pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 651
Nianze kwa kusema mimi sio machaga Wala sitokei kanda ya kaskazini.
Kilimanjaro Ni mkoa ambao ukifika mjini unaweza kusema umebaki nyuma kimaendeleo. Ukijitahidi nenda maeneo ya vijijini, utaona kila mahali Kuna umeme, maji, migomba, ng'ombe au mbuzi na na hata kakibanda ka biashara
Nimejaribu Sana kufuatilia maisha ya Hawa watu. Nimeona tushukiriane. Pamoja na mapungufu wanayoweza kuwa nayo Haya Ni Mambo yanawafanya wachaga waendelee
1. Mfumo wao wa urithi. Mchanga akiwa na watoto hasa wa kiume lazima awarithishe ardhi. Hata tukija kwenye vitabu vitakatifu, ardhi ni urithi wa kwanza aliopewa mwanadamu. Hii imefanya kila mtu awe anelaendeleza pale alipopewa maana huwa ni aibu wenzako wanajenga alafu wewe umeweka shamba.hii ndio sababu Kilimanjaro kila sehemu nzuri. Sehemu zingine watu ni kuzaa bila hata kujua mtoto atapata nini au utamuachia nini.
2. Wachagga wengi wanathamini sana elimu. Ni vigumu sana kumkuta mchanga hafikirii kupeleka mtoto shule. Kuna dada nimemuona anafanya kazi ya kukusanya pesa vyoo vya manispaa hapa dar. Huyu dada anasomesha mtoto wake shule nzuri na anajitahidi kweli.taifa haliwezi kuendelezwa na wajinga. Adui mkubwa kwa nchi zetu hizi ni ujinga. Ndio maana watu wako tayari kuacha matibabu na kwenda kwenye kikombe au mahali pengine.mtu toka asubuhi anaangalia habari za free mason na anaona amejua sasa sijui akijua hayo mambo yanamsaidia nini. Hawa jamaa kutoka na elimu wako kila mahali na wanajitahidi kweli kujituma kutafuta pesa na mali. Makabila mengine tuige hii kitu. Kuna makabiliano kuoa wake wengi ni sifa bila hata kujali damu yao italelewaje
3. Wachaga wanathamini sana damu yao. Ukitaka kuthibitisha hili mpe mimba mtoto wa mchaga. Wazazi watachukia sababu ya aibu lakini watamsaidia mtoto na kulea yule mtoto. Wengi wa wachaga watachukua yule kiumbe na kumwendeleza mtoto wao kufikia malengo. Angalia makabila mengine, mtoto atalazimishwa kuolewa na kukimbia shule. Angalia rafiki zangu wamatengo kule mbinga vijijini. Kuna umuhimu wa kujifunza kwa hawa watu kabisa.
Lakini pia pia hata kunyenyuana hawa jamaa hawaachani.
4. Wachaga sio watu wanaopenda masifa sifa sana. Yaani ukikuta mchaga kanunua gari nzuri ujue account yake inasoma vizuri kwa kweli. Sasa msikilize baba cocku. Yaani hata akiwa na baiskeli atajinyenyua sana.
Wachaga hawapendi kuabudiwa..yaani ukimfanyia kazi atapenda na wewe uinuke. Njoo kwa wajomba wanyaki, yeye anataka akipata wengine mumuone kama mtu special sana.hawa jamaa wanasaidiana sana, angalia biashara zao.
5. Wachaga hawanaga imani za hovyo hovyo. Ebu angalia maeneo kama mbeya. Eti wanatafuta mtu anaitwa lamba lamba kufukuza wachawi vijijini. Watu wanatumia masaa kadhaa kuhangaika na maimamu ambayo hayaleti maendeleo. Mara kupiga NONDO watu, mara kkuchuna ngozi, mara matukio kibao.Watu ni ushirikina wanasahau kusoma na kufanya maendeleo. Sehemu zenye imani nzito za kishirikina mara nyingi utakuta maendeleo yao duni. sana. Angalia hata uchagani maeneo ya uru wanakoamini ushirikina utakuta hata maendeleo yao sio sawa na wengine kama, Machame, marangu,rombo, na hata kibosho.
