Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,280
- 6,217
Mmenikumbusha watu wasiojulikana wa awamu ya 5Luqman Malotto, Khalifa Said, Gwandumi Mwakatobe na Godlisten Malisa wanachambua vizuri matukio ya kisiasa yaliyojitokeza baada ya kushambuliwa kwa Tundu Lisu lakini nadhani wangechanganya watoa maoni/wachambuzi wenye mitazamo tofauti kidogo kwani katika wote hao angalau Mwakatobe ndio unawez kumuita yupo neutral katika itikadi za vyama
Jambo la kufurahisha ni kwamba wote wamelaani kitendo cha kushambuliwa Lisu na kuwalaani wote waliohusika kupanga, kutekeleza na hata kuunga mkono ukatili huo
Hawa DW mfumo wao wa mijadala ni mzuri sana sio kama BBC. Wanamuacha mchangiaji aongee na kujenga hoja yake bila kumkatisha. Mwenyekiti Mohamed Khelefu anaendesha mjadala kwa weledi sana