ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,822
Mzigo wetu umeshawasili kutokea same mkoani Kilimanjaro..mrungi Bomba Safi kitu maini kimeingia na bus mapema tu Jana hiyo Leo Ni kuji sevia tuko na fundi wangu tuko na mzee wetu mjeda kutoka pande zile tunajidai maeneo fulani sikwambii Ni wapi.msosi Ni wa kushato hatukweri.bia moja au mbili tu zinatosha hatunywi kulewa Leo Ni mwendo wa taksima kinywani mixer stori Kama zote..machanjio Ni juu yangu 10000 litembo linatosha kwa machanjio mixer paketi la ubalozi..habari zetu wanazo zao hatuna
Me ndo Yule jamaa ambaye natokea pande zile mama yako alikukataza kuja mida ya jioni.
tembo kwa ajili ya machanjio
Me ndo Yule jamaa ambaye natokea pande zile mama yako alikukataza kuja mida ya jioni.