Feisal, Djuma Shabani na Bangala wanatufundisha nini kupitia mafanikio ya Yanga baada ya kuondoka kwao?

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Dec 7, 2018
718
1,643
Wanatufundisha:

1. To let it go/ To let them go.

2. Tusishikilie au kun'gan'gania kitu kinacho taka kuondoka kwenye maisha yetu. Kama kuna kitu au mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako basi usimlazimishe abaki muache ende zake.

3. To move on.

4. To never look back.

5. Kila kitu kina mbadala wake na kila kitu kinaweza kuwa replaced na kitu kingine ambacho ni bora zaidi.

Sijui Feisal, Djuma Shabani na Bangala wanajisikiaje wanapoiona Yanga ikiwa inapata mafanikio zaidi na kuvunja record zaidi bila ya uwepo wao?

Unadhani kesho na kesho kutwa mmoja kati yao akipewa tena nafasi ya kucheza Yanga ataleta maringo? No way! Hatoweza tena kwa sababu atakuwa anacheza huku akitambua kwamba Yanga ni kubwa kuliko yeye na kwamba anaweza kuwa replaced at any time.

Heshima kubwa sana kwa uongozi wa Yanga chini Engineer Hersi.

Tabulelee laaah!
 
Umemjibu vizuri . Wao wanataka mchezaji azeekee kwao kisa sifa badala ya kutafuta hela. Sifa hazilishi familia zao , kinacholisha familia zao ni pesa
Unateseka ukiwa wapi kijana wa rage,ushaona Yanga inamng'ang'ania akiwa kamaliza mkataba wake?mbona bangala na djuma waliachiwa na Yanga ikiwa bado pia wakiwa ndani ya mkataba,mlitaka Yanga imuachie feisal kihuni tu vile anavyotaka yy,tena makolo mshukuru Yanga kwa kuweka ule msimamo maana azam walirudisha mkia kwa chama ila nae alikua aindoke kihuni kama alivyotaka kuondoka feisal
 
Ndio maana Fei alikataa sifa za kijinga akachagua kuzomewa huku akikunja MAOKOTO ya kutosha.
Akunje tu kwa kweli. Nadhani wanasaidia kuwafungua akili na wengine pia. Kitaeleweka tu. Sisi wengine tunauchukia unyonyaji kama Shetani tu. Hivi pale Azam anaokota ngapi kwa mwezi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom