Wabunge waishupalia JF

EJM_

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
3,836
2,091
Swali la mama Lwakatare kwamba JF anatoa maneno ya uongo na uchochezi...................

Source; TBC1 Bunge live
 
eti wanataka wamjue mmiliki wake,anawahusu nini,ila nashukuru hoja yenyewe haijashobokewa kiviile
 
Tunashukuru mungu km hata yeye ni msomaji,
Siku zote anaenjoy mpaka aliposoma la kumkwaza,
Tunamkaribisha siku moja ajiunge!
 
Hawa viongozi wa dini wanaoingia kwenye siasa huwa wana wa confuse sana wafuasi wao.

KUna mtu unakuta anampenda sana huyo mama kiimani anasali hapo kwake lakini bahati mbaya sio mwana CCM ni Chadema mfukurukutwa dah! sasa hapo sijui inakuwaje.
 
Hawa viongozi wa dini wanaoingia kwenye siasa huwa wana wa confuse sana wafuasi wao.

KUna mtu unakuta anampenda sana huyo mama kiimani anasali hapo kwake lakini bahati mbaya sio mwana CCM ni Chadema mfukurukutwa dah! sasa hapo sijui inakuwaje.
Unakumbuka ile ya Kakobe kusema Mrema ndio chaguo la Mungu mwaka 2005 na akawataka wafuasi wake wampigie kura Mrema?
 
Ukweli ni kwamba karibu viongozi wote wenye akili timamu wako humu ndani asiyekuwemo ni yule asiye na akili tyimamu tu maana kama we ni mwanasiasa makini lazima ujue nini kinajenga ama kubomoa mwanasiasa
 
Hawa viongozi wa dini wanaoingia kwenye siasa huwa wana wa confuse sana wafuasi wao.

KUna mtu unakuta anampenda sana huyo mama kiimani anasali hapo kwake lakini bahati mbaya sio mwana CCM ni Chadema mfukurukutwa dah! sasa hapo sijui inakuwaje.

hapo ndo utata, hivi hapgagi kampeni kanisani kweli?
 
Ukweli ni kwamba karibu viongozi wote wenye akili timamu wako humu ndani asiyekuwemo ni yule asiye na akili tyimamu tu maana kama we ni mwanasiasa makini lazima ujue nini kinajenga ama kubomoa mwanasiasa

Mbona Jk hayupo humu inamaana nae !!
 
Back
Top Bottom