Uchaguzi 2020 Wachangiaji wa DW wanasema Tundu Lissu atatoa changamoto kali kwa Rais Magufuli

Mmenikumbusha watu wasiojulikana wa awamu ya 5
 
Mje na takwimu maana hizi si zama za uropokaji..mkishushwa kwenye majukwaa msimlaumu mtu
 
Hiyo heading yako pekee kwa mtu asiyejua kabisa chochote kuhusu siasa za Tz tayari anajua mshindi ni nani.
 
Jecha,jecha,jecha,jecha,jecha,jechaaaaaaaaaaaaa.
Tume,tume,tume,tume,tume,tumeeeeeeeeeee.
 
Chadema wasipompitisha Lissu watakuwa wamejichimbia kaburi wanachama, wapenzi na washabiki wao wengi WATANYUTI. Nyalandu siyo kabisa wa kupeperusha bendera ya Chadema.

 
Hivi hapa umeandika nini,? Kwani hizo budget zilikuwa zinaandaliwa na serikali gani na huyo magu alikuwa anaongoza serikali gani? Wewe kweli ni utopolo
 
Sisi hatumtaki rais mwenye pesa za w Hatumtaki Rais mwenye pesa zilizopatikana kwa njia yenye kutia shaka.
Tunamtaka mgombea maskini mwenye uwezo wa kutuongoza hata kama tutamchangia kwa wiki zote za kampeni. Tunamtaka LISSU.
 
Nimekupata ndugu yangu, nashukuru mno kwa maoni na ushauri wako mzuri. Umekomaa sana kiutu na kifikra. Ubarikiwe sana!
 
Anacho takiwa Lssu kufanya ni kwenda kansani na kutoa sadaka ya shukrani kwa Mungu. Pia auachie moyo wake. Asamehe yote yaliyo mkuta Mungu ata mlipizia.
Aache kulaumu ajfanye kama hajatokewa na lolote. Asimtaje JPM kwenye mdomo wake kila wakati. Maana wateule wake Jpm wanamtafuta asigombee urais. Wanajua ni moto kwa baba yao. Ila Watanzania wana akili na moyo wa huruma. Lissu nenda kanisani na sadaka yako kwa Mungu utaona miujiza inayo kwenda kutokea kwa maadui zako.
 
Ndagha fijo kikolo! Kwa faida ya wengine ninamaanisha "ahsante sana ndugu yangu". Tuendelee kuombeana heri na ustaaratibu wa kiutu. Aidha, tuzidi kuwasiliana na kupeana mawazo ya kujengana kifikra
 
Ndagha fijo kikolo! Kwa faida ya wengine ninamaanisha "ahsante sana ndugu yangu". Tuendelee kuombeana heri na ustaaratibu wa kiutu. Aidha, tuzidi kuwasiliana na kupeana mawazo ya kujengana kifikra
Nimekuelewa kikolo, muda mrefu nimekuwa nafuatilia mijadala yenu na huwa nafurahi sana unapokuwa miongoni mwa wachangiaji. Big up and keep it up.
 

Sina imani sana na makanisa haya. Nafikiri sadaka nzuri ni kumpelekea mgonjwa asiyejiweza. Na kuna watu wengi sana wana matatizo makubwa wanaitaji misaada ya hali na mali. Kuna wagonjwa wamekosa pesa ya matibabu, fuatilia vipindi vya ushauri wako kila jumapili saa mbili ahsubuhi RFA kinachoendeshwa na Rebecca Molesi au saa nane mchana jumapili clouds FM kinachoendeshwa na doctor Isaac Marlow.

Makanisani kule ni ofisi za watu na wamewekeza huko. Sishauri sana sadaka za makanisani.
 
Umenena ukweli mtupu!
 
Labda kwa Gwajima. Ila nenda Catholic, nenda Lutheran, nenda Anglucan, nenda SDA, NK. Usikie nguvu za Mungu. Wacha maneno mzee. Nimeshauri maana nimeona nguvu za Mungu kupitia sadaka ya madhabahuni mwa Bwana
 
Sawa, lakini TL hatakuwa mgombea wa CDM, labda CUF ya lipumba. CHADEMA game ishasukwa zamani, na watakaompigoa kura Nyalandu weshatatarishwa na team mbowe. TL ameambiwa nyote mnatokea Singida, mshindane kwenye Box la Kura. Waafrika wote wezi wa kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…