Bunge la Somalia limeingia kwenye mzozo baada ya wabunge wake kuamua kuchapana makonde,
wabunge hao waliingia kwenye mzozo baada ya kutofautiana,chanzo cha ngumi ni uchaguzi wa Spika wa Bunge bwana Sharif Hassan,ambaye baadh ya wabunge 'wanamkubali' na wengine hawamtaki,habari zinaeleza kuwa wapo 'wazee wa posho' ambao walijeruhiwa.
Sosi:SWAHILI TEHRAN RADIO
wabunge hao waliingia kwenye mzozo baada ya kutofautiana,chanzo cha ngumi ni uchaguzi wa Spika wa Bunge bwana Sharif Hassan,ambaye baadh ya wabunge 'wanamkubali' na wengine hawamtaki,habari zinaeleza kuwa wapo 'wazee wa posho' ambao walijeruhiwa.
Sosi:SWAHILI TEHRAN RADIO