WABUNGE wa Zanzibar kuchangia wizara ZISIZO za MUUNGANO.

Sr. Magdalena

JF-Expert Member
Aug 10, 2011
803
472
Heshima mbele sana wakuu,

Vipi sheria zetu na katiba yetu inasemaje kuhusu hili,

Tunaelewa kuna wizara ambazo haziko kwenye muungano, je wabunge kutoka Zanzibar wanastahili kutoa michango yao bungeni juu ya wizara hizi katika bunge hili la bajeti, jee huu siyo uvunjifu wa sheria na katiba, Kwa kuwa wabunge kutoka bara hawana uwakilishi kwenye bunge la Zanzibar na wala hawachangii kwenye wizara hizo za Zanzibar zilizo nje ya muungano.

Naombeni mwongozo wenu juu ya hili.

Sr. Magdalena
 
..mimi nalia na mapesa yanayokusanywa Tanganyika na kuwapa wa-Zanzibari.

..nalia na bilioni 32 alizopewa Dr.Bilali kwa ajili ya "maendeleo ya Zanzibar."

..kuna nyingine bilioni 9 kapewa kwa matumizi binafsi.

..wakati huohuo sijaona popote kwamba Ofisi ya Makamu wa Raisi imetenga fedha kwa ajili ya maendeleo ya Tanganyika.

..pesa hizo zingeweza kujenga shule ya sekondari au chuo cha ufundi katika kila mkoa wa Tanganyika.

..MUUNGANO UNATUNYONYA WATANGANYIKA.
 
heshima mbele sana wakuu,

vipi sheria zetu na katiba yetu inasemaje kuhusu hili,

tunaelewa kuna wizara ambazo haziko kwenye muungano, je wabunge kutoka zanzibar wanastahili kutoa michango yao bungeni juu ya wizara hizi katika bunge hili la bajeti, jee huu siyo uvunjifu wa sheria na katiba, kwa kuwa wabunge kutoka bara hawana uwakilishi kwenye bunge la zanzibar na wala hawachangii kwenye wizara hizo za zanzibar zilizo nje ya muungano.

Naombeni mwongozo wenu juu ya hili.

Sr. Magdalena
kero moja ya muungano.
 
kweli bwana wazenj wametuzidi kete, cha Tanganyika na wao wamo , cha Zanzibar sisi hatumo! ndio faida ya kudumisha fikra za mw.......! .
 
Heshima mbele sana wakuu,

Vipi sheria zetu na katiba yetu inasemaje kuhusu hili,

Tunaelewa kuna wizara ambazo haziko kwenye muungano, je wabunge kutoka Zanzibar wanastahili kutoa michango yao bungeni juu ya wizara hizi katika bunge hili la bajeti, jee huu siyo uvunjifu wa sheria na katiba, Kwa kuwa wabunge kutoka bara hawana uwakilishi kwenye bunge la Zanzibar na wala hawachangii kwenye wizara hizo za Zanzibar zilizo nje ya muungano.

Naombeni mwongozo wenu juu ya hili.

Sr. Magdalena


Wacha ulaza wako, wizara zote zilizo kwenye Jamhuri ya Muungano ni za muungano isipokuwa zile zilizo SMZ, Zanzibar; hapana shida wabunge wa Zenji kuzichangia.

Mpaka itakaporudi Tanganyika yetu.
 
Heshima mbele sana wakuu,

Vipi sheria zetu na katiba yetu inasemaje kuhusu hili,

Tunaelewa kuna wizara ambazo haziko kwenye muungano, je wabunge kutoka Zanzibar wanastahili kutoa michango yao bungeni juu ya wizara hizi katika bunge hili la bajeti, jee huu siyo uvunjifu wa sheria na katiba, Kwa kuwa wabunge kutoka bara hawana uwakilishi kwenye bunge la Zanzibar na wala hawachangii kwenye wizara hizo za Zanzibar zilizo nje ya muungano.

Naombeni mwongozo wenu juu ya hili.

