The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,063
- 115,462
Sijui ni mimi peke yangu ninaeshangaa
inakuwaje club kubwa kama simba na yanga
unakuta wachezaji wanatibiwa mwananyama hospitali
wanaishi keko ....
na wengine wa kutoka nje wanaishi mahoteli ya bei rahisi hadi wanaibiwa pesa zao
na kadhalika na kadhalika....
nimesoma sehemu simba walipata almost mil 200 mevhi ya mwisho na ubingwa
bado na udhamini na kadhalika....
achilia mbali kuendesha magari mabovu hadi wanaptwa na ajali......
kuna mtu mwingine labda anaona hii ni sawa?
inakuwaje club kubwa kama simba na yanga
unakuta wachezaji wanatibiwa mwananyama hospitali
wanaishi keko ....
na wengine wa kutoka nje wanaishi mahoteli ya bei rahisi hadi wanaibiwa pesa zao
na kadhalika na kadhalika....
nimesoma sehemu simba walipata almost mil 200 mevhi ya mwisho na ubingwa
bado na udhamini na kadhalika....
achilia mbali kuendesha magari mabovu hadi wanaptwa na ajali......
kuna mtu mwingine labda anaona hii ni sawa?