Wachagga hii ni kweli?

Wachagga hii ni kweli?

Status
Not open for further replies.

Manosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
4,510
Reaction score
3,594
Je wachagga hii inawahusu au mmesingiziwa?
 

Attachments

  • IMG-20131014-WA0001.jpg
    IMG-20131014-WA0001.jpg
    30.8 KB · Views: 2,225
khaaaaaaaaaaaaaaa
Kweli Small Minds discuss..............
 
A MODEST PROPOSAL

Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna vumbi la chuki, fitina, wivu, kisasi, na hisia za kibaguzi dhidi ya jamii ya Wachagga nchini. Kuna kila dalili kuwa jamii ya Wachagga nchini siyo tu inaanza kutengwa lakini uwepo wake katika nafasi mbalimbali za uongozi inazua hoja ya ukabila kwa haraka zaidi yawezekana kuliko kabila jingine lolote nchini. Katika Tanzania yetu, wachagga wameanza kunyoshewa kidole siyo kwa siri tena bali kwa wazi kabisa tena na watu ambao wakati mwingine hawapati hata kigugumizi.

Ubaguzi huo msingi wake mkubwa ni idadi ya wachagga katika nafasi mbalimbali za uongozi na hasa kuhusiana na elimu yao. Kuanzia mara tu baada ya uhuru jamii ya wachagga mojawapo ya jamii ambayo watu wake wengi wamesoma sana na kufanikiwa kielimu na kiuchumi imekuwa ikinyoshewa kidole cha kupendelewa.

Mtu yeyote ambaye anaweza akafanya uchambuzi yakinifu hatoshangaa kukuta wataalamu wa kichagga katika nafasi mbalimbali za uongozi au taaluma nchini. Kwenye vyuo vikuu, kwenye idara za serikali na hata kwenye taasisi binafsi kumejaa watu wenye asili ya mkoa wa Kilimanjaro na hususan watu wa jamii ya Kichagga.

Endapo itatangazwa nafasi yoyote ya kitaalamu usishangazwe ukiona kuwa waombaji wengi wana majina ya "Kichagga".

Ni kwa sababu hiyo basi kuna kila dalili kuwa kutokana na wingi wao katika nafasi muhimu na vyeo mbalimbali (hata ndani ya Jeshi la Polisi) Wachagga siyo tu ni wengi lakini wanaonekana kufanikiwa zaidi. Hili ni tishio kwa baadhi ya watu. Ni tishio kwa watu ambao hawako tayari kuangalia jitihada za watu katika kufanikiwa kwao na matokeo yake kushutumu ukabila kila idadi ya Wachagga kwenye kitengo fulani inazidi mmoja.

Ushauri wangu ni kuwa, kwa vile Wachagga wameshasoma sana na kuendelea katika biashara karibu mikoa mingi nchini. Na kwa vile wanaendelea kufanikiwa pia katika nafasi mbalimbali za uongozi nchini, basi itakuwa vizuri kama watajitolea kuachilia nafasi hizo ili kuwapa nafasi watu wa makabila mengine.

Kwa vile ni wao wanaonekana kulalamikiwa kutokana na mambo ya kifisadi aidha kwa moja kwa moja au kwa kuashiria basi ni vizuri wawape watu wengine nafasi hizo hata kama watu hao hawajasoma sana. Hii yote itakuwa ni katika kudumisha mshikamano, umoja na udugu wa Taifa letu.

Endapo Wachagga wataachilia nafasi mbalimbali kama UCEO, Ukurugenzi, Ukuu wa Idara n.k watasababisha watu wawapende na kuwakubali kuwa ni wazalendo wa kweli. Sitoshangaa kuwa ndugu zetu wa Jamii ya Kichagga wakikaa pembeni, basi ufisadi utakoma serikalini, idara zitaongozwa na watu wazuri, na mara moja na daima Tanzania itaanza kukua katika uongozi.

Kwa kupendekeza nashauri wabunge wote ambao ni Wachagga au wana asili ya mkoa wa Kilimanjaro kuachia ngazi mara moja ili watu wa makabila mengine wapewe nafasi hizo. Siyo wao tu bali pia wabunge ambao wameoa au kuolewa uchagani vile vile wafuate nyazo hizo.

Wakishamaliza hao, wakuu wote wa idara za serikali ambao wana asili ya mkoa wa Kilimanjaro na hasa wa jamii ya kichagga (wamarangu, wamachame, wa Rombo, na wa Kibosho) na wao waamue kuachilia nafasi hizo kwa ndugu zao Wamakua, Wamwera, Wa Ndali, Wadigo n.k Katika hili Wapare hawahusishwi.

Tukishamaliza wakuu hao wa idara za serikali ningependekeza madaktari wote wenye kumiliki hospitali binafsi ambao ni wachagga au wameoa/kuolewa uchagani na wenyewe waamue kuingia ubia na watu wa makabila mengine kama wangengereko, wambuu, na wanjiro ili hayo makabila madogo na wenyewe wapate nafasi ya kujifunza fani hizi muhimu.

