Tetesi: Wabunge wa CCM Waanza Kutishiwa!

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,805
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Mtumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnakijua Nachowaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!

Na Chadema Kubalini Ushauri, Mbunge wa CCM akihujumiwa akija kwenu, moja kwa Moja mpeni yeye Tiketi ya Kugombea Jimbo Lake. Let say Uchaguzi uliopita Alipokuwa CCM kwenye hilo jimbo Alishinda kwa kura 30,000 Na Ninyi mkapata Kura 22,000 sasa Uchaguzi Ujao Akifukuzwa CCM, Panga Pangua atakuwa Mioyoni mwa angalau nusu. 15,000 Akija Kwenu Mkimpitisha awe mgombea wenu bila mizengwe ya Kijinga, Kaja na at least Kura 15000, Nyie zenu za Uchaguzi Uliopita hata kama Mki maintain nusu yake hapo mna Kura 11000 Kwa uchache. Hapo Ukijumlisha autakuta, amekuja na Kura 15000, Mkamtupia zenu 11000 hapo anashinda kwa Mbali sana kwa Kura 36,000 huku huyu Imposter mpya wa CCM kama Shetani wake akimsaidia Ataambulia Maximum ya Kura 15,000.

CHADEMA ACHENI DHARAU MKISHAURIWA FANYENI SIASA KWA AKILI. MNGEWEZA KUWEKA HATA TANGAZO, UKITOKA CCM TUTAKUPITISHA JIMBO LAKO BILA KUPINGWA, WENGI WATAKUJA, HATA WAKIWA WATANO KATI YA MIA NI SAWA KWANI HAYO MAJIMBO SIO YENU NA YOU HAVE NOTHING TO LOSE!
 
Ya CCM hayawahusu!

Jadilini kwanini Wenje kapata kura 34 na Masha kapata kura 44 baada ya Spika Ndugai kukubali ombi la baadhi ya Wabunge wa Chadema kuomba kwenda kupiga kura kwa Siri pale mbele
Najua Ni Kwanini CCM walikuwa na Hofu sana ya Kuona Wabunge Mahiri wa EALA wanatoka Chadema, Ukiacha yule Kijana Mwenye PHD ya kweli sio ya Kufanyiwa kama Ba-Bashite Niambie ni Nani Makini kati ya waliowapeleka. Wamemkataa Pr. Abdala Safari, Laurence Masha etc, Yote ni ili Kule kenya wasiwaulize Kama ninyi Mnatema Lugha ya Malikia hivi? Ba-Bashite amelogwa na Nani? Je PHD yake ni Kweli au naye apitiwe na Ndalichako?

Hiyo Ndiyo hofu sio Kingine, Yaani Badala ya Kuweka Taifa Mbele Mnaendeleza Dhana ya "Wote tukose"

Na ukiangalia Idadi ya wabunge wa Chadema ni Kama Mia hivi na almost 98% ya kura za Wabunge wa chadema zilienda kwa Masha, Wenje na Safari. Waliochaguliwa wale wamama ni Kura za Wabunge wa CCM. Ila Chadema Pumbavu sana walichaguliwa wabunge kwa Kuwa hawasikii Ushauri Nilishauri Wawaweke, Masha, Safari na Wema Sepetu au Masha, Wenje na Wema Sepetu, hapo wangewatega CCM kwani CCM walikuwa na Beef na Wote watatu lakini ndio Hivyo sikio la kufa!
 
hahaha nasikia now anahusika moja kwa moja na uteuzi wa wagombea ubunge
hapo 2020 atakua na wabunge dizaini ya ali kesi :D:D:D
Na Bashite! Bashite anampa Koromije na Baada ya hapo atampa U-PM na Nape ni Bora aanze kujikita Jimboni kwake na kabla ya May 2020 Ayeyuke na Mioyo ya Wapiga Kura Maana Nape keshapigwa X kubwa hata angeliliwa Machozi ya Damu.
Mwingine hizo ni prediction zangu tu, mtashangaa Watanzania Iwapo Ba-bashite atakuwa anamtaka Tulia Kuwa Speaker 2020 hilo pia liko ndani ya uwezo wake wa mstari wa kalamu! Kama mnahisi Mtaona Tulia anaongoza kwa Diplomasia sana siku hizi. Ingawa Kisayansi Binti huyu ni Mjanja sana, bado Anakingia kifua Nu-5. Ila anajua Nu 5 akimfuungulia njia wazi 2020 bado anahitaji kura za Wabunge wakiwepo wapinzani ili awe Speaker. Ndio kisa sasa hivi kawa Mjanjaaaaaa! We unadhani ni nini!
 
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Myumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnajua Nawaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!

