Wabunge wajirudi: Wadai Lowassa hakuchukua hata senti ya Richmond!

Waheshimiwa wapenda nchi tuwe wakweli. Wakati mwingine nakubaliana na watu wanaposema kwamba pamoja na sifa zote njema za mwalimu mkuu, the great Julius Kambarage Nyerere, mwenye sifa njema nyingi na utu usio mashaka kwetu sote kama mwanadamu (MUNGU amrehemu), pia yeye hakuwa Malaika kwamba kila alichosema kilikuwa sahihi , japo moyo wake ulikuwa kwa ajili ya Tanzania na watanzania zaidi.
Pili, yeye mwenyewe katika nyakati tofauti alitamka wazi kwamba hakuwa malaika na pia alikiri kwamba alifanya makosa mengi. Mwalimu hakuwa na uwezo wa kuona ndani ya yaliyojificha ndani ya miyoyo ya watu. Hilo ni la MWENYEZI pekee. Kwa mfano:
1. Mwaka 1985 alimpigania Rais mh. Ali Hassan Mwinyi sana kama mtu mpole, mwenzetu nk nk. Sawa. Lakini, na kwa uchacke mwisho wa siku, legacy yake (Mwinyi) huwezi kuitenganisha na ubaguzi wa kidini, kuuza ardhi ya Loliondo kwa waarabu, kujaribu kubadilisha katiba apate term ya tatu kama Nkurunzinza, kuharibu uchumi kiwango kikubwa kabisa, kuvunjwa kwa azimio la Arusha na mwanzo wa kupulizwa kipenga kwa viongozi kuwa mafisadi, wezi, wafanya biashara, yaani ruksa kuu.. Kwa uchache…. kiasikwamba ilimbidi kuandika kitabu cha Hatima ya Tanzania na kuwafukuza kina Kolimba na Malecela John. kama mwl huyo huyo asingekuwepo, basi nchi hii ilishasambaratika kipindi cha Mwinyi.

2. Mwaka 1995 ambao wengi tunaukumbuka zaidi, mwalimu alimpigania Mh. Rais Benjamin W Mkapa kama mtu safi “mr clean”. Hii ni baada ya kusema asingeweza kumpigania mgombea wa kusafisha kwanza ili ndio aanze kimwombea kura. Hizi ndizo kauli mnazozitaja humu. Sawa. Lakini majuzi mkapa akiwa london, akizungumzia awamu ya tano alinukuliwa akisema, ccm imtafute mgombea anayekubalika kwa wanachama wengi – ambae yupo anajulikana kwa historia ya maamuzi yake magumu…lakini ccm wakiendele kunang’ania kashfa mfu za huyo mgombea, watamwacha wataishia kupata anayeitwa “clean” aunde serikali legelege na chama legelege ambacho mwisho wa siku hataweza kuongoza nchi na serikali yake itaanguka. Lakini pia sote tunajua pamoja na u clean wa mkapa mwalimu aliotuelezea, legacy ya mkapa inahusishwa na nini – kuuzwa kwa mashirika ya umma, kuuzwa na hatimaye kuuwawa kwa viwanda vyote vya uma vikubwa karibu 20, yeye mwenyewe na wenziwe kujiuzia mgodi wa serikali kiwira kwa bei poa, kuvunjwa na kuuzwa kwa benki zetu kubwa za nbc na nmb katika mazingira tata kabisa (asante bunge la tazania kuwazuia hawa genge likijumuisha pia yona daniel, basil mramba na sumaye frederic)., kuletewa kwa nguvu makaburu wa net solutions na kufukuza wazalendo tanesco kina luhanga nk nk. Tunaambiwa ndio epa, kagoda, meremeta, deep green, kashfa ya ndege ya rais, kashfa ya rada ya kijeshi, kuua shirika l ndege na reli…… huyu ndie aliye m betray mwalimu nyerere japo tuliambiw ni clean na mwalimu huyo huyo!