Sr. Magdalena

Utakuwa bado upo Darasa la tatu....maliza mpaka la saba ...kisha uje hapa utwambie wizara za muungano ni zipi na zisizo za muungano ni zipi.....inaonyesha hujui vizuri muundo wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...kama wewe ni mrundi sema
 
Heshima mbele sana wakuu,

Vipi sheria zetu na katiba yetu inasemaje kuhusu hili,

Tunaelewa kuna wizara ambazo haziko kwenye muungano, je wabunge kutoka Zanzibar wanastahili kutoa michango yao bungeni juu ya wizara hizi katika bunge hili la bajeti, jee huu siyo uvunjifu wa sheria na katiba, Kwa kuwa wabunge kutoka bara hawana uwakilishi kwenye bunge la Zanzibar na wala hawachangii kwenye wizara hizo za Zanzibar zilizo nje ya muungano.

Naombeni mwongozo wenu juu ya hili.

Sr. Magdalena


Kwanini wakae Kimya? Kama Wanaona hizo Wizara hata kama sio za Muungano zina Vijidudu vitavyoelekea kwenye

Wizara za Muungano na kuziharibu? Mfano Mzuri Tanesco na Wizara ya Maji... Utajuaje Mipango ya watu wa Wizara ya

Maji wanafanya UHUJUMU kufungua MAJI YA BWAWA LA MTERA; KIWANGO KINASHUKA; Na Unajua TANESCO

Wanavyopenda UMEME WA MTERA - ni Wa MAJI na Jenereta za Mafuta hapo ndio wanapotajirika hao MAFISADI

KWAHIYO MBUNGE au MWAKILISHI anapaswa kuuliza Maswali WIZARA YA MAJI kwasababu ya Muungano wake au

Uhusiano wake na WIZARA YA NISHATI na MADINI ambayo ni ya MUUNGANO; na WAWAKILISHI wengine ni wakali

nawapenda - Mmoja alisema Kwanini tusianzishe sheria ya KUWANYONGA MAFISADI WA SERIKALI ??? I LOVE THAT!!!
 
kweli bwana wazenj wametuzidi kete, cha Tanganyika na wao wamo , cha Zanzibar sisi hatumo! ndio faida ya kudumisha fikra za mw.......! .

Ninachowapenda ni Wakali; Mmoja amependekeza kuweka sheria ya kunyonga MAFISADI walioka SERIKALINI ina Maana

Hata Wabunge wakipatakana kufisadi... IWE KWENYE KATIBA...
 
Utakuwa bado upo Darasa la tatu....maliza mpaka la saba ...kisha uje hapa utwambie wizara za muungano ni zipi na zisizo za muungano ni zipi.....inaonyesha hujui vizuri muundo wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...kama wewe ni mrundi sema

wewe ndo kilaza tena kilaza squred kwa nini usimweleweshe vizuri kuliko kumtusi.Hivi wewe kwa kutumia akili ya kawaida jiulize kwa nini ukiondoa Wizara ya Mambo ya Ndani,na Ulinzi jiulize kwa nini mawaziri wa wizara zingine hawana amri SMZ?mfano waziri wa ardhi wa Tanzania hawezi kufanya maamuzi yoyote kwenye ardhi ya Zanzibar,vile vile kwa nishati na madini....kwa ujumla kuna udhaifu mkubwa kikatiba.
 
Heshima mbele sana wakuu,

Vipi sheria zetu na katiba yetu inasemaje kuhusu hili,

Tunaelewa kuna wizara ambazo haziko kwenye muungano, je wabunge kutoka Zanzibar wanastahili kutoa michango yao bungeni juu ya wizara hizi katika bunge hili la bajeti, jee huu siyo uvunjifu wa sheria na katiba, Kwa kuwa wabunge kutoka bara hawana uwakilishi kwenye bunge la Zanzibar na wala hawachangii kwenye wizara hizo za Zanzibar zilizo nje ya muungano.

Naombeni mwongozo wenu juu ya hili.

