Wachagga leo watakufa

Mshana kuna mpare jirani yangu ana mbwa sasa kwa sababu ya ubahili anajaza maji kwenye ndoo na kutupia mfupa wenye nyama kidogo. Mbwa katika juhudi ya kuufikia mfupa anajikuta ameshiba maji.Mtani wangu huyo anauchukua mfupa na kuuweka juu ya bati akingoja kesho yake. Yote hii kupunguza matumizi.
 
Tumeokoka Siku nyingi waliobakia ni mmoja kati ya kumi !!

Jina la Bwana Yesu Mungu aliye hai Libarikiwe sana
 

Attachments

  • 1451070295908.jpg
    44.2 KB · Views: 373
Tema mate chini Mshana.!!

WACHAGA WAKIFA NCHI ITAYUMBA, ACHA UTANI KABISA KWENYE HILI.
 
teh tehe teheee.. naona watani mmekutana
 

Wee endelea tu kama unadhani sifa
 
Tema mate chini Mshana.!!

WACHAGA WAKIFA NCHI ITAYUMBA, ACHA UTANI KABISA KWENYE HILI.

Isichimbike miaka Ile tulipowashinda vitani ichimbike leo hii???
 
Wapare sio bahili kabisa. Jiran yangu aliuza ngombe kwa kesi ya kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…