Zaidi ya yote, majaji na mahakimu wote ambao wana asili ya Uchaggani na wenyewe waamue kujitoa katika nafasi hizo kwani wingi wao pia unaonekana sana na hivyo kuwa kikwako kwa watu wa makabila mengine kufanikiwa zaidi katika nyanja ya sheria. Kwanza kabisa wale majaji wa Kichagga wa mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu wawe wa kwanza kuweka manyanga chini.

Katika kufanya hivyo jamii ya Watanzania ambao inaona ukabila wa wachagga katika sehemu nyingi itaridhika kwani kwa mara ya kwanza tutakuwa tumeshughulikia chanzo cha matatizo yetu mengi
 
hii ingekuwa kule jokes forum atleast hapa wachaga mapovu yamewatoka
mods peleka jokes forum plz
 
A MODEST PROPOSAL

Na. M. M. Mwanakijiji

Kuna vumbi la chuki, fitina, wivu, kisasi, na hisia za kibaguzi dhidi ya jamii ya Wachagga nchini. Kuna kila dalili kuwa jamii ya Wachagga nchini siyo tu inaanza kutengwa lakini uwepo wake katika nafasi mbalimbali za uongozi inazua hoja ya ukabila kwa haraka zaidi yawezekana kuliko kabila jingine lolote nchini. Katika Tanzania yetu, wachagga wameanza kunyoshewa kidole siyo kwa siri tena bali kwa wazi kabisa tena na watu ambao wakati mwingine hawapati hata kigugumizi.

Ubaguzi huo msingi wake mkubwa ni idadi ya wachagga katika nafasi mbalimbali za uongozi na hasa kuhusiana na elimu yao. Kuanzia mara tu baada ya uhuru jamii ya wachagga mojawapo ya jamii ambayo watu wake wengi wamesoma sana na kufanikiwa kielimu na kiuchumi imekuwa ikinyoshewa kidole cha kupendelewa.

Mtu yeyote ambaye anaweza akafanya uchambuzi yakinifu hatoshangaa kukuta wataalamu wa kichagga katika nafasi mbalimbali za uongozi au taaluma nchini. Kwenye vyuo vikuu, kwenye idara za serikali na hata kwenye taasisi binafsi kumejaa watu wenye asili ya mkoa wa Kilimanjaro na hususan watu wa jamii ya Kichagga.

Endapo itatangazwa nafasi yoyote ya kitaalamu usishangazwe ukiona kuwa waombaji wengi wana majina ya "Kichagga".

Ni kwa sababu hiyo basi kuna kila dalili kuwa kutokana na wingi wao katika nafasi muhimu na vyeo mbalimbali (hata ndani ya Jeshi la Polisi) Wachagga siyo tu ni wengi lakini wanaonekana kufanikiwa zaidi. Hili ni tishio kwa baadhi ya watu. Ni tishio kwa watu ambao hawako tayari kuangalia jitihada za watu katika kufanikiwa kwao na matokeo yake kushutumu ukabila kila idadi ya Wachagga kwenye kitengo fulani inazidi mmoja.

Ushauri wangu ni kuwa, kwa vile Wachagga wameshasoma sana na kuendelea katika biashara karibu mikoa mingi nchini. Na kwa vile wanaendelea kufanikiwa pia katika nafasi mbalimbali za uongozi nchini, basi itakuwa vizuri kama watajitolea kuachilia nafasi hizo ili kuwapa nafasi watu wa makabila mengine.

Kwa vile ni wao wanaonekana kulalamikiwa kutokana na mambo ya kifisadi aidha kwa moja kwa moja au kwa kuashiria basi ni vizuri wawape watu wengine nafasi hizo hata kama watu hao hawajasoma sana. Hii yote itakuwa ni katika kudumisha mshikamano, umoja na udugu wa Taifa letu.

Endapo Wachagga wataachilia nafasi mbalimbali kama UCEO, Ukurugenzi, Ukuu wa Idara n.k watasababisha watu wawapende na kuwakubali kuwa ni wazalendo wa kweli. Sitoshangaa kuwa ndugu zetu wa Jamii ya Kichagga wakikaa pembeni, basi ufisadi utakoma serikalini, idara zitaongozwa na watu wazuri, na mara moja na daima Tanzania itaanza kukua katika uongozi.

Kwa kupendekeza nashauri wabunge wote ambao ni Wachagga au wana asili ya mkoa wa Kilimanjaro kuachia ngazi mara moja ili watu wa makabila mengine wapewe nafasi hizo. Siyo wao tu bali pia wabunge ambao wameoa au kuolewa uchagani vile vile wafuate nyazo hizo.

Wakishamaliza hao, wakuu wote wa idara za serikali ambao wana asili ya mkoa wa Kilimanjaro na hasa wa jamii ya kichagga (wamarangu, wamachame, wa Rombo, na wa Kibosho) na wao waamue kuachilia nafasi hizo kwa ndugu zao Wamakua, Wamwera, Wa Ndali, Wadigo n.k Katika hili Wapare hawahusishwi.

