Wabunge wetu mjadili: Elimu ya ujasiliamali, usafi, usalama, mazingira na michezo ni muhimu sana mitaala yetu elimu iboreshwe

VAPS

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
5,610
13,160
Mfumo wetu elimu unapaswa kufumuliwa na kuboreshwa, tusome mambo ya msingi pia kwa afya na maisha ya kila siku.

Tutapunguza utegemezi, maradhi na garama za matibabu na kuongeza tija uzalishaji.
Haya mambo ya kukariri jiografia za mabara yote duniani, na si lazima wote wasome hesabu tete!

Mfano vyandarua vina gawiwa bure bado wapo Watanzania wanasema Joto,ndoto mbaya! Mipira mfano ya kiume wapo wadada,kina mama wengi wanasema eti mafuta ya kondom yanaongeza tumbo!

Bado adui ujinga ni tatizo kubwa.
 
Cross cutting issues ni mtambuka
Sisi kama tunataka nchi ya Viwanda ilitakiwa twende kwenye Vocational training tungeachana na Shule za Kata. Ingawa tunaweza Merge hizi za kata niende pamoja na mafunzo ya ufundi na hili lingewezekana tu endapo tungeboresha mtaala huo uchopekwe na mafunzo ya ufundi
 
Wabunge gani hao! Hawa hawa wengi wa ccm? Labda uwaambie wapitishe maadhimio ya kumpongeza mwenyekiti; kwa hilo watakuwa tayari muda wowote ule! ila siyo kujadili mijadala yenye maslahi kwa nchi.
 
wabunge wenyewe wengi ni vila..za, too high to explain!.
Sisi abiria wa daladala hatuchagui bus bali nafasi.Muhimu hapa tupate watetezi tusiingie uchumi wa kati come na mfumo uleule wa elimu wenye tija duni.
 
Mfumo wetu elimu unapaswa kufumuliwa na kuboreshwa, tusome mambo ya msingi pia kwa afya na maisha ya kila siku.

Tutapunguza utegemezi, maradhi na garama za matibabu na kuongeza tija uzalishaji.
Haya mambo ya kukariri jiografia za mabara yote duniani, na si lazima wote wasome hesabu tete!

Mfano vyandarua vina gawiwa bure bado wapo Watanzania wanasema Joto,ndoto mbaya! Mipira mfano ya kiume wapo wadada,kina mama wengi wanasema eti mafuta ya kondom yanaongeza tumbo!

Bado adui ujinga ni tatizo kubwa.
Wabunge gani? Hawa wa ndiooo wa ccm wachumia tumbo?
 
Back
Top Bottom