subiria basi awe mboweunaota mbona kumeshakucha au hili baridi bado umelala zito awe raisi??????
Umeongea kwa masikitiko sana mkuu wangu, ila ukweli ndio huo, hizo ni saccos, bakia njia kuu chama kubwa CCM, huko utaendelea kuuumiza nafsi yako, unawatajirisha wenzako, shtuka..Hawa ACT wawaache tu, sisi tuko busy kugombea nafasi ya urais tu, mbowe kishatuzunguka kavuta mpunga kwa lowassa amuuzie chama, kweli siasa za kibongo hazina maana kabisa
Nchi ina wasaliti, wachumia tumbo, wenye uchu wa madaraka na mali. Usitegemee collective development hapa, we fanya yako tu huku ukimuomba Mungu, CCM itakuwa juu kwa miaka mingi kwa uroho wa wachache.
Niliwahi sema kua chadema hakuna democrasia ya kweli bali ni genge la wachache la kujipatia pesa...
Walisema 60, siyo 50. Pia wakasema Lowassa anajiunga nao. Namsikitikia Moses Machali kama amejiunga na wasaliti ACT, amechagua garasa. Bora Shibuda kaenda tawi lingine la CCM, yaani TADEA, kawaepuka ACT na Ayatollaak wao Zitto.
hongera sana, naomba na mimi nipate kadi haraka ya wana ACT -Kigoma.
Vijana wana miemko sana sasa sijui NCCR - MAGEUZI wamekosa nini vijana wadogo kama hawa na wenye ushawishi katika jamii yetu. Tatizo ni kumpenda Zitto au ni chama chao natamani kupata majibu kutoka kwao nitafurahi sana.
Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu wa ACT- Wazalendo akiongea na Clouds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka watakapopokelewa katika majimbo yao.
Pia Naibu Katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR mageuzi tayari amejiunga rasmi na chama hicho.
Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu wa ACT- Wazalendo akiongea na Clouds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka watakapopokelewa katika majimbo yao.
Pia Naibu Katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR mageuzi tayari amejiunga rasmi na chama hicho.