Ngeleja anahojiwa na Rahel Mhando wa TBC sasa..
Anasema kaichukulia hoja kichanya zaidi,anashukuru michango ya wabunge na msimamo wa serikali...Anasema fedha zilizotengwa ni kidogo,kunahitajika jhudi za ziada(fedha za ziada).....Hoja ya msingi ilikuwa ni kuongeza fedha ili kutatua tatizo,wanakwenda kujipanga kuangalia fedha zitatoka wapi,watahusisha wizara/taasisi zingine ili kufanikisha upatikanaji wa fedha hizo'
Kuhusu taarifa za uongo kwenye kitabu/hotuba za bajeti amesema kwamba ni makosa ya kibinadamu(aisee),makosa ya kiuchapaji,kasoro za kitakwimu,na kufanya rejea ya baadhi ya miradi(anazungumzia la mbunge wa Nkasi)....
Anasema angepewa fursa ya kuzungumzia bungeni ingeonekana tofauti..
Kuhusu Jairo...Anasema hawezi kusema chochote,anasubiri uamuzi wa Rais,kusema chochote atakuwa anazungumzia madaraka ya mkubwa wake....Anaulizwa kama alikuwa analijua hili kabla...anababaika,mtangazaji wa TBC anaondoka.......Inasikitisha sana