Futota
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 521
- 87
Hatuwezi kubishana, elimu ndio msingi wa maendeleo.
Taifa ni budi kujengwa na wasomi.
Na bila kuficha ukweli Chadema, akina "Vihiyo" wapo wengi.
Taifa ni budi kujengwa na wasomi.
Na bila kuficha ukweli Chadema, akina "Vihiyo" wapo wengi.
Baadhi ya cv zinaanza kupatikana. Freeman mbowe ni utata mtupu, inaonesha ameishia for six ingawa hataji ni wapi. Anataja kuwa amewahi kuwa bank officer wa bank kuu ya tanzania. Nimefuatilia pale bank kuu wamenihakikishia hakuna cheo kama hicho banki kuu ya tanzania. Awaeleze ukweli wa tanzania alikuwa anafanya kazi gani benki kuu na kilichomfanya aondoke pale na kuwa disko joker ninini. Mheshimiwa mmoja pale benki kuu amenichekesha kuwa unaamini afisa mkubwa wa benki kuu anaweza kufanana na freeman mbowe?? Akasema hawa ni macheki boku wa mjini wanaishi kwa midomo yao na kamwe si vichwa vyao. Bado tutachunguza tukipata ukweli tutawaelimisha wa tanzania.
Kihiyo mwingine ni msigwa wa iringa. Yeye inaonesha ameishia form four. Sasa swali hawa siyo uamsho kweli maana wachungaji wanafahamika kwa kuipiga shule sijawahi kuona mchungaji wa kidato cha nne.
Sugu masikini yeye kakubali yaishe. Ameishia form four na alikuwa mgambo wa bp kabla ya kuanza kucheza disko