Tukishamaliza wakuu hao wa idara za serikali ningependekeza madaktari wote wenye kumiliki hospitali binafsi ambao ni wachagga au wameoa/kuolewa uchagani na wenyewe waamue kuingia ubia na watu wa makabila mengine kama wangengereko, wambuu, na wanjiro ili hayo makabila madogo na wenyewe wapate nafasi ya kujifunza fani hizi muhimu.

Zaidi ya yote, majaji na mahakimu wote ambao wana asili ya Uchaggani na wenyewe waamue kujitoa katika nafasi hizo kwani wingi wao pia unaonekana sana na hivyo kuwa kikwako kwa watu wa makabila mengine kufanikiwa zaidi katika nyanja ya sheria. Kwanza kabisa wale majaji wa Kichagga wa mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu wawe wa kwanza kuweka manyanga chini.

Katika kufanya hivyo jamii ya Watanzania ambao inaona ukabila wa wachagga katika sehemu nyingi itaridhika kwani kwa mara ya kwanza tutakuwa tumeshughulikia chanzo cha matatizo yetu mengi

Hivi hao wachaga wamejaa wapi?! Mbona mimi naona kuna balance nzuri tu. Miaka ya nyuma kulikuwa na kauli kwamba nenda duka Fulani la mchaga, lakini kwa sasa kila mmoja ana duka mahala popote labda iwe Rombo au Kibosho. Wasukuma, Wahaya, Wanyakyusa, watu wa Tanga na wengie wengine wanachukua sana nafasi siku hizi. Nilichokiona ni wasi wasi wa Wachaga kuwa sasa dominance yao inapotea. kwa mfano, outcry kadhaa za siku za karibuni nchini zinatoka na huo wasi wasi wa Wachaga. Mifano ni kama mashirika ya Bima, NBC, nyumba kuna ukabila kiutawala, so was Wizara ya Madini, Mambo ya nje na siku za karibuni vyuo vikuu kama ilivyotokea kelele Sokoine Univesity of Agriculture na kadhalika. Huu ni wasi wasi wa declining dominance ya Wachanga na rise ya wengine katika anga ya utawala nchini na kazi kwa ujumla. Hii notion imepitwa na wakati tubadirike sasa. Tufanye kazi kwa bidii bila kuangalia upuuzi huu ambao kule Kenya unawatafuna kama malaria
 
Hivi hao wachaga wamejaa wapi?! Mbona mimi naona kuna balance nzuri tu. Miaka ya nyuma kulikuwa na kauli kwamba nenda duka Fulani la mchaga, lakini kwa sasa kila mmoja ana duka mahala popote labda iwe Rombo au Kibosho. Wasukuma, Wahaya, Wanyakyusa, watu wa Tanga na wengie wengine wanachukua sana nafasi siku hizi. Nilichokiona ni wasi wasi wa Wachaga kuwa sasa dominance yao inapotea. kwa mfano, outcry kadhaa za siku za karibuni nchini zinatoka na huo wasi wasi wa Wachaga. Mifano ni kama mashirika ya Bima, NBC, nyumba kuna ukabila kiutawala, so was Wizara ya Madini, Mambo ya nje na siku za karibuni vyuo vikuu kama ilivyotokea kelele Sokoine Univesity of Agriculture na kadhalika. Huu ni wasi wasi wa declining dominance ya Wachanga na rise ya wengine katika anga ya utawala nchini na kazi kwa ujumla. Hii notion imepitwa na wakati tubadirike sasa. Tufanye kazi kwa bidii bila kuangalia upuuzi huu ambao kule Kenya unawatafuna kama malaria

Sumu ya ukabila ni mbaya kuliko hata ya nyoka...kila siku wachaga weziiii wezi,kwanini wanaolalama nao wasiibe?
 
Mbona mnapenda kuongelea makabila? hapa jana si ni nyinyi mliokuwa mnapinga habari zinazowahusu watu kutoka mkoa wa Kagera eti kufanya hivyo ni ukabila?sasa hapa mbona mnaongelea wachagga? ama hili sio kabila hapa Tanzania? ...Tatizo Mods mmeruhusu hata wenye akiri finyu na wao kuonekana wanajua kuandika Jf,tuleteeni watu wanaopembua mambo siyo hawa wanaojua kuandika tu kitu kidogo wao wanakimbilia eti ukabila.
 
Ndugu arch! Hoja yako upande fulani ina mantiki.lakini kwenye kusema wachaga waachie ngazi uongozi mbalimbali si sahihi. 1.kwanza nawapa hongera kwa maadili yao ya maisha na uchapaji wa kazi.uvivu kwao mwiko na jamii iko tayari kukutenga! 2.lazima wakubali lawama zinazo waangukia kwani nyingi za kweli hivyo wajitahidi kubadilika.3.wakati makabila mengi tanzania(hasa sisi wanyamwezi na wasukuma)tulikua hatutaki kuendeleza kwetu na tulikua hatuna umoja ugenini wao kwao walipajali.big up wachaga nimeishi moshi hadi vijijini kuhusu wachaga sijasimuliwa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom