WB: 2050 Tanzania Itafikisha Watu Milioni 140. Yatoa wito kudhibiti kasi ya Ongezeko la watu na uzazi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,060
49,748
Benki ya Dunia imesema Kufikia mwaka 2050 Tanzania inakadiriwa kuwa na watu Milioni 140 ambapo itakuwa ni mzigo mkubwa Kwa Uchumi wa Nchi.

Akizindua ripoti ya Hali ya Uchumi ya Nchi, Mkurugenzi Mkaaji wa WB Kanda ya Mashariki na Tanznaia Nathan Beleke amesema Tanzania Ina ukujai wa 3% ambao ni Juu ya wastani wa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara na pia Ukiwa Juu ya ongezeko la watu la 2.7% linalokubaliwa kwenye Nchi zinazoendelea.


View: https://www.instagram.com/p/C4ae9p7oh2M/?igsh=d3UzdjR5cDV6cGU4

My Take
Kuliko Kuzuia watu wasizaane ni Bora kuitaka Serikali kuongeza Kasi ya Ukuaji wa Uchumi.

Sikubaliani na WB maana watu wengi ni faida.Nchi hii ni kubwa sana kuliko idadi hiyo ya watu.

View: https://www.instagram.com/p/C4cepXINmZH/?igsh=bTR4OTg3dHUxeGpt

Kama Tunaishi miaka Mingi Kuna shida gani?

View: https://www.instagram.com/p/C4gNTKPosYA/?igsh=MTBpb2dzbXM1MDlheA==
 
Wajinga kweli .

Nchi hiii ambayo karibia asilimia 70 ya Nchi ni mapori, ndo tuje tupangiwe??.

Watanzania tuzaee tuongezeke, tuijaze Nchi ambayo Mungu katupatia.

Wakati tinaongezeka, TUFANYE KAZI KWA BIDII.

haya majitu kwakua yanaombwa misaada na Marais waafrika wapumbavu pumbavu, Matokeo yake Sasa yanaanza kuingia Values zetu.

Tuna maziw makuu matatu yaan Maji ni uhakika.

Tuna Ardhi yenye rutuba ya kutosha.

Ni Kukosea tu Marais wenye Akili, matokeo yake tunaanza kupangiwa.

WACHINA WAKO BILION 1.3 + lakini Leo hii wameanzisha kampeni ya kuongeza uzazi.

Wahindi wanaotishia Uchumi wa wachina, ni matokeo ya kua na idadi kubwa ya watu.

Sitoshangaa, Huyu Bimkubwa wenu, kwakua anapenda PESA asoitolea Jasho akitaka Wizara uanzishe kampeni hii.

Maana ya Kauli hiii ni kua kufikia 2050, kuwe na wazeee wengi ambao Kwa Sasa ni Vijana.
 
Wajinga kweli .

Nchi hiii ambayo karibia asilimia 70 ya Nchi ni mapori, ndo tuje tupangiwe??.


Watanzania tuzaee tuongezeke, tuijaze Nchi ambayo Mungu katupatia.

Wakati tinaongezeka, TUFANYE KAZI KWA BIDII.


haya majitu kwakua yanaombwa misaada na Marais waafrika wapumbavu pumbavu, Matokeo yake Sasa yanaanza kuingia Values zetu.

Tuna maziw makuu matatu yaan Maji ni uhakika.

Tuna Ardhi yenye rutuba ya kutosha.


Ni Kukosea tu Marais wenye Akili, matokeo yake tunaanza kupangiwa.


WACHINA WAKO BILION 1.3 + lakini Leo hii wameanzisha kampeni ya kuongeza uzazi.


Wahindi wanaotishia Uchumi wa wachina, ni matokeo ya kua na idadi kubwa ya watu.



Sitoshangaa, Huyu Bimkubwa wenu, kwakua anapenda PESA asoitolea Jasho akitaka Wizara uanzishe kampeni hii.



Maana ya Kauli hiii ni kua kufikia 2050, kuwe na wazeee wengi ambao Kwa Sasa ni Vijana.
Wapumbavu sana ,siwezi waunga mkono kwa.sera za kijinga na za kukariri hizo.

Tunahitaji watu wengi ila tuu tuwanoe wawe vizuri na Hilo liko ndani ya uwezo wa Nchi Kwa Rasilimali tulizonazo.
 
Benki ya Dunia imesema Kufikia mwaka 2050 Tanzania inakadiriwa kuwa na watu Milioni 140 ambapo itakuwa ni mzigo mkubwa Kwa Uchumi wa Nchi.

Akizindua ripoti ya Hali ya Uchumi ya Nchi, Mkurugenzi Mkaaji wa WB Kanda ya Mashariki na Tanznaia Nathan Beleke amesema Tanzania Ina ukujai wa 3% ambao ni Juu ya wastani wa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara na pia Ukiwa Juu ya ongezeko la watu la 2.7% linalokubaliwa kwenye Nchi zinazoendelea.


