Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Mkuu mtu anapouliza swali kuwa muungwana kujibu ulichoelewa wewe. kama huwezi unakaa kimya sio kukurupuka na majibu ya kipuuzi. Mleta mada amesema Mnyika ametamka kuwa wamepinga Kuletwa kwa dharura na kwa pamoja miswada yenye faida kubwa kwa nchi...wewe umeelewa nini hapo? tazama hapa chini nimekuwekea quoteReading is fundamental soma tena labda utaelewa huhitaji Phd ili kuelewa hili.
Mnyika kasema na huu Muongozo sitaki useme utautolea ufafanuzi siku nyingine kwa maana hatuwezi kuendelea kufanya kazi ambazo zimevunja kanuni.
Wanapinga kuwasilishwa kwa dharula na kwa pamoja Miswada yenye manufaa makubwa kwa nchi.
Miswada wanayo pinga na iliyo wasilishwa kwa pamoja ni;
1.Muswada juu ya Petroli, 2015 (The Petroleum Act, 2015):
2.Muswada juu ya Usimamizi wa Mafuta na Gesi, 2015 (The Oil and Gas Revenues Management Act, 2015):
3.Muswada juu ya tasnia ya Uziduaji Tanzania (The Tanzania Extractive Industries Act, 2015): The Tanzania Extractive Industries Act, 2015.
Mkuu mtu anapouliza swali kuwa muungwana kujibu ulichoelewa wewe. kama huwezi unakaa kimya sio kukurupuka na majibu ya kipuuzi. Mleta mada amesema Mnyika ametamka kuwa wamepinga Kuletwa kwa dharura na kwa pamoja miswada yenye faida kubwa kwa nchi...wewe umeelewa nini hapo? tazmaa hapa chini
Na hao wabunge wengine Mungu asiwabariki?
Huyu mama kazi ya kuendesha bunge haimfai hata kidogo bora Ndugai ana busara
Na mwisho wa Bunge Ni Next week ok Muweke maslahi ya nchi Mbele
Nimesema kama walijua jibu la swali langu nijibu acha Ubavicha wako. Kufika page 15 mkizungumzia sijui mambo ya NEC huru inanisaidia nini katika swali langu. Nilichokifanya nimepitia majibu yenu na kuona mnazungumzia mambo mengine kabisa, kujisifia kwa kujivika vilemba badala ya kuzungumzia hoja yenyewe.Page zimefika mpaka 15 wewe pekee yako ndiye ambaye unaonekana hujaelewa kilichoandikwa, huoni ajabu? Soma kwa kituo acha kukurupuka.
Mimi bado najiuliza mbona swala la 230 M siwasikii hawa wazilendo wakiliongelea?
Nimesema kama walijua jibu la swali langu nijibu acha Ubavicha wako. Kufika page 15 mkizungumzia sijui mambo ya NEC huru inanisaidia nini katika swali langu. Nilichokifanya nimepitia majibu yenu na kuona mnazungumzia mambo mengine kabisa, kujisifia kwa kujivika vilemba badala ya kuzungumzia hoja yenyewe.
Sawa mkuu sasa povu lakutoka kwa nini?Acha kuzorotesha akili yako, page 15 wote waliosoma wameelewa kilichoandikwa ila wewe uliyepitia shule za kata ndio unahitaji mtu akufanyie tuition ili uelewe nini kimeandikwa. Soma kwa kituo au subiri atatokea mtu akufanyie tuition maana akili umeshaizorotesha hata kusoma ni mgogoro.
Sawa mkuu sasa povu lakutoka kwa nini?
Hao Bavicha! wachumia tumbo lini wakawa na tution ikiwa wao wenyewe akili ya kushikiwa..Subiri wakufanyie tuition ili nawe uelewe kinachojadiliwa katika uzi huu.
Hao Bavicha! mchumia tumbo lini wakawa na tution ikiwa wao wenyewe akili ya kushikiwa..
Kuongozwa na akili ndogo haya ndio matatizo yake..Acha kujibaraguza na kutoa povu lililochanganyika na udenda, subiri upewe tuition badala ya kubaki gizani kuhusu kinachojadiliwa hapa. Mie siye niliyekupeleka kwenye shule za kata ambako akili yako ikazorota hata kusoma imekuwa mgogoro.
Kuongozwa na akili ndogo haya ndio matatizo yake..
Umeelewa nini? mtu aloelewa hawezi jibu uloyajibu ndio maana akili ndogo huwa na majibu kama yako..Mwenye akili ndogo mimi na wewe ni nani? Mie niliposoma tu nikaelewa kilichoandikwa wengine wote waliosoma uzi huu wakaelewa kilichoandikwa, wewe graduate wa shule za kata ukaomba tuition ili nawe uelewe, sasa mwenye akili ndogo ni yupi? Unaambiwa usome kwa makini ili nawe uelewe unaanza kutoa povu zito.
Umeelewa nini? mtu aloelewa hawezi jibu uloyajibu ndio maana akili ndogo huwa na majibu kama yako..