Wabunge wagoma kusalimiana

Wabunge wagoma kusalimiana

Ukawa wanafungana midomo wasisalimiane na kina ndassa na lusinde
 
Ukawa wanakata mti walioukalia
Ukiwa mbunge unakuwa mbunge wa jimbo zima,na kuna wana ccm jimboni,ina maana pia watakataa kufanya kazi na wapigara kura ambao ni ccm huko jimboni? Ieleweke kuwa hii sumu waliomwaga ukawa inasambaa tusije kulaumiana baadae
Kwa mfano jimboni kuna shida ya maji,utawezaje kumuona waziri wa maji ambae ni mbunge wa ccm,huku hutaki kusalimia mdomoni kuna plasta,ukawa acheni maigizo
 
Na viongozi wetu wa kiserikali wajaribu kuweka mambo sawaisije fika hata huku mitaani wananchi wakaanza kuzikana kwa itikadi za kisiasa huku wao wakidhani wanamkomoa mtu fulani kumbe ndo mwanzo wa machafuko
 
Ukawa wanakata mti walioukalia
Ukiwa mbunge unakuwa mbunge wa jimbo zima,na kuna wana ccm jimboni,ina maana pia watakataa kufanya kazi na wapigara kura ambao ni ccm huko jimboni? Ieleweke kuwa hii sumu waliomwaga ukawa inasambaa tusije kulaumiana baadae
Kwa mfano jimboni kuna shida ya maji,utawezaje kumuona waziri wa maji ambae ni mbunge wa ccm,huku hutaki kusalimia mdomoni kuna plasta,ukawa acheni maigizo
Wabunge wa ccm ni majanga
 
Na viongozi wetu wa kiserikali wajaribu kuweka mambo sawaisije fika hata huku mitaani wananchi wakaanza kuzikana kwa itikadi za kisiasa huku wao wakidhani wanamkomoa mtu fulani kumbe ndo mwanzo wa machafuko
Mkuu hiyo haipo mbali na hali ya kisiasa kama ya zenji pemba ndio inaingia bongo hakuna njia twende tu
 
Ukute Kub.enea alikuwa anajikuna ttakko kabla ya kumziba mwenzake mdomoni kwa mkono aliotumia kujikuna ttakko.

Refer Joachim Loew
4333d77f2c29ed30c16ba19f1d752b11.jpg
 
Hii picha nimeielewa vizuri huyu mwenye koti jeusi ni mbunge wa CCM alikuwa anazuliwa asiweze kudesa huoni maeshika karatasi anaomba majibu fulani.
 
Mkuu hiyo haipo mbali na hali ya kisiasa kama ya zenji pemba ndio inaingia bongo hakuna njia twende tu
Ukiwauliza viongozi watakwambi hakuna tatizo ni amani tu.Na hii tabia ya kujiona badhii yao ndo wenye nchi huku wengine ni vibaraka italeta vileo muda si mrefu na usiombe kupambana na mtu aliyekata tamaa
 
Ukiwauliza viongozi watakwambi hakuna tatizo ni amani tu.Na hii tabia ya kujiona badhii yao ndo wenye nchi huku wengine ni vibaraka italeta vileo muda si mrefu na usiombe kupambana na mtu aliyekata tamaa
Mkuu wacha tuishi kama pemba maana wanatuona kama malofa
 
Hii ni hatari. Niko Karatu,nimekuta kijiwe cha Chadema wakilijadili hili. Wamepanga kususia kununua mahitaji maduka yaliyopo CCM. Huu mchezo so kabisa
Ndio poa mkuu labda hilo litawafanya viongozi wa serikali kujua kuwa hii nchi ni ya watanzania
 
Du! Kwa hiyo kulikuwa na pepa hapo!!!?

Si unajua bajeti ilivyokuwa inawaumiza vichwa wabunge wa CCM kwa hiyo akawa anaomba kudesa fasta kabla hawajatoka nje. Kwa hiyo Kubenea akshtukia mchezo ikabidi amzibe mwenzake mdomo ajiekutoa majibu alafu yakionekana ya maana atajisifu baala ya kumsifu aliuempatia majibu.
 
Back
Top Bottom