Sr. Magdalena

Muundo sahihi wa muungano ni jawabu ya hili, na mengine mengi zaidi. Tuweke kwanza muundo sawa then tutakuwa na cha kujadili(boresha).!!!! Its simple logic.
 
wewe ndo kilaza tena kilaza squred kwa nini usimweleweshe vizuri kuliko kumtusi.Hivi wewe kwa kutumia akili ya kawaida jiulize kwa nini ukiondoa Wizara ya Mambo ya Ndani,na Ulinzi jiulize kwa nini mawaziri wa wizara zingine hawana amri SMZ?mfano waziri wa ardhi wa Tanzania hawezi kufanya maamuzi yoyote kwenye ardhi ya Zanzibar,vile vile kwa nishati na madini....kwa ujumla kuna udhaifu mkubwa kikatiba.

Wewe ni Kilaza to infinity...kwani umeshindwa kuwa na jibu la swali rahisi kama hili.....lile ni bunge la jamhuri ya muungano ya Tanzania...na wale wabunge ni wa serikali ya muungano....na wizara zote zinazojadiliwa ni za muungano ..kwa hiyo wabunge wote wana haki ya kuzijadili....mwalimu wako wa uraia Darasa la tatu ni Kilaza....
 
Wewe ni Kilaza to infinity...kwani umeshindwa kuwa na jibu la swali rahisi kama hili.....lile ni bunge la jamhuri ya muungano ya Tanzania...na wale wabunge ni wa serikali ya muungano....na wizara zote zinazojadiliwa ni za muungano ..kwa hiyo wabunge wote wana haki ya kuzijadili....mwalimu wako wa uraia Darasa la tatu ni Kilaza....

Today 22:20
#11 Member Array


Join Date : 2nd July 2012
Posts : 37
Rep Power : 312
Likes Received4
Likes Given2
Samahani nilikuwa sijsaangalia hapa :israel::israel::israel::israel:
 
Usishangae hilo ndg, wapo ambao ni mawaziri kamili katika wizara zisizo za muungano Watanganyika tumelala usingizi mzito. Eeeee Mungu wa rehema tuamshe katika usingizi huu.
 
wala bado hi ndo mwanzo tu kazi kwenu viongozi wenu wananza kujipendekeza kwa wazenji.
 
si kweli mimi naona Wazanzibar wote ni Wazanzibari na Wataznania wote ni Watanganyika Wazanzibar wala hatutaki utanzania.
 
Watu wanafanya maksudi....wote tunajua hakuna serikali inayoitwa Tanganyika....tuna serikali mbili tu ..ya Tanzania na Zanzibar...kwa hiyo mpaka tutapopata serikali ya Tanganyika..ndio tutaweza kusema wizara fulani ni ya Tanganyika..hili ni rahisi sana kulielewa lakini watu wanataka kuleta ligi zisizo na msingi
 
kuna wizara ambazo sio za muungano ndio maana zinatakiwa zisiongozwe na wazanzibar lakini watawala kwa makusudi wamekuwa wakivunja sheria kama wazanzibar wana wizara zao ambazo hawataki zisiguswe na watu wa bara lakini wao wamekuwa kipembembele kujadili mambo ya bara hiki kitu inabidi kiangaliwe kwa makini nampongeza mtoa mada kwa kuonyesha udhaifu mwingine wa muungano
 
Wewe ni Kilaza to infinity...kwani umeshindwa kuwa na jibu la swali rahisi kama hili.....lile ni bunge la jamhuri ya muungano ya Tanzania...na wale wabunge ni wa serikali ya muungano....na wizara zote zinazojadiliwa ni za muungano ..kwa hiyo wabunge wote wana haki ya kuzijadili....mwalimu wako wa uraia Darasa la tatu ni Kilaza....

Du ! mkuu unaongea kwa uhakika as if unajua unachokiongea , nani kakuambia wizara zote ni za muungano ,
mfano , wizara ya Uchukuzi sio ya muungano na wazenji walikuwa wanachangia kama vile inawahusu ,
Mwakyembe leo kafanya cha maana sana kuwaambia ukweli , maana hata hizo ajali za meli mlikuwa mnaanza kusukumia
kwamba ni sababu ya wabara , mkipewa mamlaka ya kuamua mnalalamika , mkinyimwa mnalalamika pia
nyie ni watu wa aina gani aiseeee ?
 
Back
Top Bottom