KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Tunaomba Wabunge wa Chadema kuachana na Kikao cha 5 kinachoendelea Hapa Dodoma na kuelekeza nguvu Arusha kwakuendeleza harakati na Juhudi zilizo anzishwa huko Arusha kwakushinikiza serikali kumuachia Mbunge wa Arusha Godbless Lema achiwe huru bila masharti na kushinikiza serikali kuwafutia mashitaka yote yanayowakabili viongozi wa CHADEMA kwakuwa hii ni dhahiri huu ni udharirishaji wa hali ya juu dhidi ya viongozi wakitaifa wa chama cha CHADEMA.
Tunamwomba Rais wa Jamuhuri ya Muungano aingilie kati kwani Amani tunayoiimba kila siku inaweza kutoweka kwa Dakika na kuirudisha ikawa zaidi ya miaka 10!Kwani watu wakichoka juu ya uonevu na uvumilivu ukawatoka mambo yaweza kuwa kama kwingine tunakokusikia kuna machafuko kwani nako kulianza kama hivi kwakukiuka haki za binadamu na unyanyasaji wa kidemokrasia uliokithili!
Tunamwomba Rais wa Jamuhuri ya Muungano aingilie kati kwani Amani tunayoiimba kila siku inaweza kutoweka kwa Dakika na kuirudisha ikawa zaidi ya miaka 10!Kwani watu wakichoka juu ya uonevu na uvumilivu ukawatoka mambo yaweza kuwa kama kwingine tunakokusikia kuna machafuko kwani nako kulianza kama hivi kwakukiuka haki za binadamu na unyanyasaji wa kidemokrasia uliokithili!