Yes nimemsikia waziri akisema ujenzi wa run way umekamilika na sasa kazi inafuata ni ujenzi wa jengo la Abiria ambalo lipo kwenye bajeti ya mwaka huu.Kabisa hatanii. Sasa Daraja.Ila pia project ya kupanua Mwanza international aiport ipo mbioni.
Yes nimemsikia waziri akisema ujenzi wa run way umekamilika na sasa kazi inafuata ni ujenzi wa jengo la Abiria ambalo lipo kwenye bajeti ya mwaka huu.Kabisa hatanii. Sasa Daraja.Ila pia project ya kupanua Mwanza international aiport ipo mbioni.
Wapinga maendeleo na serikali kwa ujumla wapo uvunguni mwa kitanda wameziba masikio
Subiria matusi kutoka CHADEMAHuwezi kutaka maendeleo wakati miundombinu ya usafirishaji ni mibovu. Utalima weee lakini kama miundombinu ni mibovu mazao yataishia kuoza tu. Hutaweza kusafirisha kupeleka sokoni.
Punguzeni kujipendekeza. Mtabinuliwa oooooohWapinga maendeleo na serikali kwa ujumla wapo uvunguni mwa kitanda wameziba masikio
Nafikiri daraja hilo linaelekea chatto au geitaNi wapi huko? Maana nimepita pale jumba jeupe la magogoni Fery naona maandaliz ya usafi na mapambo!
Hiv wewe chadema wanakupaga Nini mpaka uwe unapinga kila Jambo zuri linalofanywa na serikali?Mkuu hiyo computer image ndio inayokuchanganya nini? Hivyo vyote vilikuwepo huko Afrika Kusini lakini Mandela na weusi wenzake hawakuvisujudia.
Hiv wewe chadema wanakupaga Nini mpaka uwe unapinga kila Jambo zuri linalofanywa na serikali?
Hapa kazi tu. Mliokuwa mnauliza pia kuhusu upanuzi uwanja wa ndege Mwanza hope jibu mmelipata hapa. Vamoooooooos Magufuli. Te amo kwa kazi unazozifanya.