3. Mwaka huo huo wa 1995, tuliaminishwa kwamba mwalimu alisema mh. Jakaya Kikwete aangaliwe kama mboni ya jicho….japo sijui alikuwa na maana gani, inatosha kusema kwamba legacy yake itahusishwa na uswahiba, udini, kulindana, kiongozi aliyefukuza/ondoa mawaziri zaidi ya 60, serikali mbili kuwajibishwa na bunge, wizi mwingi mkubwa na mdogo kama escrow, epa, kashfa ya richmond , mabehewa feko ya reli, utata bandarini, kujaribu kulindika maendeleo bagamoyo kama bandari, kiwanda cha matunda huku tanga ndio watoa matunda, lami, kiwanda cha sukari (bahati mbaya wafadhili walijitoa), kushindwa kupitisha katiba pendekezwa, na sitashangaa kujaribu kurefusha muda w kutawala au kupigana kuf na kupona kuweka” mtu wake” kujaribu kuilinda familia yake! Dalili tayari ziki wazi.

4. Kuna huyu mtu anaeitwa Mzee Kasoli, tarishi wa mwalimu miaka hiyo. Nakereka na kuna mtu alisema , hivi bado unakuwa tarishi wa mtu aliyefariki? Kwa kifupi wanaomjua mzee huyu kwanza ni mlevi tu wa kawaida (sidhani kama alikuwa analewa wakati mwalimu yupo – (mnafiki tu wa siasa na chuki binafsi). Kuna wakati alilewa pombe akaanza kutishia watu na bastola aliyorithishwa na dr. Julius nyerere polisi wakamnyang’anya. Leo anataka tuamini kwamba naye katumwa atuchagulie watanzania kiongozi? Aende akanye pombe zake atulie.

kwa kuhitimisha niseme kwamba kila kitabu na enzi zake. Tusimtumie mwl nyerere kauli zake zote kwa sababu hata yeye hakuweza kujua kilicho ndani ya watu aliowatetea sana, wakafeli baade na ni failure ya mwalimu nyerere pia. Kwa maneno mengine, waacheni wananchi waamue kiongozi wanaomtaka kwa utashi wao maana ni wazi kwamba sasa tunacheza pata potea. Wanasiasa wengi kabisa wamepotoka. Mwacheni mh. Edward Ngoyai Lowassa aje uwanjani ajitambulishe, wampime kama hiyo ndio wish ya watanzania majority. Acheni kura ziamue ili watanzania na tazania isije kumlalamikia mtu yoyote kama ambavyo post moterm ya wagombea wa mwl nyerere inavyodhihirisha ku fail kwa hali ya juu. Nawasilisha.

Mkuu nimekupenda bureeeeeee
 
Waheshimiwa wapenda nchi tuwe wakweli. Wakati mwingine nakubaliana na watu wanaposema kwamba pamoja na sifa zote njema za mwalimu mkuu, the great Julius Kambarage Nyerere, mwenye sifa njema nyingi na utu usio mashaka kwetu sote kama mwanadamu (MUNGU amrehemu), pia yeye hakuwa Malaika kwamba kila alichosema kilikuwa sahihi , japo moyo wake ulikuwa kwa ajili ya Tanzania na watanzania zaidi.
Pili, yeye mwenyewe katika nyakati tofauti alitamka wazi kwamba hakuwa malaika na pia alikiri kwamba alifanya makosa mengi. Mwalimu hakuwa na uwezo wa kuona ndani ya yaliyojificha ndani ya miyoyo ya watu. Hilo ni la MWENYEZI pekee. Kwa mfano:
1. Mwaka 1985 alimpigania Rais mh. Ali Hassan Mwinyi sana kama mtu mpole, mwenzetu nk nk. Sawa. Lakini, na kwa uchacke mwisho wa siku, legacy yake (Mwinyi) huwezi kuitenganisha na ubaguzi wa kidini, kuuza ardhi ya Loliondo kwa waarabu, kujaribu kubadilisha katiba apate term ya tatu kama Nkurunzinza, kuharibu uchumi kiwango kikubwa kabisa, kuvunjwa kwa azimio la Arusha na mwanzo wa kupulizwa kipenga kwa viongozi kuwa mafisadi, wezi, wafanya biashara, yaani ruksa kuu.. Kwa uchache…. kiasikwamba ilimbidi kuandika kitabu cha Hatima ya Tanzania na kuwafukuza kina Kolimba na Malecela John. kama mwl huyo huyo asingekuwepo, basi nchi hii ilishasambaratika kipindi cha Mwinyi.

