mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,142
- 5,634
Katika hali isiyo ya kawaida jana wakati naangalia taarifa ya habari ITV, Mh. Mnyaa alikuwa akilalamika kuwa wabunge wanaelekea katika kikao cha bunge kinachoanza leo wakiwa hawajapewa muhtasari wa nini wanachoenda kufanya.
Katika hali isiyo ya kawaida tu unaweza kukutana na mtu kabeba mabegi anasafari na kumuuliza unaelekea wapi na kukujibu sielewi. Na huku ni kupoteza uelekeo.
Wabunge kuelekea bungeni bila kupewa muhtasari wa nini wanachoenda kufanya ni kuonyesha kabisa kuwa wanaelekea huko ili mradi tu kukamilisha ratiba na hii inaonyesha ni namna gani huu mhimili muhimu wa Serikali ulivyokosa muelekeo.
Katika hali isiyo ya kawaida tu unaweza kukutana na mtu kabeba mabegi anasafari na kumuuliza unaelekea wapi na kukujibu sielewi. Na huku ni kupoteza uelekeo.
Wabunge kuelekea bungeni bila kupewa muhtasari wa nini wanachoenda kufanya ni kuonyesha kabisa kuwa wanaelekea huko ili mradi tu kukamilisha ratiba na hii inaonyesha ni namna gani huu mhimili muhimu wa Serikali ulivyokosa muelekeo.