GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,721
- 109,157
1. Zambia
2. Congo DR
3. Ivory Coast
4. Ghana
5. Senegal
6. South Africa
7. Uganda
8. Cameroon
9. Zimbabwe
10. Mali
11. Sudan
12. Mozambique
Wasipotokea katika nchi nilizotaja hapa Simba SC isahau Mafanikio hata kwa Msimu ujao wa 2023 / 2024.
Idadi ya Wachezaji wa Kigeni wanaotakiwa na TFF ni Kumi na Mbili ( 12 ) na hapa GENTAMYCINE nimezitaja Nchi hizo hizo Kumi na Mbili ( 12 ) hivyo ukiwa una Akili Kubwa utajua nimemasnisha nini na nataka kipi kifanyike.
2. Congo DR
3. Ivory Coast
4. Ghana
5. Senegal
6. South Africa
7. Uganda
8. Cameroon
9. Zimbabwe
10. Mali
11. Sudan
12. Mozambique
Wasipotokea katika nchi nilizotaja hapa Simba SC isahau Mafanikio hata kwa Msimu ujao wa 2023 / 2024.
Idadi ya Wachezaji wa Kigeni wanaotakiwa na TFF ni Kumi na Mbili ( 12 ) na hapa GENTAMYCINE nimezitaja Nchi hizo hizo Kumi na Mbili ( 12 ) hivyo ukiwa una Akili Kubwa utajua nimemasnisha nini na nataka kipi kifanyike.