Najua Ni Kwanini CCM walikuwa na Hofu sana ya Kuona Wabunge Mahiri wa EALA wanatoka Chadema, Ukiacha yule Kijana Mwenye PHD ya kweli sio ya Kufanyiwa kama Ba-Bashite Niambie ni Nani Makini kati ya waliowapeleka. Wamemkataa Pr. Abdala Safari, Laurence Masha etc, Yote ni ili Kule kenya wasiwaulize Kama ninyi Mnatema Lugha ya Malikia hivi? Ba-Bashite amelogwa na Nani? Je PHD yake ni Kweli au naye apitiwe na Ndalichako?

Hiyo Ndiyo hofu sio Kingine, Yaani Badala ya Kuweka Taifa Mbele Mnaendeleza Dhana ya "Wote tukose"

Na ukiangalia Idadi ya wabunge wa Chadema ni Kama Mia hivi na almost 98% ya kura za Wabunge wa chadema zilienda kwa Masha, Wenje na Safari. Waliochaguliwa wale wamama ni Kura za Wabunge wa CCM. Ila Chadema Pumbavu sana walichaguliwa wabunge kwa Kuwa hawasikii Ushauri Nilishauri Wawaweke, Masha, Safari na Wema Sepetu au Masha, Wenje na Wema Sepetu, hapo wangewatega CCM kwani CCM walikuwa na Beef na Wote watatu lakini ndio Hivyo sikio la kufa!



Tatizo pia ni viongozi wa Upinzani hasa Chadem, ni wabinafsi sana sana.
Mbowe ana walakini kwenye suala la utaifa anapoona maslahi binafsi.
Kwa nini wasingeweka majina ya Wenje ,Safari,Masha na mwanamke mmoja?
Hatuna upinzani wa maana kwa kweli.
Watanzania wanapenda upinzani ila viongozi wa upinzani ni bure kabisa. Hamna mipango ya mbali.

Wakina mbowe na wenzake wakasomee sayansi ya siasa kuelekea 2020 vinginevyo wataanza kugombania majimbo kama Segerea.
 
Tatizo pia ni viongozi wa Upinzani hasa Chadem, ni wabinafsi sana sana.
Mbowe ana walakini kwenye suala la utaifa anapoona maslahi binafsi.
Kwa nini wasingeweka majina ya Wenje ,Safari,Masha na mwanamke mmoja?
Hatuna upinzani wa maana kwa kweli.
Watanzania wanapenda upinzani ila viongozi wa upinzani ni bure kabisa. Hamna mipango ya mbali.

Wakina mbowe na wenzake wakasomee sayansi ya siasa kuelekea 2020 vinginevyo wataanza kugombania majimbo kama Segerea.
Pale hapakutakiwa Utaifa, CCM waliwachezea Chadema Mchezo Mchafu kuanzia Mwanzo! Ila chadema hawashauriki, Kwenye siasa hakuna Kuwa Mr. Nice, Wangewaweka Masha, Safari Wenje na Wema Sepetu, wangekuwa wamewabana Maccm kama mijusi ukutani, kwani Hao wanaume watatu hawawataki na Wema hawamtaki, na hakuna kura za ndio na hapana. Kwa asilimia 100% Wamama wale walichaguliwa na CCM. Kwa hiyo realy walitoka Chadema lakini kwa Matakwa ya CCM what an insult. Sina Lugha nyingine ha Kusema ila Chadema waliingiziwa Vidole na CCM kusikosemeka. Na wanastahili, wanakiburi cha kipumbavu sana hawasikilizi ushauri. Mimi sikushauri wamweke Wema Kimaslahi ila Kuwafanyia CCM hujuma ten times over, kwenye siasa mtu akikupiga rungu unamjibu kwa mizinga na vifaru! Chadema hili hawalijui wanajifanya Malaika.

Ningekuwa Chadema by 2019 Hivyo Vibombadia Vyote Vingekuwa Juu ya Mawe, si mtindo ni kuhujumiana sio! Ila aku geuza shavu, utavujwa mataya! Kila la heri Malaika wapenzi Chadema!
 
Pale hapakutakiwa Utaifa, CCM waliwachezea Chadema Mchezo Mchafu kuanzia Mwanzo! Ila chadema hawashariki, Kwenye siasa hakuna Kuwa Mr. Nice, Wangewaweka Masha, Safari Wenje na Wema Sepetu wangekuwa wamewabana Maccm kama mijusi kwani Hao wanaume watatu hawawataki na Wema hawamtaki, na hakuna kura za ndio na hapana. Kwa asilimia 100% Wamama wale walichaguliwa na CCM kwa hiyo realy walitoka Chadema lakini kwa Matakwa ya CCM. Sina Lugha nyingine ha Kusema ila Chadema waliingiziwa Vidole na CCM kusikosemeka. Na wanastahili wanakiburi cha kipumbavu sana hawasikilizi ushauri. Mimi sikushauri wamweke Wema Kimaslahi ni Kuwafanyia CCM hujuma ten times over, kwenye siasa mtu akikupiga tungu unamjibu kwa Kifaru! Chadema hili hawalijui wanajifanya Malaika.

