Wabunge walalamikia ongezeko la matumizi ya P2, watu milioni 1.7 wanaishi na VVU

John Haramba

JF-Expert Member
Feb 4, 2022
365
1,373
Wabunge walalamikia ongezeko la matumizi ya P2, watu milioni 1.7 wanaishi na VVU

Wabunge wa Tanzania wamesema matumizi ya dawa za dharura za uzazi wa mpango zinazojulikana kwa jina la P2 kuzuia mimba kwa wasichana wenye umri wa miaka 14-24 yanaongezeka.

Wabunge katika kamati ya afya walikuwa wakiwasilisha ripoti kuhusu ongezeko la maambukizi ya VVU ambayo ilibainisha kwamba wasichana walikuwa wakizuia mimba zaidi ya maambukizi.

Kondomu za mpira za kiume hutoa kinga dhidi ya magonjwa ya zinaa na zinafaa kwa 98% katika kukomesha mimba.

Kamati ilipendekeza kuwa wanaouza tembe hizo za dharura wajumuishe kondomu za ziada na kuwashauri wateja kuzitumia ili kuzuia maambukizi ya VVU.

Takriban watu milioni 1.7 nchini Tanzania wanaishi na VVU.

Kondom.jpg
 
Duu! Kukomesha Mimba?! Mimba ni kitu cha kukomeshwa?!! Aisee!!!

Wabunge muangalie na aina ya rushwa za kula, mnatumika vibaya.
 
Wabunge bora wakae kimya.

Sa kama viongozi wanalalamika sisi wanachi tufanyeje.
 
Back
Top Bottom