John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Wabunge walalamikia ongezeko la matumizi ya P2, watu milioni 1.7 wanaishi na VVU
Wabunge wa Tanzania wamesema matumizi ya dawa za dharura za uzazi wa mpango zinazojulikana kwa jina la P2 kuzuia mimba kwa wasichana wenye umri wa miaka 14-24 yanaongezeka.
Wabunge katika kamati ya afya walikuwa wakiwasilisha ripoti kuhusu ongezeko la maambukizi ya VVU ambayo ilibainisha kwamba wasichana walikuwa wakizuia mimba zaidi ya maambukizi.
Kondomu za mpira za kiume hutoa kinga dhidi ya magonjwa ya zinaa na zinafaa kwa 98% katika kukomesha mimba.
Kamati ilipendekeza kuwa wanaouza tembe hizo za dharura wajumuishe kondomu za ziada na kuwashauri wateja kuzitumia ili kuzuia maambukizi ya VVU.
Takriban watu milioni 1.7 nchini Tanzania wanaishi na VVU.
Wabunge wa Tanzania wamesema matumizi ya dawa za dharura za uzazi wa mpango zinazojulikana kwa jina la P2 kuzuia mimba kwa wasichana wenye umri wa miaka 14-24 yanaongezeka.
Wabunge katika kamati ya afya walikuwa wakiwasilisha ripoti kuhusu ongezeko la maambukizi ya VVU ambayo ilibainisha kwamba wasichana walikuwa wakizuia mimba zaidi ya maambukizi.
Kondomu za mpira za kiume hutoa kinga dhidi ya magonjwa ya zinaa na zinafaa kwa 98% katika kukomesha mimba.
Kamati ilipendekeza kuwa wanaouza tembe hizo za dharura wajumuishe kondomu za ziada na kuwashauri wateja kuzitumia ili kuzuia maambukizi ya VVU.
Takriban watu milioni 1.7 nchini Tanzania wanaishi na VVU.