2. Mwaka 1995 ambao wengi tunaukumbuka zaidi, mwalimu alimpigania Mh. Rais Benjamin W Mkapa kama mtu safi “mr clean”. Hii ni baada ya kusema asingeweza kumpigania mgombea wa kusafisha kwanza ili ndio aanze kimwombea kura. Hizi ndizo kauli mnazozitaja humu. Sawa. Lakini majuzi mkapa akiwa london, akizungumzia awamu ya tano alinukuliwa akisema, ccm imtafute mgombea anayekubalika kwa wanachama wengi – ambae yupo anajulikana kwa historia ya maamuzi yake magumu…lakini ccm wakiendele kunang’ania kashfa mfu za huyo mgombea, watamwacha wataishia kupata anayeitwa “clean” aunde serikali legelege na chama legelege ambacho mwisho wa siku hataweza kuongoza nchi na serikali yake itaanguka. Lakini pia sote tunajua pamoja na u clean wa mkapa mwalimu aliotuelezea, legacy ya mkapa inahusishwa na nini – kuuzwa kwa mashirika ya umma, kuuzwa na hatimaye kuuwawa kwa viwanda vyote vya uma vikubwa karibu 20, yeye mwenyewe na wenziwe kujiuzia mgodi wa serikali kiwira kwa bei poa, kuvunjwa na kuuzwa kwa benki zetu kubwa za nbc na nmb katika mazingira tata kabisa (asante bunge la tazania kuwazuia hawa genge likijumuisha pia yona daniel, basil mramba na sumaye frederic)., kuletewa kwa nguvu makaburu wa net solutions na kufukuza wazalendo tanesco kina luhanga nk nk. Tunaambiwa ndio epa, kagoda, meremeta, deep green, kashfa ya ndege ya rais, kashfa ya rada ya kijeshi, kuua shirika l ndege na reli…… huyu ndie aliye m betray mwalimu nyerere japo tuliambiw ni clean na mwalimu huyo huyo!

3. Mwaka huo huo wa 1995, tuliaminishwa kwamba mwalimu alisema mh. Jakaya Kikwete aangaliwe kama mboni ya jicho….japo sijui alikuwa na maana gani, inatosha kusema kwamba legacy yake itahusishwa na uswahiba, udini, kulindana, kiongozi aliyefukuza/ondoa mawaziri zaidi ya 60, serikali mbili kuwajibishwa na bunge, wizi mwingi mkubwa na mdogo kama escrow, epa, kashfa ya richmond , mabehewa feko ya reli, utata bandarini, kujaribu kulindika maendeleo bagamoyo kama bandari, kiwanda cha matunda huku tanga ndio watoa matunda, lami, kiwanda cha sukari (bahati mbaya wafadhili walijitoa), kushindwa kupitisha katiba pendekezwa, na sitashangaa kujaribu kurefusha muda w kutawala au kupigana kuf na kupona kuweka” mtu wake” kujaribu kuilinda familia yake! Dalili tayari ziki wazi.

4. Kuna huyu mtu anaeitwa Mzee Kasoli, tarishi wa mwalimu miaka hiyo. Nakereka na kuna mtu alisema , hivi bado unakuwa tarishi wa mtu aliyefariki? Kwa kifupi wanaomjua mzee huyu kwanza ni mlevi tu wa kawaida (sidhani kama alikuwa analewa wakati mwalimu yupo – (mnafiki tu wa siasa na chuki binafsi). Kuna wakati alilewa pombe akaanza kutishia watu na bastola aliyorithishwa na dr. Julius nyerere polisi wakamnyang’anya. Leo anataka tuamini kwamba naye katumwa atuchagulie watanzania kiongozi? Aende akanye pombe zake atulie.