View: https://www.instagram.com/p/C4ae9p7oh2M/?igsh=d3UzdjR5cDV6cGU4

My Take
Kuliko Kuzuia watu wasizaane ni Bora kuitaka Serikali kuongeza Kasi ya Ukuaji wa Uchumi.

Sikubaliani na WB maana watu wengi ni faida.Nchi hii ni kubwa sana kuliko idadi hiyo ya watu.

Uchumi maana yake ni utumiaji mzuri kabisa wa rasilimali.

Rasilimali kubwa kabisa ya uchumi ni watu, akili za watu.

Sasa, kama hawa watu waliopo tumeshindwa kuwatumia vizuri, unemployment ni kubwa, kwenye employment nako kuna disguised unemployment sana, uchumi una inefficiencies nyingi, kuongeza watu kutatusaidia vipi ikiwa tatizo letu si watu, ni uongozi?
 
Uchumi maana yake ni utumiaji mzuri kabisa wa rasilimali.

Rasilimali kubwa kabisa ya uchumi ni watu, akili za watu.

Sasa, kama hawa watu waliopo tumeshindwa kuwatumia vizuri, unemployment ni kubwa, kwenye employment nako kuna disguised unemployment sana, uchumi una inefficiencies nyingi, kuongeza watu kutatusaidia vipi ikiwa tatizo letu si watu, ni uongozi?
Tangu lini kwenye developing Economies kukawa na unemployment? Hilo ni swali la kiuchumi unaweza usinielewe.

Hata hivyo Tanznaia sio kati ya Nchi ambazo Zina mass unemployment haipo hiyo.

Mwisho kinachotakiwa ni kuwekeza Kwa kuboresha Nguvu kazi Ili kuongeza ustawi sio Kuzuia watu wasizaane,ni mbaya Kwa Uchumi in long ran.On top of that kadiri ustaarabu unavyoongezeka kwenye jamii birth rates itashuka yenyewe
 
Tangu lini kwenye developing Economies kukawa na unemployment? Hilo ni swali la kiuchumi unaweza usinielewe.

Hata hivyo Tanznaia sio kati ya Nchi ambazo Zina mass unemployment haipo hiyo.

Mwisho kinachotakiwa ni kuwekeza Kwa kuboresha Nguvu kazi Ili kuongeza ustawi sio Kuzuia watu wasizaane,ni mbaya Kwa Uchumi in long ran.On top of that kadiri ustaarabu unavyoongezeka kwenye jamii birth rates itashuka yenyewe
Unemployment ni nini, tuanzie hapo kwanza.
 
Benki ya Dunia imesema Kufikia mwaka 2050 Tanzania inakadiriwa kuwa na watu Milioni 140 ambapo itakuwa ni mzigo mkubwa Kwa Uchumi wa Nchi.

Akizindua ripoti ya Hali ya Uchumi ya Nchi, Mkurugenzi Mkaaji wa WB Kanda ya Mashariki na Tanznaia Nathan Beleke amesema Tanzania Ina ukujai wa 3% ambao ni Juu ya wastani wa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara na pia Ukiwa Juu ya ongezeko la watu la 2.7% linalokubaliwa kwenye Nchi zinazoendelea.


View: https://www.instagram.com/p/C4ae9p7oh2M/?igsh=d3UzdjR5cDV6cGU4

My Take
Kuliko Kuzuia watu wasizaane ni Bora kuitaka Serikali kuongeza Kasi ya Ukuaji wa Uchumi.

Sikubaliani na WB maana watu wengi ni faida.Nchi hii ni kubwa sana kuliko idadi hiyo ya watu.

Tunahitaji watu wengi zaidi
 
Uchumi maana yake ni utumiaji mzuri kabisa wa rasilimali.

Rasilimali kubwa kabisa ya uchumi ni watu, akili za watu.

Sasa, kama hawa watu waliopo tumeshindwa kuwatumia vizuri, unemployment ni kubwa, kwenye employment nako kuna disguised unemployment sana, uchumi una inefficiencies nyingi, kuongeza watu kutatusaidia vipi ikiwa tatizo letu si watu, ni uongozi?
Watu wanazaliana bora liende tu, hakuna mipango yeyote
Ukiangalia tu kwenye ngazi za familia zetu watu wanazaliana lakini malezi sifuri, huduma za afya sifuri, vipato vya watu
Watu wanazaa lakini malezi wanamsakizia bibi au mama mdogo awalee watoto
Sipingi kuzaliana ila watu wazaliane kwa mipango, haya mambo ya kusema tuzae maana kila mtoto Anakuja na riziki mmhh
Japan wana watu wengi kuliko tanzania na wana eeneo dogo kulinganisha na tanzania lakini wenzetu wana mipango

Ova
 
Back
Top Bottom