6. Pia ni watu wa kukumbuka fadhila. Mimi nimewahi kumsaidia jamaa mmoja mrombo. Nilimsaidia kukunua uwanja mzuri dar. Baada ya kumaliza kazi ambayo nilifanya bila intention ya kulipwa maana alikuwa rafiki yangu. Jamaa alipona nimeamka ishi hati ikiwa kamili alinipa million tatu ili niongeze ninunue na mimi plot. Hawa jamaa wanapenda maendeleo sana na sio wabinafsi. Sasa Kutana na watani wangu waha. Piga kazi uwezavyo lakini utaishia kupigwa Majungu tu. Sio wote jamani. Tuwaige wachaga.
7. Wanawake wa kichaga ni watafutaji balaa. Wanafanana na wanawake wa kinyakyusa. Yaani hata umwachie watoto ili mradi umempa mji atalea familia. Sasa pata wale wenzetu wa ngoma. Wao ni kumuombea mzazi afe ili wauze nyumba wagawane pesa wakatanue kwenye ngoma. Tujifunze kwa wenzetu wachaga.
8. Wachaga wakiona unafanikiwa baadala ya kutafuta uchawi wakuroge watakuja kukuuliza mbinu. Mimi niliwahi kufuga kwao. Walipoona mifugo yangu inafanya vizuri wanakijiji wengi walikuwa wakifika kuniomba niwafundishe ninavyofanya.
Ukienda sehemu zingine utapata Majungu na visa kibao. Ndio maana hawaendelei.
Nimezunguka sehemu nyingi kutokana na kazi yangu, lakini hawa wachaga wana kitu cha kujifunza sisi tusio wachaga
Tujifunze kwa wachaga. Kumchukia mwenye nacho hakukufanyi upate. Jifunze kwa wenye nacho na waliofanikiwa na waliokuzidi.
Kilimanjaro Ni mkoa ambao ukifika mjini unaweza kusema umebaki nyuma kimaendeleo. Ukijitahidi nenda maeneo ya vijijini, utaona kila mahali Kuna umeme, maji, migomba, ng'ombe au mbuzi na na hata kakibanda ka biashara
Nimejaribu Sana kufuatilia maisha ya Hawa watu. Nimeona tushukiriane. Pamoja na mapungufu wanayoweza kuwa nayo Haya Ni Mambo yanawafanya wachaga waendelee
1. Mfumo wao wa urithi. Mchanga akiwa na watoto hasa wa kiume lazima awarithishe ardhi. Hata tukija kwenye vitabu vitakatifu, ardhi ni urithi wa kwanza aliopewa mwanadamu. Hii imefanya kila mtu awe anelaendeleza pale alipopewa maana huwa ni aibu wenzako wanajenga alafu wewe umeweka shamba.hii ndio sababu Kilimanjaro kila sehemu nzuri. Sehemu zingine watu ni kuzaa bila hata kujua mtoto atapata nini au utamuachia nini.
2. Wachagga wengi wanathamini sana elimu. Ni vigumu sana kumkuta mchanga hafikirii kupeleka mtoto shule. Kuna dada nimemuona anafanya kazi ya kukusanya pesa vyoo vya manispaa hapa dar. Huyu dada anasomesha mtoto wake shule nzuri na anajitahidi kweli.taifa haliwezi kuendelezwa na wajinga. Adui mkubwa kwa nchi zetu hizi ni ujinga. Ndio maana watu wako tayari kuacha matibabu na kwenda kwenye kikombe au mahali pengine.mtu toka asubuhi anaangalia habari za free mason na anaona amejua sasa sijui akijua hayo mambo yanamsaidia nini. Hawa jamaa kutoka na elimu wako kila mahali na wanajitahidi kweli kujituma kutafuta pesa na mali. Makabila mengine tuige hii kitu. Kuna makabiliano kuoa wake wengi ni sifa bila hata kujali damu yao italelewaje
3. Wachaga wanathamini sana damu yao. Ukitaka kuthibitisha hili mpe mimba mtoto wa mchaga. Wazazi watachukia sababu ya aibu lakini watamsaidia mtoto na kulea yule mtoto. Wengi wa wachaga watachukua yule kiumbe na kumwendeleza mtoto wao kufikia malengo. Angalia makabila mengine, mtoto atalazimishwa kuolewa na kukimbia shule. Angalia rafiki zangu wamatengo kule mbinga vijijini. Kuna umuhimu wa kujifunza kwa hawa watu kabisa.