kwa kuhitimisha niseme kwamba kila kitabu na enzi zake. Tusimtumie mwl nyerere kauli zake zote kwa sababu hata yeye hakuweza kujua kilicho ndani ya watu aliowatetea sana, wakafeli baade na ni failure ya mwalimu nyerere pia. Kwa maneno mengine, waacheni wananchi waamue kiongozi wanaomtaka kwa utashi wao maana ni wazi kwamba sasa tunacheza pata potea. Wanasiasa wengi kabisa wamepotoka. Mwacheni mh. Edward Ngoyai Lowassa aje uwanjani ajitambulishe, wampime kama hiyo ndio wish ya watanzania majority. Acheni kura ziamue ili watanzania na tazania isije kumlalamikia mtu yoyote kama ambavyo post moterm ya wagombea wa mwl nyerere inavyodhihirisha ku fail kwa hali ya juu. Nawasilisha.

Mkuu nimekupenda bureeeeeee haya ndo mawazo huru ....fikra huru ...wale wa Mwalimu alisema....Mwalimu alimkataa...Mwalimu alimpenda....mmesikia...au bado akili zenu za kitumwa...
 
Nawashangaa CCM. Kwa nini msafishe mtu ndio mumpeleke mbele ya umma? Yeye ni mtumba au? Lowassa is a done deal. Mwl almmaliza sasa mnataka mumfufue maiti?
 
Nadhani na wewe unatakiwa kufikiri zaidi baada ya kauli ile ya 1995 Lowasa hakupewa uwaziri mpaka mwalimu alipotutoka mwaka 1999.

Akili zako hazina memory...!!!

1: Lowassa alikuwa waziri wakati wa Mwinyi

2: Lowassa alikuwa Waziri wakati wa mkapa hata kabla Mwalimu kufa...ni mwaka 1997 Mh. Mkapa alimteua mh. Lowassa kuwa Waziri wa nchi ktk Ofisi ya Makamu wa Rais...MAZINGIRA...

3: Lowassa amekuwa waziri mkuu wakati huu wa Jakaya pia...

Ww unamwona juu juu tu....NGUVU YA LOWASSA ni tangia enzi za mwalimu...sio leo...Mwalimu alimwamini sana...sana...!!! I usually TALK TRUTH with evidences...go back & search...!!"
 
Mkuu upo? Nimekumiss..hahaha Mwita25 yuko wapi?
Itabidi tuwaombe moderates waanzishe jukwaa la waliokumbukana (waliomisiana), mana topic imetolewa kujadiliwa mtu anaanza kuleta mahaba humu eti flani nimekumiss, halafu utakuta dume linamwambia dume mwenzie nimekumiss, mijitu siku sijui ikoje hata kwenye siasa mnaleta mahaba jamani tena asubuhi yote hiii
 
Akili zako hazina memory...!!!

1: Lowassa alikuwa waziri wakati wa Mwinyi

2: Lowassa alikuwa Waziri wakati wa mkapa hata kabla Mwalimu kufa...

3: Lowassa amekuwa waziri mkuu wakati huu wa Jakaya pia...

Ww unamwona juu juu tu....NGUVU YA LOWASSA ni tangia enzi za mwalimu...sio leo...Mwalimu alimwamini sana...sana...!!! I usually TALK TRUTH with evidences...go back & search...!!"


Nimesema alipomkataa mwaka 1995 kuanzia hapo hakuonekana kwenye baraza la mawaziri labda wewe mwenye kumbukumbu nzuri niambie kuanzia 1995-2000 alikua waziri katika wizara gani.
 
Pia Mhe Jitu Patel nae hakuwa mbali na mhe Ole Sendeka kwa kusema, "Yeye ni mwanasiasa, na anafahamu concept ya collective responsibility, kuwa sio lazima uwe umefanya kosa wewe, bali kwa kuwa kosa limefanywa na wa chini yako, kwenye kuwajibika mnawajibika wote!"

correction anaitwa jitu son sio jitu patel
 
Mkuu umenena vizuri sana labda nikuulize mawili matatu nipate uelewa zaidi ya huyu mombea pendwa:
1. Kipindi cha mgao wa umeme ulikuwepo mjini au ulikuwa sehemu ambayo haina umeme ?
2. a)Baada ya mitambo kuletwa ya richmond umeme ulipatikana?
b)Kama haukupatikana ulichukua mda gani kupatikana
3. Ile tume iliyoundwa kuchunguza kuhusu hilo sakata ilitenda haki au haikutenda
4. Kama umeme haukupatikana baada ya mitambo kuletwa Mh. Wazir mkuu alichukua uamuzi gani kukabiliana na hilo janga la mgao
5. Kama leo Mh. akimtaja aliyehusika na sakata hilo lote pasipo yeye kuchukua uamuzi toka kipindi hicho hadi ikaundwa tume ichunguze je huyo atakua ni mzalendo kweli
Mwisho pitia ile ripoti ya uchunguzi then uje uichambue kama ilivyoandikwa

Ile ripoti Haina Tena uhalali wa kujadiliwa kwa kuwa hata wajumbe wa Ile tume ...na wapiga debe wao wanaanza kugeukana .....,kwa ripoti kuonekana ilikuwa na lengo maalum .

1 . Mjini tulikuwapo toka Enz za Bayankata ,Umeme ulipatika pamoja na kuwa Impact Yake ilikua gharama kubwa ya uendeshaji ..hasa mafuta
2 . Aliyehusika tume Inalo jibu ..." Muheshimiwa spika hatuwezi kumsoma yote tuliyogondua ..mengine yabaki Siri ..kwa kuwa yanaweza kuangusha Nchi " mwakyembe ......." Kuhusu Lowassa apime mwenyewe kwa kuwa haya yamefanyika na watendaji wa serikali " mwakyembe. ..... ,Hilo suala la waziri mkuu au waziri kuambiwa apime mwenyewe nadhani ...tukihesabu ....baada ya Lowassa Kila Mwaka kuna kashfa ..na wameondoka hadji mawaziri Ili kuokoa waziri mkuu ....Ile ripoti for public Yale mazito yaliondolewa ...
Kwa kikao cha nec ..Lowassa alimuambia wazi ," mwenyekiti unakumbuka nilikufuata nikakuambia Sina Imani na hii kampuni ya Richmond ........" Lowassa

Hiyo mitambo Leo hii ndio imenunuliwa na serikali ya marekani ......kupitia kampuni Yake ya uwekezaji wa nishati ...na Obama ,Hillarry etc wamefika ubungo ....Wamarekani Sio wajinga ?????? ...Ile kesi ya Gure hadi Sasa Imeota Mbawa ?
 
Nadhani na wewe unatakiwa kufikiri zaidi baada ya kauli ile ya 1995 Lowasa hakupewa uwaziri mpaka mwalimu alipotutoka mwaka 1999.




Mbona inafahamika wazi kuwa wakatoliki ndio waliokuwa wakiwapiga vita viongozi wale wanaotoka kwenye madhehebu na dini nyingine.

Kawawa alipigwa vita sana mpaka mara nyingine aliambiwa kuwa hajui kusoma. Yote hayo ni chuki tu za kuhakikisha hakuna mtu wa dhehebu lingine anakuwa na madaraka makubwa ndani ya serikali.
Malecela alipigwa vita sana..
Rais mstaafu Alhaji Ally Hasan Mwinyi alitukanwa na kupewa kashafa nyingi na hata kuambiwa kuwa hajafanya kitu.
Cleopa Msuya alipewa kashfa nyingi mpaka kuambiwa kuwa anamiliki kiwanda cha mabasi ya DCM.
Fredriki Sumaye alipewa kashfa nyingi za ufisadi kutikana tu na uwaziri mkuu na dhebu lake.
Hata leo hii Mh. Kikwete alimteua Lowasa awe waziri mkuu akiamini kuwa anauwezo wa kuongoza baraza lake la mawaziri. Hata hivyo fitina zikaundwa ambazo zililenga kuhakikisha kuwa wanamtoa pale kwa sababu ya dhehebu lake.
Hata ukisoma ile ripoti ya mwakyembe utashangaa kuwa ni kitu gani kilisababisha kuvunjwa kwa baraza zima la mawaziri ili hali mtambo wa kununua umeme ulikua umenunuliwa kwa mabilioni ya pesa na mtambo bora kabisa kuliko mitambo yote iliyokuwepo.
Leo hii wale wale wanaendesha fitina za kusema kuwa Kikwete hajafanya kitu kabisa.Lengo ni ili tu kutudanganya kuwa hakuna mtu anayeweza kuongoza hili taifa tofauti na mkatoliki. Hakuna anayeangalia mafanikio na maendeleo yaliyopo.

