Sawa best. Nimejitahidi kukuelewa.hapo sasa tena angalia hata hapo chini pameandikwa kabisa.
Barabara ya wachagga.
hapo sasa tena angalia hata hapo chini pameandikwa kabisa.
Barabara ya wachagga.
Don't take it seriously brother. hata mdau aliyesema kuwa wanapita wachaga tuu na yeye alikuwa anatania kama mimi nilivyotania.Obama ni kikundi cha watu?
compare Obama na Wachagga..
umechanganya madesa
Obama ni kikundi cha watu?
compare Obama na Wachagga..
umechanganya madesa