Ningekuwa Chadema by 2019 Hivyo Vibombadia Vyote Vingekuwa Juu ya Mawe, si mtindo ni kuhujumiana sio! Ila aku geuza shavu, utavujwa mataya! Kila la heri Malaika wapenzi Chadema!

Ni kweli kabisa siasa ni mipango na mbinu tu.
Dr.Slaa pamoja na kukikimbia chama lakini alikua ni bingwa wa mbinu za kuhujumi serikali kisiasa kwani alisababisha serikali ya JK ionekane haijafanya CHOCHOTE kwa muda wote mpaka sasa watu ndio wanagundua kumbe JK kuna mema aliyokua amefanya.

Chadema wasipokaa na kupokea maoni ya watu watashindwa vibaya.
Watu ndiyo source ya elimu na ushindi wa kisiasa. Nyerere alikua anacheza bao na kunywa kahawa uswahilini ili ajue watu wanasemaje na wanamshaurije wale wasi na fursa ya kufika ikulu.
Hii ilimsaudia kutengeneza Propaganda.

Hata awamu hii ya Tano inawavuta sana watu wa chini pamoja na ugumu wa maisha uliopo kutokana na kutumiw mbinu na Propaganda zinazofanana sana na za Dr. Slaa.
Hata Dr. Slaa angetawala Tanzania angetawala kama ilivyo sasa. Awamu hii inaelekea walifuatilia kwa karibu sana Siasa na Propaganda za Dr. Slaa ili waweze kuwateka watu wa Chini wanaowaita wanyonge.

Sasa Mbowe asiposhtuka na kuingia mitaani na kutafuta ushauri kwa udi na uvumba kamwe hataweza kushindana na utawala huu kisiasa. Bora awapushe wengine wenye mbinu na mipango na Propaganda sawia za kisiasa.
Mbowe kuna wakati anapitiwa na kuwa mbinafsi na mroho aliyepituliza.Ni lazima akubali kutulia na kusikiliza hasa anapoona CCM wanakua na jambo linalotaka kuingilia mambo ya ndani ya CDM. Umakini unahitajika vinginevyo anapeleka chama shimoni.
 
Na Bashite! Bashite anampa Koromije na Baada ya hapo atampa U-PM na Nape ni Bora aanze kujikita Jimboni kwake na kabla ya May 2020 Ayeyuke na Mioyo ya Wapiga Kura Maana Nape keshapigwa X kubwa hata angeliliwa Machozi ya Damu.
Mwingine hizo ni prediction zangu tu, mtashangaa Watanzania Iwapo Ba-bashite atakuwa anamtaka Tulia Kuwa Speaker 2020 hilo pia liko ndani ya uwezo wake wa mstari wa kalamu! Kama mnahisi Mtaona Tulia anaongoza kwa Diplomasia sana siku hizi. Ingawa Kisayansi Binti huyu ni Mjanja sana, bado Anakingia kifua Nu-5. Ila anajua Nu 5 akimfuungulia njia wazi 2020 bado anahitaji kura za Wabunge wakiwepo wapinzani ili awe Speaker. Ndio kisa sasa hivi kawa Mjanjaaaaaa! We unadhani ni nini!
Dah! Nisaidie "lugha" ili twende sote. Hii term Nu-5 hii, embu nifasirie ili usiniache.
 
Ni kweli kabisa siasa ni mipango na mbinu tu.
Dr.Slaa pamoja na kukikimbia chama lakini alikua ni bingwa wa mbinu za kuhujumi serikali kisiasa kwani alisababisha serikali ya JK ionekane haijafanya CHOCHOTE kwa muda wote mpaka sasa watu ndio wanagundua kumbe JK kuna mema aliyokua amefanya.

Chadema wasipokaa na kupokea maoni ya watu watashindwa vibaya.
Watu ndiyo source ya elimu na ushindi wa kisiasa. Nyerere alikua anacheza bao na kunywa kahawa uswahilini ili ajue watu wanasemaje na wanamshaurije wale wasi na fursa ya kufika ikulu.
Hii ilimsaudia kutengeneza Propaganda.

Hata awamu hii ya Tano inawavuta sana watu wa chini pamoja na ugumu wa maisha uliopo kutokana na kutumiw mbinu na Propaganda zinazofanana sana na za Dr. Slaa.
Hata Dr. Slaa angetawala Tanzania angetawala kama ilivyo sasa. Awamu hii inaelekea walifuatilia kwa karibu sana Siasa na Propaganda za Dr. Slaa ili waweze kuwateka watu wa Chini wanaowaita wanyonge.

