Huyu mama mnafiki sana muongo na mzandiki, kama kweli Mungu yupo basi huyu fake pasta ndio watakuja kuwa kuni za kuwachomea wenye dhambi.
Anawarubuni watu waliokata tamaa na maisha kwa kuwa haidi maisha bora kama "wata mtolea Bwana" kwa nguvu zao zote kitendo kinacho wafanya wazidi kuwa masikini wa kutupwa huku yeye akiwakwangua visent vyao na kuongeza idadi ya miradi yake ya mashule, shame on her
Anawarubuni watu waliokata tamaa na maisha kwa kuwa haidi maisha bora kama "wata mtolea Bwana" kwa nguvu zao zote kitendo kinacho wafanya wazidi kuwa masikini wa kutupwa huku yeye akiwakwangua visent vyao na kuongeza idadi ya miradi yake ya mashule, shame on her