Wabunge wanne wajiunga na ACT - Wazalendo

Wabunge wanne wajiunga na ACT - Wazalendo

Naomba nikukumbushe
Zitto wakati anagombea Ubunge Kigoma Kaskazini CHADEMA ilikuwa na Madiwani 11, alipogombea na kushinda wakabaki 6 alipogombea awamu ya pili 2010 wamebaki 2 ni vema ukawa na akili ya kuelewa kwa kuendana na Takwimu sio unakurupuka tu kishabiki kwa kumuona kuwa Zitto alikuwa muhimu ndani ya CHADEMA kumbe kiuhalisia sivyo.

Kuna watu hamuijui kigoma vizuri.mimi nmekaa nao huko na nawafahamu vizuri. kama kuna mkoa unastahili pongez hapa tanzania katika kupokea na kuadopt mabadiliko ya kidemocrasia, bac kigoma itakuwa inaongoza.fuatilia uchambuzi wa Mtatiro utanielewa ninachokisema. kigoma hawachagui kwa upofu ilimradi2 wako chama flani na hawauzi haki yao kwa kuhongwa tofauti na sehem zngne. so usishangae hata kachama kadogo kama CHAUSTA Wakimsimamisha mgombea makini akapita. ww hata kama ni chadema, ccm au nccr mkimweka mgombea mburura asiye na hoja yakinifu, usitegemee kupita. wangaangalia hoja kuntu.
 
Hivi bunge likivunjwa bado tunabakia kuwa na wabunge?
 
jamaa ameshaifanya Kigoma ni mali yake, anachotaka yeye lazima wananchi wafuate!! huu ni utumwa mamboleo.

Kama mbowe anavotupeleka wachaga hasi aibu anakula ila za jimbo alafu sisi tunaendelea kumshangilia tu...
 
Kuna watu hamuijui kigoma vizuri.mimi nmekaa nao huko na nawafahamu vizuri. kama kuna mkoa unastahili pongez hapa tanzania katika kupokea na kuadopt mabadiliko ya kidemocrasia, bac kigoma itakuwa inaongoza.fuatilia uchambuzi wa Mtatiro utanielewa ninachokisema. kigoma hawachagui kwa upofu ilimradi2 wako chama flani na hawauzi haki yao kwa kuhongwa tofauti na sehem zngne. so usishangae hata kachama kadogo kama CHAUSTA Wakimsimamisha mgombea makini akapita. ww hata kama ni chadema, ccm au nccr mkimweka mgombea mburura asiye na hoja yakinifu, usitegemee kupita. wangaangalia hoja kuntu.

Nilichokiandika mimi kumjibu huyo anayemsifia Zitto kuwa bila yeye kwa sasa CHADEMA imekufa sasa naomba ujipime kwa hiki ulichokiandika kinaendana na nilichokiandika mimi? nilichokiandika nimekuwekea tena hapa chini.

quote_icon.png
By kibogo

Naomba nikukumbushe
Zitto wakati anagombea Ubunge Kigoma Kaskazini CHADEMA ilikuwa na Madiwani 11, alipogombea na kushinda wakabaki 6 alipogombea awamu ya pili 2010 wamebaki 2 ni vema ukawa na akili ya kuelewa kwa kuendana na Takwimu sio unakurupuka tu kishabiki kwa kumuona kuwa Zitto alikuwa muhimu ndani ya CHADEMA kumbe kiuhalisia sivyo.
 
Kama mbowe anavotupeleka wachaga hasi aibu anakula ila za jimbo alafu sisi tunaendelea kumshangilia tu...

Hivi kwa nini vijana wote wanaoishabikia CCM kiuhalisia ni wenye upeo mdogo sana wa kuelewa? Ebu ona ulichokiandika na utaelewa ninamaanisha nini.
 
Zito ndio Raisi wa kigoma popote alipo wananchi wa kigoma tupo.

Hatuyumbishwi chadema na nccr tumewaachia watu wa kaskazini.

Tuliipokea vizuri nccr, tukaipokea vizuri chadema sasa tumechoka kuburuzwa,ni zamu ya chama cha ukombozi wa kweli,
ACT WAZALENDOOOOOOOOOO.
hongera sana, naomba na mimi nipate kadi haraka ya wana ACT -Kigoma.
 
Mm nlisha sema siku zote chadema ni walafi wa madaraka watu hawakunielewa so now mnaamini...
 
duh hiki nacho chama cha kigoma...sasa sisi tuende chama cha wapi? manake waha wana chama chao

Ukabila kitu kibaya sana
 
Poor Tanzania
Ngoja ccm waendelee kuwatawala coz hamjielewi bado

Kuanzisha vyama ndo maendeleo!!
Ngoja ccm waendelee kuwagawanya
 
Poor Tanzania
Ngoja ccm waendelee kuwatawala coz hamjielewi bado

Kuanzisha vyama ndo maendeleo!!
Ngoja ccm waendelee kuwagawanya

Nchi ina wasaliti, wachumia tumbo, wenye uchu wa madaraka na mali. Usitegemee collective development hapa, we fanya yako tu huku ukimuomba Mungu, CCM itakuwa juu kwa miaka mingi kwa uroho wa wachache.
 
Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu wa ACT- Wazalendo akiongea na Clouds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka watakapopokelewa katika majimbo yao.

Pia Naibu Katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR mageuzi tayari amejiunga rasmi na chama hicho.

Mbona wote wa Kigoma sasa? au??
 
Back
Top Bottom