Fitina Zote hizi zilianzishwa na watu walioshiba udini kwenye mioyo yao.

Hizi propaganda alizokuwa anapelekewa Nyerere zilikua zina udini uliojificha ili mwalimu tu ashikilie msimamo wake wa kuhakikisha kuwa hakuna mtu kutoka dhehebu tofauti na la roma anaingia ikulu. Huu ni udhaifu mkubwa sana .
Hii hali inatufanya tuwe na viongozi wasio na uwezo wala maono kwa sababu ya kutegemea kubebwa na dini.
Imefikia mahali mtu akishajiona tu ni mkatoliki atatumia kila aina ya usanii na udini ili apate madaraka hata kama anajijua kuwa ni mbabaishaji ,na pia jamii inayomzunguka inamjua kuwa hawezi lakini anajua kuwa atabebwa na dini yake.

Kama kweli Lowasa alikua ni mla rushwa na Fisadi kipindi cha mwalimu hicho basi asingekuwa na ujasiri kupeleka Ujumbe kwa Mwalimu Nyerere akimwomba kwamba amsafishe.
Alijua kwamba Nyerere alimjengea jina baya kwa kupewa taarifa za fitina tu.
 
Ile ripoti Haina Tena uhalali wa kujadiliwa kwa kuwa hata wajumbe wa Ile tume ...na wapiga debe wao wanaanza kugeukana .....,kwa ripoti kuonekana ilikuwa na lengo maalum .

1 . Mjini tulikuwapo toka Enz za Bayankata ,Umeme ulipatika pamoja na kuwa Impact Yake ilikua gharama kubwa ya uendeshaji ..hasa mafuta
2 . Aliyehusika tume Inalo jibu ..." Muheshimiwa spika hatuwezi kumsoma yote tuliyogondua ..mengine yabaki Siri ..kwa kuwa yanaweza kuangusha Nchi " mwakyembe ......." Kuhusu Lowassa apime mwenyewe kwa kuwa haya yamefanyika na watendaji wa serikali " mwakyembe. ..... ,Hilo suala la waziri mkuu au waziri kuambiwa apime mwenyewe nadhani ...tukihesabu ....baada ya Lowassa Kila Mwaka kuna kashfa ..na wameondoka hadji mawaziri Ili kuokoa waziri mkuu ....Ile ripoti for public Yale mazito yaliondolewa ...
Kwa kikao cha nec ..Lowassa alimuambia wazi ," mwenyekiti unakumbuka nilikufuata nikakuambia Sina Imani na hii kampuni ya Richmond ........" Lowassa

Hiyo mitambo Leo hii ndio imenunuliwa na serikali ya marekani ......kupitia kampuni Yake ya uwekezaji wa nishati ...na Obama ,Hillarry etc wamefika ubungo ....Wamarekani Sio wajinga ?????? ...Ile kesi ya Gure hadi Sasa Imeota Mbawa ?
Mungu tusaidie Watanzania

1. Kama umeme ulipatikana iliundwa tume ya kufanya nini? Unataka kutuambia mabwawa ya mtera na kidatu hayakukauka? na mitambo ililetwa ya kufanya nini? BTW kasome ile ripoti vizuri
Jibu
2.
3.
4.
5.
 
Mbona inafahamika wazi kuwa wakatoliki ndio waliokuwa wakiwapiga vita viongozi wale wanaotoka kwenye madhehebu na dini nyingine.

