Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
Heshima mbele sana wakuu,
Vipi sheria zetu na katiba yetu inasemaje kuhusu hili,
Tunaelewa kuna wizara ambazo haziko kwenye muungano, je wabunge kutoka Zanzibar wanastahili kutoa michango yao bungeni juu ya wizara hizi katika bunge hili la bajeti, jee huu siyo uvunjifu wa sheria na katiba, Kwa kuwa wabunge kutoka bara hawana uwakilishi kwenye bunge la Zanzibar na wala hawachangii kwenye wizara hizo za Zanzibar zilizo nje ya muungano.
Naombeni mwongozo wenu juu ya hili.
Sr. Magdalena
Vipi sheria zetu na katiba yetu inasemaje kuhusu hili,
Tunaelewa kuna wizara ambazo haziko kwenye muungano, je wabunge kutoka Zanzibar wanastahili kutoa michango yao bungeni juu ya wizara hizi katika bunge hili la bajeti, jee huu siyo uvunjifu wa sheria na katiba, Kwa kuwa wabunge kutoka bara hawana uwakilishi kwenye bunge la Zanzibar na wala hawachangii kwenye wizara hizo za Zanzibar zilizo nje ya muungano.
Naombeni mwongozo wenu juu ya hili.
Sr. Magdalena