Wabunge wapya wa CUF vs CHADEMA waparuana Dodoma

Wabunge wapya wa CUF vs CHADEMA waparuana Dodoma

Mtoa mada hajawahi kutoa taarifa sahihi humu JF,hata jina lake sio sahihi
 
litakuwa ni kosa kubwa sana kwa ukawa kutoruhusu wabunge wake bungeni. waingie bungeni na wakati wa rais kutoa hotuba yake wa walk out. nje ya hapo ukawa watakuwa wamepunguza imani kubwa sana kwa wananchi waliowachagua wabunge hao. kuhusu zanzibar wawatumie wabunge wao kuibana serikali bungeni juu ya kilichotokea zanzibar.pia jumuia za kimataifa...
 
Hapo ndio unaweza kuona ni jinsi gani watz wengi akili zao zimedumaa, mpaka leo hawajui ukawa wanapigania haki za Watanzania wote zidi ya uporaji wa cccm wanaona sawa elimu ikiwa mbovu,umeme shida,biashara za kuchuuza kodi mia, rushwa kila kona nashangaa hawa watu waishi dunia ipi. Mpaka leo hawajui adui yao ni nani? na wanawasaliti wanaowapigania maisha yao, sijui nani kawachia laana?
 
Mechi ikiharibika si inarudiwa! shida ni nini, kwani cuf wameambiwa watachangia gharama?

Mbona inaharibika mkishindwa tu???????Asiyekubali kushidnwa si mshindani,hii imewekwa kwetu sote...............
 
Back
Top Bottom