Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Kati ya Chadema na CUF, nadhani CUF ni better. CHADEMA kuna ugomvi sana. Chadema wanaweza kujirekebisha, na muda upo wa kujirekebisha,lakini sasa wana siasa za kutwangana makonde ndani ya Chama.
Describe!
Cuf as far as I know ni cha kidini even blind can see