Wachezaji wa Simba wamecheza chini ya kiwango

Wachezaji wa Simba wamecheza chini ya kiwango

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,854
Reaction score
32,657
Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini

Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena

Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana

Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia

Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamisha
Screenshot_20250326-102353.jpg
 
MIMI NI MTANZANIA HALISI KABISA NA MWENYE AKILI TIMAMU..
KAMA UZALENDO NI KUPAMBANIA TIMU YA TAIFA AFADHALI NIWE MKONGO..NITASHABIKIA TIMU YA TAIFA SIKU TUKIACHA SIASA ZA MIPIRA NA KUWA SERIOUS NA MPIRA HALISI, NITASHABIKIA MPIRA WA TAIFA STARS SIKU CARRIER AKIACHA KUWA RAIS WA MPIRA{HUYU NI MHUNI MMOJA TU ANACHEZA NA AKILI ZA WAZAWA WA KITANZANIA, HATA TUKISHINDWA HANA UCHUNGU UNAKUTA ANACHEKA ANATOA VIMENO VYAKE KAMA JINI}
YAANI KAZI YETU NI KUOKOTA WACHEZAJI TOKA YANGA NA SIMBA, KAMA TAIFA HAKUNA MKAKATI, TFF HAKUNA MKAKATI KAZI KULA MISHAHARA NA KULETA UHUNI NA USIASA KWENYE MPIRA..

Ngoja ninywe maji nije..
 
MIMI NI MTANZANIA HALISI KABISA NA MWENYE AKILI TIMAMU..
KAMA UZALENDO NI KUPAMBANIA TIMU YA TAIFA AFADHALI NIWE MKONGO..NITASHABIKIA TIMU YA TAIFA SIKU TUKIACHA SIASA ZA MIPIRA NA KUWA SERIOUS NA MPIRA HALISI, NITASHABIKIA MPIRA WA TAIFA STARS SIKU CARRIER AKIACHA KUWA RAIS WA MPIRA{HUYU NI MHUNI MMOJA TU ANACHEZA NA AKILI ZA WAZAWA WA KITANZANIA, HATA TUKISHINDWA HANA UCHUNGU UNAKUTA ANACHEKA ANATOA VIMENO VYAKE KAMA JINI}
YAANI KAZI YETU NI KUOKOTA WACHEZAJI TOKA YANGA NA SIMBA, KAMA TAIFA HAKUNA MKAKATI, TFF HAKUNA MKAKATI KAZI KULA MISHAHARA NA KULETA UHUNI NA USIASA KWENYE MPIRA..

Ngoja ninywe maji nije..
Sahihi mkuu
 
Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini

Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena

Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana

Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia

Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Shida ndio inaanza hapa, wachezaji wa tram fulani,
Hii ni taifa stars jmn kila mtu ana mchango wake? Upumbavu wa kuingiza teams ndio unapelekea kuingiza element zi kijinga kwenye soka la nchi yetu
 
Shida ndio inaanza hapa, wachezaji wa tram fulani,
Hii ni taifa stars jmn kila mtu ana mchango wake? Upumbavu wa kuingiza teams ndio unapelekea kuingiza element zi kijinga kwenye soka la nchi yetu
Reforms ni muhimu
 
Hivi ulifikiri ungeifunga Morocco kwake?

Yaani kikosi cha Morocco kina value zaidi ya 2.8B$ dhidi ya kikosi chetu cha Tanzania chenye thamani ya 0.58B$ then tutegemee maajabu hapo

Angalia Ligi yetu, wanaoongoza ufungaji Bora, almost wote ni raia wa Kigeni
 
Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini

Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena

Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana

Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia

Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Huna hoja zaidi ya utopoloism
 
Back
Top Bottom