Onyinyeme
Senior Member
- Aug 13, 2014
- 123
- 36
Hajawahi zika Mpendwa wako, sisi wengine tumezika mzazi na mtoto, kwa hiyo masuala ya mortuary na makaburi tunaona kawaida ingawa haizoeleki, ila kifupi umauma sana, nimesoma hii stori inatukumbusha mengi
Pole sana