Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Kuelekea msimu ujao, tetesi zasema Simba SC kufanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi chake.
Kwenye dirisha hili la usajili, taarifa zinaeleza kuwa wachezaji kadhaa huenda wakaachwa au kuuzwa na klabu ya Simba SC. Orodha ya wachezaji wanaotajwa kuondoka ni kama ifuatavyo:
MAKIPA:
Kwenye dirisha hili la usajili, taarifa zinaeleza kuwa wachezaji kadhaa huenda wakaachwa au kuuzwa na klabu ya Simba SC. Orodha ya wachezaji wanaotajwa kuondoka ni kama ifuatavyo:
MAKIPA:
- Aishi Manula - Anatajwa kumalizana na Azam FC
- Ally Salim
- Ayoub Lakred - Amesaini FUS Rabat ya Morocco
- Moussa Pinpin Camara anapewa mwaka mmoja wa kujipima kabla ya hatma yake kuamuliwa.
- Kevin Kijili
- Che Malone
- Hussein Kazi
- Fabrice Ngoma
- Omari Omari
- Augustine Okejepha
- Jean Charles Ahoua - Ikiwa timu kutoka nje ya Tanzania itaweka dau la kuvutia atauzwa.
- Steven Mukwala - Ndiye pekee kwenye orodha ya kuondoka katika safu ya ushambuliaji kwa sasa