Nyinyi watu ni utopolo tu,mtu kwa miaka yote mitano ametekeleza budget zake kwa chini ya 50%,ameongeza only 100 USD kwenye GNI in five years harafu mwendawaz unasema anauwezo wa kutekeleza ilani,labda hiyo ilani nayo iwe utopolo Kama weweHawajielewi mfano sisi CCM tulimptisha si kuwa akampe changamoto mgombea yeyote wa Cham a chochote Bali tunayeamini ataisimia na kuitekeleza ilani ya CCM
Lisu kumtuma eti akampa changamoto Magufuli mumeshindwa siasa tayari
Kwa Chadema anayeonyesha wazi kuelewa akiteuliwa atasimamia Nini Ni Nyalandu tu yuko organized, focused na ana hadhi ya muonekano wa kiraisi kuanzia lugha yaki staarabu na Wasifu wake umejaa barabara maeneo yote kuanzia kiuchumi ,kisiasa ,kimaadili,kidini na uwezo wa kumchukulia a na watu wote ndani na nje ya Chadema.Ni rafiki wa kila mtu Hana adui yeyote ndani na nje ya Chadema.Ana siasa za kushindanana kwa hoja Sio matusi na kejeli kwa yeyote au chama chochote
Ana pesa za kuendesha kampeni bila kubebesha mzigo chama au wanachama tofauti na Lisu ambaye alianza Kuomba kuchangiwa pesa Hadi za kuchukua fomu
Bila msaada wa marefa, vyombo vya dola, na mahakama Ccm watalia mapema tu. Ndiyo maana walishatamuka kuwa watahakikisha vyombo vyote hivi vinawasaidia kuibuka kidedea.YEHODAYA,
Hoja zako mara zote ni za kibanaishaji....!!
Neno changamoto we unalielewaje? Chanfamoto(challenge kwa kimombo) Ni neno pana linalomaanisha kutoa USHINDANI kwene nyanja yoyote iwe KISIASA au KIMICHEZO.
Uliwahi kusikia kitu inaitwa "CHALLENGE CUP" kwene michezo?
Ninajua CCM hantaki changamoto na ndo maana hamtaki kusikia KATIBA MPYA au TUME HURU ili kukwepa changamoto....!!!
Timewasikia Mara nyingi mkitamba kuwa MGOMBEA WA CCM AKISHATELIWA NDIYE RAIS kabla hata ya kupiga kura....!!! Hii yote Ni woga wa challenge toka Upinzani!!!
Nakuhakikishia Kama tutakuwa na Tume Huru ya Uchaguzi huyo JIWE wako haoni ndani kwa TAL!!
Lakini kwa vile mmezoea KWIBA KURA endeleeni kujifurahisha ATI kuwa Wapinzani tayari wameshindwa.....!!!
Kuna siku hamtaamini kitakachotokea!
Sasa mbona huwa wanapelekwa jela, kwenye nchi zilizostaarabikaNi principle ya kawaida kabisa hiyo duniani
Kuna kitu hujui kuhusu ku analyise budget naomba nipe data za bajeti ya maendeleo imetimizwa kwa kiasi gani?Nyinyi watu ni utopolo tu,mtu kwa miaka yote mitano ametekeleza budget zake kwa chini ya 50%,ameongeza only 100 USD kwenye GNI in five years harafu mwendawaz unasema anauwezo wa kutekeleza ilani,labda hiyo ilani nayo iwe utopolo Kama wewe
Na wewe uje utolewe uhai.Ni principle ya kawaida kabisa hiyo duniani
Sitakuwa wa kwanza.Na wewe uje utolewe uhai.
Hamna lolote
Mtakuja kulialia hapa baada ya oktoba 28
Kura jamaa hana. Sema vyombo vihusikeAkili za bavicha na bawacha wanazijua wenyewe eti wanajipa matumanini kabisa ya kushinda uchaguzi ??? .
Haya sisi CCM tunasema hivi tunaingia kwenye uchaguzi tayati tukiwa tuneshinda uchaguzi ngazi ya Urais hakuna namna tutashindwa uchaguzi asimamishwe Lissu, Mbowe, Nyalandu, sijui Membe hakuna ambaye anaweza kufikisha angalau thelusi moja ya kura zote atakazozipata Mh Magufuli.
TUNAENDA KWENYE UCHAGUZI KUTAFUTA NINJ?
Tunaenda kwenye uchaguzi kuhakikisha tunashinda majimbo yote Tanzania bara na visiwani na kuhakikisha tunaongoza Halmashauri zote 184 Tanzania bara.
Sasa Kama kuna mtu anafikiri tunafanya mashala naomba tukutanae tarehe 28/10/2020 tuwafundishe hawa jamaa kwanini mtoto hakui kwa baba ba mama.
Kwa hiyo mmewakodi hao ili wapige kampeni dhidi ya wagombea wengine wa chadema ili wasipate kura?Idhaa ya Sauti ya Ujerumani(DW) unaendelea LIVE. Wachangiaji wanasema Tundu Lissu atatoa changamoto Kali kwa Rais Magufuli.
Mbali na sifa ya SHAMBULIO LA JARIBIO LA MAUAJI ambalo limemjenga Tundu Lissu bado ana sifa nyingine lukuki za kumbeba ikiwemo umahiri wake KISHERIA kama Wakili na mchango wake katika kutetea MADINI YA WATANZANIA yasikwapuliwe na Wawekezaji Uchwara...!!
http://dw.audiostream.io/dw/1002/mp3/64/dw-radio-english
Hawajielewi mfano sisi CCM tulimptisha si kuwa akampe changamoto mgombea yeyote wa Cham a chochote Bali tunayeamini ataisimia na kuitekeleza ilani ya CCM
Lisu kumtuma eti akampa changamoto Magufuli mumeshindwa siasa tayari
Kwa Chadema anayeonyesha wazi kuelewa akiteuliwa atasimamia Nini Ni Nyalandu tu yuko organized, focused na ana hadhi ya muonekano wa kiraisi kuanzia lugha yaki staarabu na Wasifu wake umejaa barabara maeneo yote kuanzia kiuchumi ,kisiasa ,kimaadili,kidini na uwezo wa kumchukulia a na watu wote ndani na nje ya Chadema.Ni rafiki wa kila mtu Hana adui yeyote ndani na nje ya Chadema.Ana siasa za kushindanana kwa hoja Sio matusi na kejeli kwa yeyote au chama chochote
Ana pesa za kuendesha kampeni bila kubebesha mzigo chama au wanachama tofauti na Lisu ambaye alianza Kuomba kuchangiwa pesa Hadi za kuchukua fomu
Bila msaada wa marefa, vyombo vya dola, na mahakama Ccm watalia mapema tu. Ndiyo maana walishatamuka kuwa watahakikisha vyombo vyote hivi vinawasaidia kuibuka kidedea.
Idhaa ya Sauti ya Ujerumani(DW) unaendelea LIVE. Wachangiaji wanasema Tundu Lissu atatoa changamoto Kali kwa Rais Magufuli.
Mbali na sifa ya SHAMBULIO LA JARIBIO LA MAUAJI ambalo limemjenga Tundu Lissu bado ana sifa nyingine lukuki za kumbeba ikiwemo umahiri wake KISHERIA kama Wakili na mchango wake katika kutetea MADINI YA WATANZANIA yasikwapuliwe na Wawekezaji Uchwara...!!
http://dw.audiostream.io/dw/1002/mp3/64/dw-radio-english
Homeboys wenye njaa njaa wachache sana..wengi akili za kuendeshwa hawana..fuatilia siasa za kule utajua..Nditolo hongera kw kumtambua Gwapo. Hizi akili ndy tunataka ili tujenge nchi yetu penye ukweli tuseme Bila kuegemea itikadi!!Ninakushukuru sana Kaka yangu Gwapo Mwakatobhe kwa ushauri ulioutoa kwa Tundu Lissu leo wakati ukichambua kupitia DW.
Umeshauri vizuri sana, lakini najiuliza ni namna gani ushauri huu utamfikia Lissu huko alipo.
Umesema
1. Asirudie kuwasema wale waliotaka kumuua kwa sababu atawapa umaarufu, ni sahihi kabisa atakuwa kama anawatukuza kwa uovu wao
2. Aende akawashukuru watu waliokuwa wanakesha kumuombea ili mungu amponye na pia akawashukuru wale wote waliodiriki kumtembelea kwenda kumjulia hali huko haspitali akiwemo makamu wa Raisi Samia Suluhu Hassan na Mzee Mwinyi
3. Aweke mkakati wa kuwepo maridhiano atakapokuwa ameapishwa kuwa raisi maana hili halikwepeki. Tutampigia kura na atashinda tu (tumechoka na maigizo ya kitapeli)
Umeongea mengi kama ulikuwa umeandika naomba uyaposti hapa yatatusaidia sana huko tuendako. Posti huku JF maana ukimpelekea live utatengeneza maadui kutoka kile chama cha wenye visasi. Nasema hivyo home boy hawa wa kijani tunaishi nao kinafiki. Ukweli hatuwependi hata kuwaona tu. Wengine tunatamani itokee mapinduzi ili hicho kikundi kipigwe marufuku kama ilivyopigwa marufuku NAZI ya Ujerumani enzi Hitler.
Tunashukuru sana. Na nimefurahi mno.
Hongera poti
Mnawatanguliza mamluki kwa upinzani mnafikiri nani atampa ridhaa ya kupitishwa na chama? Subirini yale yale ya Mwambe na Sumaye ili kusudi na yeye awahi kurudi kabla serikali haijaundwa apewe cheo.Hawajielewi mfano sisi CCM tulimptisha si kuwa akampe changamoto mgombea yeyote wa Cham a chochote Bali tunayeamini ataisimia na kuitekeleza ilani ya CCM
Lisu kumtuma eti akampa changamoto Magufuli mumeshindwa siasa tayari
Kwa Chadema anayeonyesha wazi kuelewa akiteuliwa atasimamia Nini Ni Nyalandu tu yuko organized, focused na ana hadhi ya muonekano wa kiraisi kuanzia lugha yaki staarabu na Wasifu wake umejaa barabara maeneo yote kuanzia kiuchumi ,kisiasa ,kimaadili,kidini na uwezo wa kumchukulia a na watu wote ndani na nje ya Chadema.Ni rafiki wa kila mtu Hana adui yeyote ndani na nje ya Chadema.Ana siasa za kushindanana kwa hoja Sio matusi na kejeli kwa yeyote au chama chochote
Ana pesa za kuendesha kampeni bila kubebesha mzigo chama au wanachama tofauti na Lisu ambaye alianza Kuomba kuchangiwa pesa Hadi za kuchukua fomu
Wapinzani hizo nafasi walipewa bungeni na baraza la madiwani hawakuzitumia!!!Nimependa mawazo ya mchangiaji anasema Kwa miaka mi 5 serikali imezuia wapinzani kufanya siasa wakati huo vyombo vyote vya habari vinaripoti yale mazuri tuu yanayofanywa na serikali. Hivyo kipindi cha kampeni ndio muda muafaka kwa wapinzani kuibua na kuonesha changamoto zinazotukumba na jinsi gani serikali imeshindwa tatua changamoto kibao. LISSU FOR PRESIDENCY