Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
katika ishu ya mswada toka ianze jana ni mbunge gani mwanamke wa (ccm) aliyesimama na kuwawakilisha wanawake wa tanzania kwa kuchangia ishu ya mswada kwa maslah ya TAIFA?? WANAWAKE WA CCM WAKIONGOZWA NA ANNA MAKIND.A WANAWEZA KUWAWAKILISHA WANAWAKE??