Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,804
- 11,382
Nashauri na sisi humu tuanze kupeana udaktari wa heshima
Ila ni Walevi kweli mkuukimei n mbunge wangu wa vunjo tunakaa nae kijiji kimoja cha kokirie kata ya mamba kaskazini.ajabu kijiji chetu kina zahanati.ila hyo zahanati aina dokta zaidi ya manesi hata mjamzito hawajifunguli hapo
mbaya zaidi hamna dawa za kutosha wala vipimo ukienda hyo zahanati ukiwa na shida watakupa dawa bila kipimo.hajawahi kuitisha mkutano kuna siku tulimsimamisha akiwa anatoka getini kwake tukamwelezea shida zetu alitwambia hawezi tusaidia ss walevi. akatupa buku mbilimbili tulikuwa kama arobaini hv kwa hasira na majibu yake tulienda kujipozea na banana tatu tatu mixa na fegi wakina mama na wazee wakajipoza na mbege ila kwa kifupi tangu utawala wa mbatia mpaka kmei hakuna walichofanya cha maendeleo. ndo mana tunamkumbuka mrema alifanya vitu vya maana sana. tunasubiri 2025 tumtoe kimei kwasababu jimbo la vunjo hakuna mbunge aliekaa mihula miwili.miaka mitano tunatoa tunaweka mwingine tangu vyama vingi vingie nchini ila mrema tulifanya kosa kumtoa sababu amefanya mambo mengi sana ungekuta tuko mbali sana kiuchumi na kimaendeleo.kipindi cha 2015 tulidanganyika na ukawa tukitegemea watatuletea maendeleo zaidi kupitia mbatia kumbe n ziro daima tutamkumbuka mrema
Sema mwibara mnaitaji maombiCHARLES MGUTA KAJEGE Jimbo la MWIBARA sijawai hata kumsikia kikohoa yaani simuelewi kabisa sijui kawa bubu yaani mwibara tulijikanyaga
Jerry yani hata sijui kama pale nje ya nyumba yake TU anapasemea.Jerry marehemuu au?!!!
Hovyoo the worst MP ktk jiji la Dar,lami hakuna Jimbo lake yaani taabu tuJerry yani hata sijui kama pale nje ya nyumba yake TU anapasemea.
Hivi huyo wa kongwa amewahi hata kuuliza swali la nyongeza?Kongwa na Mpwapwa
Hamkujua kuwa huyo Gwajima ni tapeli wa kutupa na mchumia tumbo na kahaba wa kiroho na kisiasa?Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.
Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo.
Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili baadae tuje na orodha yao.
Kwaniaba ya wadau JF nakunuku uku udaktari kuanzia leoNashauri na sisi humu tuanze kupeana udaktari wa heshima
Jimbo la kawe tuna shida sana ya barabara za mitaa. Kukinyesha tu tunapata tabu sana na barabara zetu za mitaa. Mbunge aliyopo au ajaye akiliweza hili atakuwa kaula.Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.
Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo.
Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili baadae tuje na orodha yao.
Tunasubilia safari ya U.S.A mzee jiandaeJimbo la kawe tuna shida sana ya barabara za mitaa. Kukinyesha tu tunapata tabu sana na barabara zetu za mitaa. Mbunge aliyopo au ajaye akiliweza hili atakuwa kaula.
Jimbo ganiMimi Mbunge wangu tangu aingie mjengoni sijawahi kumsikia hata kwa bahati mbaya akishusha hoja za kututetea sisi wapiga kura wake na Watanzania kwa ujumla.
Utakuta wenzie wanawatetea Wananchi wao kwa nguvu zote lakini yeye yupo kimya tu.
Hata sisi tunatamani 2025 ifike haraka.
VunjoYule wa CRDB