Wabunge wagoma kusalimiana

Wabunge wagoma kusalimiana

Huku tunakoelekea sijui ni wapi ndugu zanguni yani ni sawa na unamkuta fisi anaanza kumla mbuzi wako eti ww kwa hasira unamsusia fisi ale hadi ammalize. ni hivi tunajifunga midomo kumaanisha hatutachangia chochote bungeni hatuoni kwamba ndio tunawapa hawa jamaa muda mzuri mzuri wa kupitisha madudu mengi nadani ya nchi yetu pasi na kipingamizi?
 
Siasa za kijinga sana hizi kama mbunge wa ccm umesalimiwa umeuchuna ujue wewe ni kilaza.hata mbunge wa upinzani ukisalimiwa Na mbunge wa ccm ukiuchuna jua wewe ni kilaza.
 
Huku tunakoelekea sijui ni wapi ndugu zanguni yani ni sawa na unamkuta fisi anaanza kumla mbuzi wako eti ww kwa hasira unamsusia fisi ale hadi ammalize. ni hivi tunajifunga midomo kumaanisha hatutachangia chochote bungeni hatuoni kwamba ndio tunawapa hawa jamaa muda mzuri mzuri wa kupitisha madudu mengi nadani ya nchi yetu pasi na kipingamizi?

Mwambie huyo anayesababisha hali hii akae pembeni apishe wanaokubalika pande zote waongoze vikao vya bunge!!

Tatizo ni nini kwani, wapo wenyeviti wawili sijui watatu.....kwa nini hawa wasiongoze vikao wakati huyu mama akisubiria kesi yake iamuliwe? Busara za kiungozi za huyu mama ziko wapi?

Kama wameamua kucheza mchezo wa siasa chafu, mimi nadhani na wao wasilalamikie upande wa pili unapokuja na majibu ya siasa chafu zao!!

After all mimi hata sielewi tunawalalamikia UKAWA ooh, hawawakilishi wananchi wao kwa sbb hawakai bungeni, ooh wananchi walifanya makosa kuwachagua, oooh sijui nini, oooh sijui vile......

This is nosense!!

Sisi tuliowachagua ndiyo tunajua tulikosea na ndiyo tutaamua na wala hatuna haja kabisa ya kuambiwa chochote na hawa majambazi wa kijani.....!!

Watu tunaanza kuhisi labda hata Spika Ndugai amefichwa makusudi au pengine kitu mbaya imefanywa dhidi yake ili mradi tu malengo flani yaliyoandaliwa na watu hawa wabaya yatimie!
 
Siungi mkono anachofanya huyo badluck the same way nisivyounga mkono watu wazima kufanya mambo ya kitoto. Kifuatacho ni uchaguzi upya ili tupate mtu anaevaa matatizo ya wananchi badala ya bunge live

Mkuu, wabunge wapya hata wakibadilishwa kila siku itakuwa ni kuingia gharama tuu, woteee wako kwa ajili ya matumbo yao na familia zao, wazalendo wachache, hawa wanafanya mizaha, hawa wanapitosha mambo yao kwa manufaa yao, fujo tupu
 
Natafuta dawa ya Naibu Spika , tufanye yetu akapumzike Apollo kama miezi 6 hivi akirudi heshima itakuwepo!
 
13495052_954168124681827_3057961959794714549_n.jpg
 
Tulia anapiga zumari kwa mlio alioelekezwa na aliyempa hiyo kazi; mkakati ukiwa ni "kulianzisha" ili kuwepo na huu mtafaruku. Kichwa-kichwa wapinzani wamenasa kwenye mtego! Sauli za wananchi hazisikiki tena na kwa hiyo lengo la watawala limetimia. Maswali magumu kuhusu bajeti kama uhalisia wake katika eneo la kuziba pengo kati ya mapato na matumizi (deficit financing) hayajajibiwa. (Seriously, this is a lost opportunity!) Wakati haya yakiendelea, kila mbunge "anavuta" zaidi ya Sh 12m/- kwa mwezi! (Pato la zaidi ya 70% ya Watanzania ni chini ya buku nne ($2) kwa siku!) Eti wabunge wanajigamba kuuwakilisha huu umma wa Watanzania walala hoi!! Lakini je, mwisho wa siku, katika hii "drama" nani amefungwa goli?
 
Bado nawaza sana, je kila upande ukaendelea kushikilia uamuzi wake wa kukataa mazungumzo nini kitatokea? CCM wanaendelea na vijembe vyao kwa UKAWA, lakini UKAWA nao wanaonekana kutokurudi nyuma na msimamo wao wa kutomtambua NS, bahati mbaya simuoni mtu yeyote anayesimama katikati kuwaweka hawa watu Sawa, sasa ikiendelea hivi nini hatma ya Tanzania??
 
Hatima ya Tanzania hasa mwaka 2020 ni wananchi wataamua mbivu na mbichi! wataangalia wachague watu gani ambao watakuwa makini kuwawakilisha bungeni
 
Hatima ya Tanzania hasa mwaka 2020 ni wananchi wataamua mbivu na mbichi! wataangalia wachague watu gani ambao watakuwa makini kuwawakilisha bungeni
Siyo Tanzania katu. Kofia, t-shirt , wasanii kucheza jukwaani, etc ndivyo vinaongoza akili za watu
 
Mkuu, wabunge wapya hata wakibadilishwa kila siku itakuwa ni kuingia gharama tuu, woteee wako kwa ajili ya matumbo yao na familia zao, wazalendo wachache, hawa wanafanya mizaha, hawa wanapitosha mambo yao kwa manufaa yao, fujo tupu

Uko sahihi sana mkuu nadhani prezidah analijua hili ndio maana hana muda nao
 
Back
Top Bottom