Wachaga ni Taifa Teule

Status
Not open for further replies.
Unashangaa hilo kwani Wayahudi kwa miaka 2000 si mpaka 1949 ndiyo wamepata nchi yao? Kule USA wako wayahudi wengi kuliko Israel na wanakila ushawishi lakini hawajawahi kuwa na Rais Muyahudi

Sasa IQ zenu mnazitumia kwenye nini? Kama mnatawaliwa na watu wenye IQ ndogo?

Au tuseme kuna watu wamewazidi IQ hapa hapa Tanzania?

Mjomba fikiria mara 2 nadharia yako hyo.

Ukipita Arusha kuna hoe hae wengi tu wapo mabarabarani kama marofa, Napenda spirit yenu ya kufanya kazi lkn ni moja ya jamii yenye watu wengi wasio staarabika
 
Maneno mengi point hauna. !Hata hata Israeli iliama kwao lakini ndo taifa teule!
 
Nawaona wenye IQ 60 wanavyotoka povu😂ila tuache hizi mambo hazijengi umoja japo haipingiki kuna mambo mengi sana makabila mengine inabidi waige kutoka kwa wajukuu wa Mangi
 
Hawa wachaga ambao ni wahudumu wa bar huku kwetu Bariadi watoto wakisukuma wanaruka nao kila siku wakitoka na pesa zao maduarani ndio unasema wana IQ ya ngapi kiongozi?

Wahudumu wa bar wakiruka na pesa za wasukuma kunatatizo gani wewe kiazi?
Msukuma anatoka kuchimba dhahabu anapata million 200+ anaenda kupukutishwa na Manka baada ya week anarudi kwenye madura hana hata mia.

Wakati huo manka anarudi pale Kibosho anadosha mjengo ana kumnunulia mzee Otaru pickup ya kubebea ndizi mgombani.

Who's the loser here?
 
Nawaona wenye IQ 60 wanavyotoka povu😂ila tuache hizi mambo hazijengi umoja japo haipingiki kuna mambo mengi sana makabila mengine inabidi waige kutoka kwa wajukuu wa Mangi
IQ rating ya 120 unakuwa superior,kiufupi unakuwa exceptional.Watanzania wengi wapo 80-89(low avarage) ukitoa wahaya ambao ni 130 and above.Mtu anayefungua vioski kila anapokwenda unaweza vipi kusema ana IQ ya 120?(maana hiki ndicho kitu wanaweza wachaga kila unapowakuta,sasa wajifunze nini watu hapa?)
 
Mimi ni mchaga ambaye sijui historia hivyo nafurahia sana malumbano yenu ya hoja sababu najifunza mengi
 
The question is not who wins or get lost in the process.My concern was the IQ ratings discussed here.Mchanga hawezi kuwa na IQ rating ya 120 akawa barmaid.Kwa mfano wako hapa Msukuma ataonekena yupo vizuri maana mtu anayeweza kumake 200m plus sio wa kawaida.Huwezi kuniambia huyo kupe anayekuja kuzichuma kwamba ni mrate 120 kwenye IQ rating(maana hakuna alichofanya kwa akili zaidi ya kutoa kitumbua kwa wazee wa moko)
 
Kuwa barmaid ni njia tu yakutafuta. Vipi mwenye iq 120 akiwa barmaid halafu anaweza kumchuna msukuma millions zake 200 ndani ya week (uwezo wa akili). Haya huyu mwenye iq 60 hata akiwa Engineer hana hata ajira ni kishoka tu kula kuunga unga (hana uwezo)

Kazi ya mtu haihusiani na uwezo wake wa akili. Kuna watu ni madalali, barmaids au wapiga debe stand wana maisha mazuri kuliko watu wenye kazi rasmi kama wahasibu, ma engineer n.k
 
Kukosa kwako Exposure ndio kunakufanya udhani IQ kubwa inakufanya usifanye mambo mengine.
Na lack of IQ kwako ndio kunakufanya despise small begins
 
Kwanini binti wa Kisukuma asitoe hicho kitumbua akazichukua yeye?
 
Una akili kubwa sana
 
Hawa ndo wale ambao wazazi wao ni viongozi wa makabila....
 
Kwa taarifa ya bure ni kwamba kazi ya mtu inahusiana na uwezo wake kiakili(factors nyingine ziweke kando ukitaka tutaziongelea).

Plato.Alifanya grouping ya watu na kazi zao kulingana na uwezo wao kiakili ndio maana alikuja na kundi la iron boys ambao kwasababu cognitive abilities zao kuonekana kuwa chini akawapa kazi kama migambo,majeshi na kuendelea.

Kazi ya barmaid inahitaji mtu tu mwenye low level of cognition ndio maana nimekataa mtu mwenye IQ ya 120 rating kufanya kazi ya hivi.

Kuna kitu tunasema,thought precedes an action.Hivyo basi ukiona mtu ni barmaid(weka hoja nyingine kando) utajua kichwani kwake ni mweupe kwa maana kama angekuwa mtu mwenye kuwaza vizuri tungeona idea iliyo bora kutoka kwake na si kwenda kuwa barmaid.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…