Twaha Mwaipaya Shahidi Muhimu wa Chadema kwenye Kesi ya Wabunge 19 wasio na chama , atarajiwa kuwastaafisha Maofisa wa NEC na Bunge

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,628
218,059
8BB8423D-7141-46F7-801A-1BFB0699DE06.jpeg


Taarifa za Uhakika kutoka kwenye Jopo la Wanasheria wa Chadema, zinaonyesha kwamba mmoja wa mashahidi Muhimu watakaohitajika kutoa ushahidi Kwenye kesi inayokikabili chama hicho dhidi ya Wabunge wasaliti Waliofurushwa na wanaolindwa kwa udi na uvumba na Serikali ya Tanzania, ni ndugu Twaha Mwaipaya ambaye ni Katibu wa Uhamasishaji wa Taasisi bora kabisa ya Vijana Duniani (Bavicha) .

Inadaiwa Mwaipaya anayo Majina ya viongozi wa NEC, Bunge na maofisa wa vitengo vingine wanaotajwa kuwezesha mchakato wa Kuwatoa Jela Usiku mwingi ili Mfungwa Nusrat Hanje akaapishwe bungeni.

Tayari kitengo chetu kinayo majina ya maofisa hao, bali hatutawataja hapa kwa vile Sheria za Tanzania zinakataza mambo yaliyo Mahakamani kujadiliwa mitaani au mitandaoni.

Iko haja kwa angalau miezi hii michache Mwaipaya akaongezewa ulinzi kwa ajili ya Masilahi mapana ya Demokrasia na Haki .

Mungu Ibariki Chadema .
 
View attachment 2407773

Taarifa za Uhakika kutoka kwenye Jopo la Wanasheria wa Chadema , zinaonyesha kwamba , mmoja wa mashahidi Muhimu watakaohitajika kutoa ushahidi Kwenye kesi inayokikabili chama hicho dhidi ya Wabunge wasaliti Waliofurushwa na wanaolindwa kwa udi na uvumba na Serikali ya Tanzania , ni ndugu Twaha Mwaipaya ambaye ni Katibu wa Uhamasishaji wa Taasisi bora kabisa ya Vijana Duniani (Bavicha) .

Inadaiwa Mwaipaya anayo Majina ya viongozi wa NEC , Bunge na maofisa wa vitengo vingine wanaotajwa kuwezesha mchakato wa Kuwatoa Jela Usiku mwingi ili Mfungwa Nusrat Hanje akaapishwe bungeni , Tayari kitengo chetu kinayo majina ya maofisa hao , bali hatutawataja hapa kwa vile Sheria za Tanzania zinakataza mambo yaliyo Mahakamani kujadiliwa mitaani au mitandaoni .

Iko haja kwa angalau miezi hii michache Mwaipaya akaongezewa ulinzi , kwa ajili ya Masilahi mapana ya Demokrasia na Haki .

Mungu Ibariki Chadema .
Analindwa?
 
Mkuu tayari unaharibu.
Angalia wasijekumteka na kumtisha
Kukaa kimya ni mbaya zaidi kuliko kuyaweka wazi , maana hao watu wanajua anawajua na atawaanika , sasa ni vema wakajiuzulu mapema
 
View attachment 2407773

Taarifa za Uhakika kutoka kwenye Jopo la Wanasheria wa Chadema , zinaonyesha kwamba , mmoja wa mashahidi Muhimu watakaohitajika kutoa ushahidi Kwenye kesi inayokikabili chama hicho dhidi ya Wabunge wasaliti Waliofurushwa na wanaolindwa kwa udi na uvumba na Serikali ya Tanzania , ni ndugu Twaha Mwaipaya ambaye ni Katibu wa Uhamasishaji wa Taasisi bora kabisa ya Vijana Duniani (Bavicha) .

Inadaiwa Mwaipaya anayo Majina ya viongozi wa NEC , Bunge na maofisa wa vitengo vingine wanaotajwa kuwezesha mchakato wa Kuwatoa Jela Usiku mwingi ili Mfungwa Nusrat Hanje akaapishwe bungeni , Tayari kitengo chetu kinayo majina ya maofisa hao , bali hatutawataja hapa kwa vile Sheria za Tanzania zinakataza mambo yaliyo Mahakamani kujadiliwa mitaani au mitandaoni .

Iko haja kwa angalau miezi hii michache Mwaipaya akaongezewa ulinzi , kwa ajili ya Masilahi mapana ya Demokrasia na Haki .

Mungu Ibariki Chadema .
Chadema ULINZI MKALI kwa KAMANDA MWAIPAJA UNAHITAJIKA
 
Hii kesi ni aibu kubwa sana kwa Ofisi ya Spika wa Bunge kuwa bunge ni la hovyo haliheshimu sheria wakati ndio watunzi wa sheria.
Pia Tume ya Uchaguzi NEC chini ya Mahera kuwa ya kihuni kabisa na inayo kosa heshima kwa kuvunja Katiba bila woga na ni kosa kubwa la jinai.
Labda tuwape tahadhari wahusika, kuvunja katiba ni kosa la jinai ambalo halina ukomo na hata wakiingia madarakani wengine wanaweza kulifukua kosa hilo la "unajisi wa Katiba" na tukaja ona Dr Tulia, Ndugai na Mahera wakila vifungo virefu gerezani.
Kama wanabisha wamuulize mwanasheria wetu wa mchongo Pascal Mayalla atawaelimisha.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hii kesi ni aibu kubwa sana kwa Ofisi ya Spika wa Bunge kuwa bunge ni la hovyo haliheshimu sheria wakati ndio watunzi wa sheria.
Pia Tume ya Uchaguzi NEC chini ya Mahera kuwa ya kihuni kabisa na inayo kosa heshima kwa kuvunja Katiba bila woga na ni kosa kubwa la jinai.
Labda tuwape tahadhari wahusika, kuvunja katiba ni kosa la jinai ambalo halina ukomo na hata wakiingia madarakani wengine wanaweza kulifukua kosa hilo la "unajisi wa Katiba" na tukaja ona Dr Tulia, Ndugai na Mahera wakila vifungo virefu gerezani.
Kama wanabisha wamuulize mwanasheria wetu wa mchongo Pascal Mayalla atawaelimisha.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ni hivi , Kila Ubaya Utalipwa .
 
Back
Top Bottom