wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 167
Wachezaji wa yanga ni wa hadhi ya ndondo,hawalipwi vizuri..!!
alaaah kumbe ndondo wanalipwa vizuri
Wachezaji wa yanga ni wa hadhi ya ndondo,hawalipwi vizuri..!!
Mkuu kama jina la mashindano linavyojionyesha...ndondo ni aina ya mashindano kwa level ya mchangani but inakuwaga na wachezi masuperstar wanachukuliwa either kama timu yake ya mtaani au anacheza kwa kulipwa......by then haiwezi itwa ndondo bila kuwa na hao masuperstar....
May be ulete idea yko mpya kwamba...ihusishe ma underground tuu but neno ndondo lisitumike
sina uwezo wa kujibizana na watu kama wewe coz hata history ya humu nishaiona,just go suit yourself
Kumbe Unaishi Kwa Historia? Kwahiyo Kwa Mfano Ungekuta Ukoo Wako UNAPUMULIWA Kisogoni Na Wewe Leo Ungekuwa UNAPUMULIWA? Historia Ya GENTAMYCINE Wewe IMEKUSAIDIA na ITAKUSAIDIA Nini? Mimi Ndiyo Kiboko Ya MAPOPOMA MAPOPOMA Kama Wewe Na Wengineo Humu! Ukileta Hoja Ya Maana Kama Ni Nzuri Nitakupongeza Na Kama Ni Ya KIPOPOMA basi Uta POPOMIKA Kweli.
huna akili wewe,inaonyesha jinsi gani ulivyo mswahili,wewe unafikiri ujinga unaoufanya kuna mtu atakusifia?eti Popoma;popoma sio wewe usiye na akili ambaye mambo yako chizi vile.Wewe ni mtu mzima sasa haya mambo ya kipuuzi waachie watoto.Sibishani na wewe tena.