Kawawa alipigwa vita sana mpaka mara nyingine aliambiwa kuwa hajui kusoma. Yote hayo ni chuki tu za kuhakikisha hakuna mtu wa dhehebu lingine anakuwa na madaraka makubwa ndani ya serikali.
Malecela alipigwa vita sana..
Rais mstaafu Alhaji Ally Hasan Mwinyi alitukanwa na kupewa kashafa nyingi na hata kuambiwa kuwa hajafanya kitu.
Cleopa Msuya alipewa kashfa nyingi mpaka kuambiwa kuwa anamiliki kiwanda cha mabasi ya DCM.
Fredriki Sumaye alipewa kashfa nyingi za ufisadi kutikana tu na uwaziri mkuu na dhebu lake.
Hata leo hii Mh. Kikwete alimteua Lowasa awe waziri mkuu akiamini kuwa anauwezo wa kuongoza baraza lake la mawaziri. Hata hivyo fitina zikaundwa ambazo zililenga kuhakikisha kuwa wanamtoa pale kwa sababu ya dhehebu lake.
Hata ukisoma ile ripoti ya mwakyembe utashangaa kuwa ni kitu gani kilisababisha kuvunjwa kwa baraza zima la mawaziri ili hali mtambo wa kununua umeme ulikua umenunuliwa kwa mabilioni ya pesa na mtambo bora kabisa kuliko mitambo yote iliyokuwepo.
Leo hii wale wale wanaendesha fitina za kusema kuwa Kikwete hajafanya kitu kabisa.Lengo ni ili tu kutudanganya kuwa hakuna mtu anayeweza kuongoza hili taifa tofauti na mkatoliki. Hakuna anayeangalia mafanikio na maendeleo yaliyopo.

Fitina Zote hizi zilianzishwa na watu walioshiba udini kwenye mioyo yao.

Hizi propaganda alizokuwa anapelekewa Nyerere zilikua zina udini uliojificha ili mwalimu tu ashikilie msimamo wake wa kuhakikisha kuwa hakuna mtu kutoka dhehebu tofauti na la roma anaingia ikulu. Huu ni udhaifu mkubwa sana .
Hii hali inatufanya tuwe na viongozi wasio na uwezo wala maono kwa sababu ya kutegemea kubebwa na dini.
Imefikia mahali mtu akishajiona tu ni mkatoliki atatumia kila aina ya usanii na udini ili apate madaraka hata kama anajijua kuwa ni mbabaishaji ,na pia jamii inayomzunguka inamjua kuwa hawezi lakini anajua kuwa atabebwa na dini yake.

Kama kweli Lowasa alikua ni mla rushwa na Fisadi kipindi cha mwalimu hicho basi asingekuwa na ujasiri kupeleka Ujumbe kwa Mwalimu Nyerere akimwomba kwamba amsafishe.
Alijua kwamba Nyerere alimjengea jina baya kwa kupewa taarifa za fitina tu.

Sasa wee umeona pakuingiza Agenda Yako ya udini Ni Hapa
 
WanaJF,

Pia Mhe Jitu Patel nae hakuwa mbali na mhe Ole Sendeka kwa kusema, "Yeye ni mwanasiasa, na anafahamu concept ya collective responsibility, kuwa sio lazima uwe umefanya kosa wewe, bali kwa kuwa kosa limefanywa na wa chini yako, kwenye kuwajibika mnawajibika wote!"

Huyu Jitu mpuuzi sana. Anajua Lowassa alitenda kosa lile na viongozi wa juu yake (Lowassa) alafu anakuja kuudanganya umma eti makosa ya watendaji wa chini. Pambaff kabisa! Halafu huyu ponjolo anaingiliaje mambo ya watanzania?
 
Mbona inafahamika wazi kuwa wakatoliki ndio waliokuwa wakiwapiga vita viongozi wale wanaotoka kwenye madhehebu na dini nyingine.

