipewa bandari ya bagamoyo hadi chawa watasafirishwa kwenda china...........wenye mamlaka naona mnaiuza nchi kirejareja kwa wachina......
 
Wewe mtu ni wa ajabu sana, kosa lake huyu ni nini? Ina maana hapaswi kutoa taarifa kama hizi ili serikali ifanye kazi yake?
Jf mods, watu wa hivi wanaweza vipi kuendelea kuwa humu?
Huyo atakuwa ni takataka anayegawiwa vijisenti kidogo na wachina.....
 
Intelejinsia yetu haioni ngozi nyeupe mkuu, wakufunga paka kengele hajazaliwa bado.
 
Wametorasha kilo mbili kaka mbona no kiasi kidogo Sana kwenye dhahabu au hauna taaarifa kamili million 280, kwa uwekezezaji wa dhahabu ni pesa ndogo sana
 
Yaani huwa nashangaa sana ati mzungu anakuja kuona wanyama. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Waache wachukue kwani toka uzaliwe kuna siku uliona mamako kavaa kitu cha dhahabu ? Acha wivu na dill za watu, kama vip kachimbe zako.
 
Ila mkuu kosa la huyu mtoa taarifa ni nini? Mbona kafanya Jambo jema sana, wenye mamlaka wanapaswa kuchunguza Kama kweli waloshughulikie.
Wewe unaweza kwenda China na kufanya Kama wao wanavyofanya huku?
mleta taarifa hana kosa lolote na wala sijasema kuwa anakosa. mimi nimemuuliza swali tu full stop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…