Hivi ingekuwa mbunge mmojawapo amepoteza maisha katika hiyo ajali, bunge lingeendelea? Au mimi ndo sielewi?Kweli wabunge wa CCM hamnazo,kesho tutasikia salam zao za kinafiki.
lakini ingekuwa ni wabunge wa CDM wametoka CUF mngeungana na mabwepande kuzomea lkn wenzenu wa CDM wamewaunga mkono,mngekuwa nyinyi cuf mngefanya hivyo?
FREEDOM is COMING SOON!.Huyu spika Makinda sijui ni binadamu wa aina gani kilichotokea leo kuzama kwa boti ni janga la taifa hivi hapo bungeni wewe Makinda ungekaa kwenye hicho kiti kama sio wananchi huu ni upuuzi wa hali ya juu hivi bunge ni bora kuliko uhai wa mtanzania....hapo ndio namkubuka Samuel Sitta... huyu Makinda ana roho ya chuma aisee!
Tatizo ni utaratibu uliotumika haukuwa na ustaarab hata kama kuna matatizo
Nahisi wewe unawaombea ndugu zako wafe ili uletewe rambirambi. Utu ni zaid ya hela.Ningewaona wa maana zaidi kama wangekataa kuchukua posho ya kikao jana ili iwe rambramb badala yake wanaongea 2....na inasemekana mpaka saa mja usik hakuna hata mbung mmoja aliyekuwa amefika eneo la tukio sasa cjui walitoka wakaend wap.