Sasa Mbowe asiposhtuka na kuingia mitaani na kutafuta ushauri kwa udi na uvumba kamwe hataweza kushindana na utawala huu kisiasa. Bora awapushe wengine wenye mbinu na mipango na Propaganda sawia za kisiasa.
Mbowe kuna wakati anapitiwa na kuwa mbinafsi na mroho aliyepituliza.Ni lazima akubali kutulia na kusikiliza hasa anapoona CCM wanakua na jambo linalotaka kuingilia mambo ya ndani ya CDM. Umakini unahitajika vinginevyo anapeleka chama shimoni.
Mbowe anakazi ngumu kiasi huwezi Fahamu, Kazi ya Siasa ni Mateso sana hasa Ukiwa ni Kiongozi! Ila hill la Kupuuza Ushauri Chadema nj Mabingwa!
 
Ya CCM hayawahusu!

Jadilini kwanini Wenje kapata kura 34 na Masha kapata kura 44 baada ya Spika Ndugai kukubali ombi la baadhi ya Wabunge wa Chadema kuomba kwenda kupiga kura kwa Siri pale mbele
Hahahaha, aibu jamani! Naona conscious zao zimekuwa smeared by hot iron!
 
N
Hivi msukuma a naamini atashinda 2020?
No anaamini Atakwapua Urais Kwa Nguvu, Naweza Kuapa Mbele za Mungu Magufuli huo Ndio Mpango wake! La sivyo aruhusu Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya 2020! Hawezi. Ila mimi naamink kwa Moyo wangu wote 2020 Magufuli hatakuwapo-rais
 
Baadhi ya Wabunge Makini wanaohoji Mambo CCM wameanza Kutishiwa kuwa wasipobadili Mienendo yao watapokonywa Majimbo yao katika Kura za Maoni 2020. Na ni wengi hasa kiasi cha kuwa hata Speaker hawezi kuwa spared kama hatacheza Ngoma ya Koromije!

Vitisho hivi sio official ila vinapenyezwa na aina za Wale wabunge wanaotamani kulia bunge likiwa live, Wale wanaosema Kuku zilipe kodi na Rambirambi zikatwe kodi. Na kuna ambao walishabugi hata kama wakifanyaje Ba-Bashite ameshawaweka X. Sasa ndio hapo inabidi wawe na Mikakati ya kufa na Kupona.

Na ndio Maana huwa nawaambia hawa wabunge kuwa kushiriki kuua Upinzani ni sawa na Kuchoma Ngalawa kisa Umenunua Myumbwi. Mkiutetea Upinzani Kihalali, Mkiusaidia Usihujumiwe, na sio Lazima kufanya makubwa ya Kuonekana wasaidieni kujua siri za hujuma etc. Upinzani ukiwa na Nguvu, ikikaribia 2020 hawa waliyoyadhamiria wakifanya Kweli? Mtakuwa na Pakwenda kupigania Majimbo yenu.

Kwa sasa hawa Wabunge waliowengi hata wakijifanya kutetea nu 5 kwa kidizaini, Jamaa alishadhamiria. Haya msiseme hamkujua. Na najua wengi Mnajua Nawaambia nachosema. Kingine Jitahidini sana Kushikamana na Wananchi wenu kwenye shida na Mali ili siku mkikatwa, Na mioyo ya Wananchi wenu iende nanyi mtakakokwenda!
Nilitegemea ungeleta ushaidi no wabunge gani? jinsi wanavyotishiwa wanatishiwa na nani na lin ? kulilko kuleta mihemko Yako ya kinyumbu. Uchaguzi Wa EALA unaonesha wazi jinsi ccm walivyo wamoja.au hilo umeshalisahau
 
Personally naona kuna kila dalili za CDM kupoteza dira as 2020 is approaching, ikumbukwe kuwa uchaguzi serikali za mitaa ni kesho kutwa tu, so far sioni juhudi zozote zinazozaa matunda. Katibu Mkuu yupo kimya balaa, UKAWA ni kama imekufa, maana mgogoro wa CUF na ukimya wa NCCR unarudisha nyuma harakati. Think Tanks wa CHADEMA kuanzia Mnyika, Mdee, Lissu, Safari na wengineo hawajihushi tena kwenye kupanua chama, kuingiza wanachama wapya sio motive tena ya CDM. Chama kamwe hakitofanikiwa kwa kuwa na mashabiki wengi, bali wanachama wengi. Makene naye yupo kimya. Inshort baada ya uchaguzi 2015 ni kama hakuna mikakati tena, chama kinajiendesha in no direction, chama kipo kipo tu.
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom