KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 83
Umri, afya zao( wote walienda Samunge), raha ya viti vya bunge letu, hawana jipyawote ni "spent forces", posho nyingi,......
Is that denda I'm seeing?
Duh, hawataki kuwaachia vijana hadi wafie bungeni!
Tiba ya Samunge haikufua dafu nini?!Yap, its true.. anamwaga udenda mzee!!! Shame..
Is that denda I'm seeing?
Duh, hawataki kuwaachia vijana hadi wafie bungeni!
Mkuu umekosea kidogo!wote ni CCM A&B!!cha ajabu ni kwamba wote ni ccm
Ah! Hata Mh AL Mrema? Alisema juzi yeye ndiye TLP. Wakimwondoa hakuna chama pale. Ndiye kuku anaetaga mayai!cha ajabu ni kwamba wote ni ccm
sawa kaisa wamezidi kusinzia.Wabadilishiwe viti, wawekewe mabenchi hivyo viti vinawafanya wanalala sana!