Wachaga wanaweza kuleta maendeleo

nimeishi na wachaga sana,mchaga akifika mahali akishanunua kiwanja utaona jinsi atakavyobadilisha mazingira ya pale
mara bustani mara anapanda miti
ukienda kwao kule machame na marangu utafikiri ulaya,tuwape nchi waongoze kwa sababu wanaona mbali sana
ingekuwa nchi nyingine wangekuwa wameshapewa siku nyingi
lakini hapa kwetu tunakalia uswahili na maneno tuu,huyo kikwete ana uwezo gani wa kuleta mabadiliko?

Ingekuwa vema kama ungeonyesha ushahidi wa nguvu kuhusu uletaji wao wa maendeleo na sio kupanda miti na maua kwenye nyumba zao. Hivi mimi nikipanda miti na maua nyumbani kwangu ndio maendeleo? Hivi unaongelea umaridadi au maendeleo? Hivi ni kabila gani linaongoza kwa wizi nchini?
 
Wapeni muone watavyowabagua, nawajua hawa watu nimeishi sana nao wanajiona bora sana kuliko wengine. Nimeoa huko nnaona jinsi wanavyojisifia. So nyie wote mnaotaka kuwapa uongozi wenzenu wanawaita CHASAKA eti nyie ni watu wa PORINI, utadhani wao kule kwao ni jangwa wakati imejaa migomba kibao!
 
Mkwele anaweza sana tu, kaangalie msoga palivyopendeza.
nimeishi na wachaga sana,mchaga akifika mahali akishanunua kiwanja utaona jinsi atakavyobadilisha mazingira ya pale
mara bustani mara anapanda miti
ukienda kwao kule machame na marangu utafikiri ulaya,tuwape nchi waongoze kwa sababu wanaona mbali sana
ingekuwa nchi nyingine wangekuwa wameshapewa siku nyingi
lakini hapa kwetu tunakalia uswahili na maneno tuu,huyo kikwete ana uwezo gani wa kuleta mabadiliko?
 
Mtu wa kabila lolote anaweza kuleta maendeleo na pia anaweza kuharibu maendeleo. Hao wachaga wapo wenye uwezo na wasio na uwezo. Hata ukiwatembelea kwao maisha na tabia zinatofautiana. Wale wa Uru, na wa Kishumundu huwezi kuwalinganisha na wa Machame na Rombo.

Cha maana hapa ni uwezo wa mtu kama yeye na si kabila.
 
nimeishi na wachaga sana,mchaga akifika mahali akishanunua kiwanja utaona jinsi atakavyobadilisha mazingira ya pale
mara bustani mara anapanda miti
ukienda kwao kule machame na marangu utafikiri ulaya,tuwape nchi waongoze kwa sababu wanaona mbali sana
ingekuwa nchi nyingine wangekuwa wameshapewa siku nyingi
lakini hapa kwetu tunakalia uswahili na maneno tuu,huyo kikwete ana uwezo gani wa kuleta mabadiliko?


Never wish utawaliwe na Mchagga utajiju. Naturally, Mchagga si kiongozi bali ni tapeli. Bora nitawaliwe na Chama Cha Mafisadi (CCM) kuliko kuwa chini ya Mchagga. Nyerere aliona mbali. Wachagga na wazee Wa katerero (wahaya),a big NO!
 
Achane ukabila. Wachaga walipewa elimu mapema kuliko makabila mengi ya Tanzania. Wao ndio mafisadi wa nchi hii kwani wamejaa ofisi karibia zote na ni wachakachuzi wazuri hivyo haishangazi kuwaona wanaendelea kuliko baadhi yetu. Wao wanamtaji sisi hatuna.


kama nyie ni wachakarikaji wa kikweli mtafight mpate hiyo mitaji na si kulalamika.
 
Hizi ni myth tu mkuu, na hazija ishia hapo tu
Kuwa wachaga ni wakabila kupindukia, yaani mchaga ndugu yake ni mchaga tu, na ndio maana akiwepo boss sehemu atajaza wenzake tu wengine hamna chenu.
Mchaga yupo tayari kufanya lolote kupata hela, na ndio maana wanaongoza kwa ujambazi na makampuni ya kitapeli
Usioe mwanamke wa kichaga ukifanikiwa anakupoteza arithi mali.
Wasipewe uongozi wa nchi maana watageuza sehemu ya biashara kujipatia mali badala ya kuongoza and the list goes on
list ya myth ipo nyingi tu,
Do you agree with it?


wapewe uongozi tuone lakini wachaga hawawezi kuiba pasipo na hela kwa hiyo atapiga akili jinsi ya kuingiza pesa so wakati pesa inaingia yeye anaiba but atleast atatutupia walalahoi lakini kwa makabila ambayo sio wachakarikaji wataiba hata hazina waliyoikuta kwa kuwa hawana akili ya kutafuta hela!!!!
 
Kuna jamaa yangu mmoja mchaga aliiba Tv ya shule,alafu peke yake yule jamaa..alafu hela yenyewe akalewea peke yake..
Yani wachaga bwana wezi halafu wana roho ngumu sana.
 
Kuna jamaa yangu mmoja mchaga aliiba Tv ya shule,alafu peke yake yule jamaa..alafu hela yenyewe akalewea peke yake..
Yani wachaga bwana wezi halafu wana roho ngumu sana.

ha ha ha ha.....uh. kweli wachaga kabila celebrity bongo.
 
Ingekuwa vema kama ungeonyesha ushahidi wa nguvu kuhusu uletaji wao wa maendeleo na sio kupanda miti na maua kwenye nyumba zao. Hivi mimi nikipanda miti na maua nyumbani kwangu ndio maendeleo? Hivi unaongelea umaridadi au maendeleo? Hivi ni kabila gani linaongoza kwa wizi nchini?

angalia ktk miji yote tz biashara ni za kina nani na nyumba za kupanga utawajua wachaga
 
Never wish utawaliwe na Mchagga utajiju. Naturally, Mchagga si kiongozi bali ni tapeli. Bora nitawaliwe na Chama Cha Mafisadi (CCM) kuliko kuwa chini ya Mchagga. Nyerere aliona mbali. Wachagga na wazee Wa katerero (wahaya),a big NO!

kwa kuwa umezoea usharobaro na u mdebwedo unahofu kuongozwa na makabila yatakayokuchapa viboko.we endelea tu kukaa vijiweni utakujasutwa na wajukuu zako
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom