Sasa Makinda kila asemacho kinakuja dhihirika kuwa ni uongo mtupu. Uongozi wa Bunge kwa kweli umepwaya sana toka wamuwekee Sita kauzibe ya kukosa sifa ya kuwa na jinsia ya kike ili wampitishe.
Ingekuwa ni mchezo wa mpira na kuwalinganisha yeye na Sita katika possession ingekuwa MAKINDA 3% -SITA 93%
Mkuu total percentage lazima iwe 100%, naona yako iko 96% zingine anapewa nani????Sasa Makinda kila asemacho kinakuja dhihirika kuwa ni uongo mtupu. Uongozi wa Bunge kwa kweli umepwaya sana toka wamuwekee Sita kauzibe ya kukosa sifa ya kuwa na jinsia ya kike ili wampitishe.
Ingekuwa ni mchezo wa mpira na kuwalinganisha yeye na Sita katika possession ingekuwa MAKINDA 3% -SITA 93%
Katika maspika wote waliowahi kushika wadhifa huu, huyu ndiye Mwanaasha wao! Hivi kanuni za Bunge zinasemaje, spika lazima akae mpaka miaka mitano? Hawezi kuenguliwa? Anatia kichefuchefu!
Hiv ana watoto?mbona anawadhalilisha wanae kila kukicha uongo??chezea siasa makinda![/QU MKUU ANAO WATOTO NA MMOJA WAPO NMESOMA NAE NJOMBE SEC NA ALIPATAGA ZERO MWAKA 2002,.
Bunge la safari linachekesha sana.
Yaani spika muongo????? Nimeamini itafika sehemu nchi itashindwa kutawalika maana hakuna wa kumnyoohsea kidole mwenzie.
Hii ndio shida ya mtandao.
Waiter!!
Sasa Makinda kila asemacho kinakuja dhihirika kuwa ni uongo mtupu. Uongozi wa Bunge kwa kweli umepwaya sana toka wamuwekee Sita kauzibe ya kukosa sifa ya kuwa na jinsia ya kike ili wampitishe.
Ingekuwa ni mchezo wa mpira na kuwalinganisha yeye na Sita katika possession ingekuwa MAKINDA 3% -SITA 93%
Vuteni subira kwani muda si mrefu atasema: Jamani hawa waandishi wa magazeti "waliniquote" vibaya. Si nilishawaambiaga haya magazeti myasome kama barua?
Katika maspika wote waliowahi kushika wadhifa huu, huyu ndiye Mwanaasha wao! Hivi kanuni za Bunge zinasemaje, spika lazima akae mpaka miaka mitano? Hawezi kuenguliwa? Anatia kichefuchefu!
Nasema hivii, si Makinda tu peke yaka mwongo hata anayejiita mtoto wa mkulima. Si muda mrefu alisema eti yeye hawezizi kumuwajibisha Davidi Jairo kwa sababu mamlaka iliyomweka madarakani ni nyingine. Nashangaa kina Blandina wa wizara ya afya kawawajisha. Ushauri wangu ni kuwa itengenezwe kitu kama makumbusho iwekwe hii serikali ya awamu hii ili baadaye ije kuwa rahisi kuwaeleza kuwa ile Tanzania ya mwalimu Nyerere ilishawahi kuwa na serikali ya ajabuajabu namna hii!
Namwonea huruma..maana miaka minne mingi sana. Kama vipi bora aache uspika abakie na ubunge kwanza kabla ya kuwa evicted completely ifikapo 2015.