REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,460
- 9,394
- Thread starter
- #21
Poleni wana vunjoYule wa CRDB
Poleni wana vunjoYule wa CRDB
Hamkwenda ughaibuni mlikoahidiwa.Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe Jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.
Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Mhe. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo.
Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili badae tuje na orodha yao.
Labda hamjamweleza mnataka awasemee niniMimi Mbunge wangu tangu aingie mjengoni sijawahi kumsikia hata kwa bahati mbaya akishusha hoja za kututetea sisi wapiga kura wake na Watanzania kwa ujumla.
Utakuta wenzie wanawatetea Wananchi wao kwa nguvu zote lakini yeye yupo kimya tu.
Hata sisi tunatamani 2025 ifike haraka.
Kwa Dr Tale 🤣🤣🤣Kwa babu tale
Mwibara mna mambo, mara Kajege mara Kangi mara MsibaCHARLES MGUTA KAJEGE Jimbo la MWIBARA sijawai hata kumsikia kikohoa yaani simuelewi kabisa sijui kawa bubu yaani mwibara tulijikanyaga
Haaaa haaa ina maana Jerry slave ni kivuliUkonga Haina mbunge mtoa mada kauliza majimbo yenye wabunge ukonga ni yatima nadhani inaenda kwa nguvu za serikali na watendaji wake ila mbunge Haina
Sema wale wanainchi wakuwaombea mungu awapushe na hicho kikombeKwa Dr Tale 🤣🤣🤣
Ughaibuni mbali atupeleke dodoma tu hapo tukaone shughuli za bungeHamkwenda ughaibuni mlikoahidiwa.
Hawakumchagua walichaguliwaInaonekana mlichagua mbunge bubu
Babu tale,mwana fa...Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe Jamii inawatizama utendaji wao wa kazi.
Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Mhe. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo.
Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili badae tuje na orodha yao.
CCM MBELE KWA MBELE.Mimi Mbunge wangu tangu aingie mjengoni sijawahi kumsikia hata kwa bahati mbaya akishusha hoja za kututetea sisi wapiga kura wake na Watanzania kwa ujumla.
Utakuta wenzie wanawatetea Wananchi wao kwa nguvu zote lakini yeye yupo kimya tu.
Hata sisi tunatamani 2025 ifike haraka.
yah ni dude kubwa la hovyo hovyo.Yote ya yote ccm ni dude kubwa
Bubu mwenye akili au ni wale wale?mbunge wetu ni bubu
Mwana FA name,aende chatoBabu tale,mwana fa...
😂😂😂Ila Babu taletale dah aibu huwa naona mpka mimi
Naitwa dokta Taletale🤣🤣🤣DR TALETALE
Yule akisimama kuongea naanza kuona aibu