Wachaga!sio watu hata kidogo!

Pure nomaa

JF-Expert Member
Dec 10, 2011
1,158
1,382
Mhindi,mpare na mchaga walienda kutoa msaada wa pesa kwa maskini.lakini waliweka masharti ya kupata huo msaada.na mambo yalikuwa hivi:-

mhindi>mimi ntachora duara kisha ntarusha pesa juu,zitakazoingia zenu,zitakazo toka nje zangu

mpare>mimi ntachora mstari kisha ntarusha pesa juu,zitakazo dondokea kwenye mstari zenu,zitakazo toka nje zangu

mchaga>mimi ntarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu,zitakazorudi chini zangu!
 
Mhindi,mpare na mchaga walienda kutoa msaada wa pesa kwa maskini.lakini waliweka masharti ya kupata huo msaada.na mambo yalikuwa hivi:-

mhindi>mimi ntachora duara kisha ntarusha pesa juu,zitakazoingia zenu,zitakazo toka nje zangu

mpare>mimi ntachora mstari kisha ntarusha pesa juu,zitakazo dondokea kwenye mstari zenu,zitakazo toka nje zangu

mchaga>mimi ntarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu,zitakazorudi chini zangu!

I am a Chuwa and I am human being
 
Back
Top Bottom