Lakini pia pia hata kunyenyuana hawa jamaa hawaachani.
4. Wachaga sio watu wanaopenda masifa sifa sana. Yaani ukikuta mchaga kanunua gari nzuri ujue account yake inasoma vizuri kwa kweli. Sasa msikilize baba cocku. Yaani hata akiwa na baiskeli atajinyenyua sana.
Wachaga hawapendi kuabudiwa..yaani ukimfanyia kazi atapenda na wewe uinuke. Njoo kwa wajomba wanyaki, yeye anataka akipata wengine mumuone kama mtu special sana.hawa jamaa wanasaidiana sana, angalia biashara zao.
5. Wachaga hawanaga imani za hovyo hovyo. Ebu angalia maeneo kama mbeya. Eti wanatafuta mtu anaitwa lamba lamba kufukuza wachawi vijijini. Watu wanatumia masaa kadhaa kuhangaika na maimamu ambayo hayaleti maendeleo. Mara kupiga NONDO watu, mara kkuchuna ngozi, mara matukio kibao.Watu ni ushirikina wanasahau kusoma na kufanya maendeleo. Sehemu zenye imani nzito za kishirikina mara nyingi utakuta maendeleo yao duni. sana. Angalia hata uchagani maeneo ya uru wanakoamini ushirikina utakuta hata maendeleo yao sio sawa na wengine kama, Machame, marangu,rombo, na hata kibosho.
6. Pia ni watu wa kukumbuka fadhila. Mimi nimewahi kumsaidia jamaa mmoja mrombo. Nilimsaidia kukunua uwanja mzuri dar. Baada ya kumaliza kazi ambayo nilifanya bila intention ya kulipwa maana alikuwa rafiki yangu. Jamaa alipona nimeamka ishi hati ikiwa kamili alinipa million tatu ili niongeze ninunue na mimi plot. Hawa jamaa wanapenda maendeleo sana na sio wabinafsi. Sasa Kutana na watani wangu waha. Piga kazi uwezavyo lakini utaishia kupigwa Majungu tu. Sio wote jamani. Tuwaige wachaga.
7. Wanawake wa kichaga ni watafutaji balaa. Wanafanana na wanawake wa kinyakyusa. Yaani hata umwachie watoto ili mradi umempa mji atalea familia. Sasa pata wale wenzetu wa ngoma. Wao ni kumuombea mzazi afe ili wauze nyumba wagawane pesa wakatanue kwenye ngoma. Tujifunze kwa wenzetu wachaga.
8. Wachaga wakiona unafanikiwa baadala ya kutafuta uchawi wakuroge watakuja kukuuliza mbinu. Mimi niliwahi kufuga kwao. Walipoona mifugo yangu inafanya vizuri wanakijiji wengi walikuwa wakifika kuniomba niwafundishe ninavyofanya.
Ukienda sehemu zingine utapata Majungu na visa kibao. Ndio maana hawaendelei.
Nimezunguka sehemu nyingi kutokana na kazi yangu, lakini hawa wachaga wana kitu cha kujifunza sisi tusio wachaga
Tujifunze kwa wachaga. Kumchukia mwenye nacho hakukufanyi upate. Jifunze kwa wenye nacho na waliofanikiwa na waliokuzidi.