Kawawa alipigwa vita sana mpaka mara nyingine aliambiwa kuwa hajui kusoma. Yote hayo ni chuki tu za kuhakikisha hakuna mtu wa dhehebu lingine anakuwa na madaraka makubwa ndani ya serikali.
Malecela alipigwa vita sana..
Rais mstaafu Alhaji Ally Hasan Mwinyi alitukanwa na kupewa kashafa nyingi na hata kuambiwa kuwa hajafanya kitu.
Cleopa Msuya alipewa kashfa nyingi mpaka kuambiwa kuwa anamiliki kiwanda cha mabasi ya DCM.
Fredriki Sumaye alipewa kashfa nyingi za ufisadi kutikana tu na uwaziri mkuu na dhebu lake.
Hata leo hii Mh. Kikwete alimteua Lowasa awe waziri mkuu akiamini kuwa anauwezo wa kuongoza baraza lake la mawaziri. Hata hivyo fitina zikaundwa ambazo zililenga kuhakikisha kuwa wanamtoa pale kwa sababu ya dhehebu lake.
Hata ukisoma ile ripoti ya mwakyembe utashangaa kuwa ni kitu gani kilisababisha kuvunjwa kwa baraza zima la mawaziri ili hali mtambo wa kununua umeme ulikua umenunuliwa kwa mabilioni ya pesa na mtambo bora kabisa kuliko mitambo yote iliyokuwepo.
Leo hii wale wale wanaendesha fitina za kusema kuwa Kikwete hajafanya kitu kabisa.Lengo ni ili tu kutudanganya kuwa hakuna mtu anayeweza kuongoza hili taifa tofauti na mkatoliki. Hakuna anayeangalia mafanikio na maendeleo yaliyopo.

Fitina Zote hizi zilianzishwa na watu walioshiba udini kwenye mioyo yao.

Hizi propaganda alizokuwa anapelekewa Nyerere zilikua zina udini uliojificha ili mwalimu tu ashikilie msimamo wake wa kuhakikisha kuwa hakuna mtu kutoka dhehebu tofauti na la roma anaingia ikulu. Huu ni udhaifu mkubwa sana .
Hii hali inatufanya tuwe na viongozi wasio na uwezo wala maono kwa sababu ya kutegemea kubebwa na dini.
Imefikia mahali mtu akishajiona tu ni mkatoliki atatumia kila aina ya usanii na udini ili apate madaraka hata kama anajijua kuwa ni mbabaishaji ,na pia jamii inayomzunguka inamjua kuwa hawezi lakini anajua kuwa atabebwa na dini yake.

Kama kweli Lowasa alikua ni mla rushwa na Fisadi kipindi cha mwalimu hicho basi asingekuwa na ujasiri kupeleka Ujumbe kwa Mwalimu Nyerere akimwomba kwamba amsafishe.
Alijua kwamba Nyerere alimjengea jina baya kwa kupewa taarifa za fitina tu.
Mkuu nakubaliana na wewe kwenye 93% ya maelezo yako.

Kuna wakati niliwahi kumwambia Pasco hapa jukwaano kuwa wazee wa baharini ndio wanaotupatia mgombea urais na hatimaye rais wa jmt. Wazee wale sio wasemaji hovyo. Wazee wa baharini au wengine hupenda kuwaita wa Kurasini, hawamtaki yeyote mradi awe mtu wao, wa imani yao, tena sio imani tu bali imani iliyobobea. Kwenye hili hawana mzaha mtaona wenyewe.

Nilimweleza bro Pasco hapa kuwa nchi hii inaongozwa partially na wao na partially na serikali.

Mzee Lowassa urais asahau! Sio kwakuwa ana kashfa ya Richmonduli bali hali mkate wanaokula wazee wa kurasini aka wazee wa baharini!
 
Last edited by a moderator:
Sasa wee umeona pakuingiza Agenda Yako ya udini Ni Hapa




Huo ndio ukweli unaofichwa na kudanganya watu kuwa nchi yetu haina dini huku pakiwa na agenda za wazi wazi za kufanya watu wa dini fulani washike madaraka yote ya juu.

Hebu jiulize ni kwanini CHADEMA aliposimama Padri Slaa kugombea mwaka 2010 chama kikakimbiliwa na watu wa dhehebu laki kwa kasi ya ajabu na ile kauli ya maaskofu wao kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu wakaisahau kabisa.
Na amini usiamini Kama UKAWA hawatampitisha Padri Slaa kuwa mgombea urais wakatoliki wengi sana wanaoamini siasa za udini wote watarudi CCM.
 
Back
Top Bottom